Mkuu una hoja ya msingi, sasa unaonaje ukitoka nyuma ya keyboard ukaingia mtaani hata hapo ulipo mtaani kwenu ukawakusanya watu halafu uwaambie ujumbe huu huu uliotuletea hapa, halafu utuletee mrejesho na kavideo pia katapendeza. Maana binafsi nauona huo moyo wako wa kuhamasisha watu wengi wenye hisia kama yako washiriki jambo hili, basi ingia field sasa mzee. Au ukishindwa kuwakusanya watu mtaani basi chagua basi lolote au kwenye mwendokasi uwafikishie watanzania wenzetu ujumbe huu ili nao ambao washiriki hilo suala.