Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sasa kama uko kwenye kundi wajinga wenzio unategemea wakujibuje?Yeye ndiye alikuwa mjinga namba moja, huku niliko kila ukijitambulisha unatokea tz wanauliza kwa yule rais mjinga aliyeikana corona lakini ikamwondoa mwenyewe? Wanashangaa tulimchaguaje zwazwa atuongoze