Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Kwahiyo jf na Twitter kuna maroboti?Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Kweli wewe ni maku njoo huku mtaani kwetu umtaje huyo mwendakuzimu uone kama ujapigwa mawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo jf na Twitter kuna maroboti?Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Watu wanawezaje kumiss shetwaaani mkubwa yule.Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Hamnazo kabisa 😂"Huyu jogoo uliyenipa, uje Chato nikupe mama yangu umuoe"
Shida ni kwamba maono ya Magufuli alikuwa anataka kuyatekeleza kwa watu wapumbavu.
Yani kosa la Magufuli ni kujaribu kuwazindua watu wajinga wajitambue
Kwahiyo jf na Twitter kuna maroboti?
Kweli wewe ni maku njoo huku mtaani kwetu umtaje huyo mwendakuzimu uone kama ujapigwa mawe
Watu wanawezaje kumiss shetwaaani mkubwa yule.
Mkuu una hoja ya msingi, sasa unaonaje ukitoka nyuma ya keyboard ukaingia mtaani hata hapo ulipo mtaani kwenu ukawakusanya watu halafu uwaambie ujumbe huu huu uliotuletea hapa, halafu utuletee mrejesho na kavideo pia katapendeza. Maana binafsi nauona huo moyo wako wa kuhamasisha watu wengi wenye hisia kama yako washiriki jambo hili, basi ingia field sasa mzee. Au ukishindwa kuwakusanya watu mtaani basi chagua basi lolote au kwenye mwendokasi uwafikishie watanzania wenzetu ujumbe huu ili nao ambao washiriki hilo suala.
Shida ni kwamba maono ya Magufuli alikuwa anataka kuyatekeleza kwa watu wapumbavu.
Yani kosa la Magufuli ni kujaribu kuwazindua watu wajinga wajitambue
Mnabishana upumbavu usio na maana kwenu wala kwa wahusika.Kwani lisu akishikishwa unadhani kila mtu anashikishwa?
Mwacheni akapambane na matendo yake!! aliowatanguliza kwa lengo la kuwakomoa leo wanamuadhibu kuzimu!
Sasa huko si ndipo alipo mwendazake? Nadhani watakutana na kumalizana hukohuko. Kule hakuna walinzi kwahiyo itakuwa uso kwa uso...
Nikumbushe ni lini nilikuwa too high...Angeongea member mwingine nisingeshangaa,siyo wewe Mkuu,huwezi kwenda too low kiasi hiki.Tangu lini umekuwa na hoja nyepesi nyepesi kiasi hiki.
Hahahaa kumbe?Utawawaze Bavicha Wazee wa deal,sasa hivi wanataka pesa irudi mtaani kwa gharama yoyote ile ili waendelee kupiga deal.Ukiwaambia kufanya kazi unakuwa kama umewatukana.Wazee wa kuzungusha mikono hewani.
Wanaommisi shetwani ni mapepo...Watu wanawezaje kumiss shetwaaani mkubwa yule.
Mapepo yake aliyoyaacha yanaangaika kila uchwao.Wanaommisi shetwani ni mapepo...
Kufa basi umfate shetwaani mwenzio kuzimu mbwa weweUpungufu wa akili si lazima uokote makopo.
Kufa basi umfate shetwaani mwenzio kuzimu mbwa wewe