Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nioneshe nilipoambukiza chuki, nami ntakuonesha nguzo ya umeme iliyozaa papai...Bwashee mnajidanganya sana chuki haiambukizwi kirahisi.
Magufuli amekufa hakika hali ni nzuri Sana. Hakuna kikundi cha WASIOJULIKANA kilichokuwa kinateka na kuua watu. Nafasi za kazi 9000 zimetangazwa vijana wetu watajiriwa. Wawekezaji wanakuja wanaleta mtaji na ajira zitatengenezwa. Vyama vya upinzani vinafanya mikutano ya ndani.Kafa sasa,una hali nzuri?
mataga ndio wamemmisi. Hata Gambo kamkana wewe ni nani unajitwika Gunia la jivi la jiwe?
Na nyie wasukuma mko bize kutetea legacy yake? Mkuki kwa nguruwe?Naona wachaga mnapambana kila kona ya nchi kuambukiza chuki zenu kwa mwendazake ila mnashangaa watu walimuelewa.
Kwa kosa gani? Huo msamaha baki nao mwenyewe. Alitimiza majukumu yake ya kikatiba na kuleta maaendeleo kwa spidi kubwa hadi kifo kilipomchukua. Staili yake ya uongozi haikuwa ya blabla na maneno matamu mliyozoeshwa bali vitendo vyenye matokeo tu.
Too late, alishatangulia mbele ya haki, huko atamalizana na Muumba wake.
Cha kujifunza tuangalie jinsi tunavyoishi duniani na wenzetu hata tukiwa juu sana tusijisahau maana hatujui siku wala saa tutakayorudi kwa Muumba wetu !
Labda nikifa nitaenda kumuombe huko huko tukikutana
Hata aombewe msamaha moto wa jehanamu hawezi kuukwepa.
Hakuna kilichoongezwa wala kupunguzwa.Yes Chief,hakuna kilichoongezwa.
Sasa aliyekuambia mimi mchagga ni nani?Mimi sio msukuma ila nilipenda uongozi wa JPM na watanzania kasoro wakaskazini walipenda uongozi wa JPM.
Sasa huko si ndipo alipo mwendazake? Nadhani watakutana na kumalizana hukohuko. Kule hakuna walinzi kwahiyo itakuwa uso kwa uso...Bahati mbaya sana wewe utakuwa Jehenamu,so hamuwezi kukutana kamwe.
Word for word kama jamaa al
Hakuna kilichoongezwa wala kupunguzwa.Yes Chief,hakuna kilichoongezwa.
Mitaa gani hiyo? Mitaa imemiss kutukanwa na kukaripiwaLawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Uhuru upo kidogo asaiviKafa sasa,una hali nzuri?
Alitengeneza wajinga wengi sana ndiyo walio mtaaniNdo ukweli wenyewe.
Hicho ndio muhimu zaidi, kila mmoja atahukumiwa kwa haki sio kwa maneno ya Bavicha au UvccmNa uzuri mwenye kuhukumu ni Muumba peke yake na si Bavicha wa JF