Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

Shida ni kwamba maono ya Magufuli alikuwa anataka kuyatekeleza kwa watu wapumbavu.

Yani kosa la Magufuli ni kujaribu kuwazindua watu wajinga wajitambue
Yeye ndiye alikuwa mjinga namba moja, huku niliko kila ukijitambulisha unatokea tz wanauliza kwa yule rais mjinga aliyeikana corona lakini ikamwondoa mwenyewe? Wanashangaa tulimchaguaje zwazwa atuongoze
 
Mkuu una hoja ya msingi, sasa unaonaje ukitoka nyuma ya keyboard ukaingia mtaani hata hapo ulipo mtaani kwenu ukawakusanya watu halafu uwaambie ujumbe huu huu uliotuletea hapa, halafu utuletee mrejesho na kavideo pia katapendeza. Maana binafsi nauona huo moyo wako wa kuhamasisha watu wengi wenye hisia kama yako washiriki jambo hili, basi ingia field sasa mzee. Au ukishindwa kuwakusanya watu mtaani basi chagua basi lolote au kwenye mwendokasi uwafikishie watanzania wenzetu ujumbe huu ili nao ambao washiriki hilo suala.
Ushauri huu asiufanyie kazi amseme vibaya JPM kwa wananchi kwenye mwendo Kasi atapigwa auwawe.
 
Kmmk wallah! Alikuta sukari sh ngapi?
Mafuta ya kula sh ngapi kwa ltr?
Unajua ni kampuni ngapi zilishindwa kujiendesha na watanzania wangapi wanaumia na familia zao mpaka sasa?

Yule jamaa alikua shetani. Amewatia watu kwenye umasikini wa hali ya juu mpaka najiuliza hawa watu nini hatma zao na familia zao.

Watu wanaompenda ni zile mbwembwe na kubweka hovyo hovyo
Alikugusa mpiga dili huwezi kumpenda
 
Mnafiki wewe unayelalamika eti umasikini wako umesababishwa na JPM kumbe mchawi Ni nwenyewe kuendekeza chuki za kijinga dhidi ya watu.
Mimi siyo maskini jinga wewe, kama wewe ni maskini usidhani kila mtu ni maskini mf
 
Vyeti feki ni pamoja na Bashite?
Mkuu hata ukimuombea msamaha Kuna watu hawatoweza kumsamehe kwa sababu aliwabana Sana na wao Ni wakwepa Kodi,vyeti feki ,wapiga dili wakaishi maisha ambayo hawakuwahi kuwaza wataishi wanahasira sana.wengi wanaomtukana yule mzee Ni wabinafsi tu hawana mapenzi mema na taifa hili.
 
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.

Sababu zangu

Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.

Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Daah jamaa kasaulika mapema sana. Hata nusu mwaka bado!
 
Hakuna mtu ambaye anapendwa au kuchukukiwa na watu wote. Hata Iddi Amin, Hitler na makaburu kuna watu walikuwa wanawapenda.
Wale wale ID zile zile mnaama tu threads, mkimaliza mnajifariji JPM alikuwa hapendwi. Njoo kitaa utayapata majibu mazuri kuhusu JPM.
 
Mkuu naunga mkono hoja ila tu ungeishia na kichwa cha habari na aya ya kwanza tu.

Ukianza kuweka sababu tu, hoja yako ya msingi inasambaratika kama gunia tupu lisilioweza kusimama likiwa tupu.

Uhalalishe vipi:

1. Ben, Azory na wa namna hiyo kupotea.
2. Mawazo kuuwawa
3. Kina Lissu kupangiwa kuuwawa
4. Nk nk.

Katika awamu ile kulipita uovu mwingi usiokuwa kifani.
Kwa waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba, ndugu zao bado wanaimani jamaa zao wamekimbia familia!! Duh walioshiriki kuuwa Mungu anawaona!!!
 
Kwa waliokuwa wanaokotwa kwenye viroba, ndugu zao bado wanaimani jamaa zao wamekimbia familia!! Duh walioshiriki kuuwa Mungu anawaona!!!

Mkuu imeandikwa tusamehe x7x70 kwa sababu si rahisi kufanya hivyo (difficult but not impossible).

Ikibidi mtu anaweza kufanya hivyo.

Ndiyo maana ya mapendekezo haya tokea katika aliyoleta mleta mada:

1. Kichwa cha habari - sawa.
2. Aya ya kwanza - sawa.

Tuishie hapo.

Kama tulivyowasamehe makaburu, Nduli Amini, Hitler, wakoloni, wafanya biashara ya utumwa nk.

Tusahau tu yaliyopita kuhusu huyu bwana maisha yaendelee. Lakini katu, hayakuwa mema hata kidogo na tujipange yasije kutukuta tena.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wale wale ID zile zile mnaama tu threads, mkimaliza mnajifariji JPM alikuwa hapendwi. Njoo kitaa utayapata majibu mazuri kuhusu JPM.

Hiyo mitaa itakuwa ni ile ambayo:

1. Wa kwenye viroba hawakuwa wakiishi
2. Kina Ben, Azory hawakuwa wakazi
3. Kina Mawazo hawakuwa wakazi
4. Kina Lissu hawakuwa wakifahamika au kuishi
5. Wote hao #1, 2, 3, na 4 hawakuwa na ndugu jamaa au marafiki.

Mkuu labda unaongelea mitaa ya Chatto walikokuwa hata wameahidiwa mkoa?

Kama wenye jamaa zao waliopotea wanammiss unayemwita mwamba, "then God must be crazy!"
 
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.

Sababu zangu

Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.

Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Yule alikuwa kichaa kabisa, sijui kwanini vyombo vya usalama havikiligundua hilo!
 
Kweli kabisa, huku kitaa watu wengi bado wanammiss!
IMG_20210615_070908_641.jpg
 
Back
Top Bottom