Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

kwahiyo Gambo ndiyo Role Model wako? Akili za Bavicha bwana.
Wewe ujinga utakutoka lini?
Akili zako kama za yule Marehemu wenu.
Wewe kila mkosoaji humu unamwita Ba mkosoajivicha.
Kwa akili zenu za roho mbaya mnaona kila mkosoaji wa yule kichwa wenu mnawatupia lawama Chadema.
Hivi kwani haiwezekani mkosoaji akawa wa CUF,ACT,NCCR,TLP Wasio na vyama kama wapenda haki wengine?
Yule mtu wenu aliefanya mazuzu nusu ya nchi.
Umakalia bavicha bavicha,kwa Nini isiwe bawacha Au Wawata au Viwawa au bakwata?
Nimekuona mifano tu wewe.maana hata mifano hii itakushinda kuelewa.
 
Umuombee msamaha kwa nani wakati amepumzika mbinguni kwa baba baada ya kumaliza kazi yake.. Haya ni ya kiroho zaidi na wewe huwezi kuyajua.. Labda upate mtu aliyefunuliwa akuelezee.. Vinginevyo utaendelea kuishi na jinamizi na kujitesa wakati unayemchukia huna uwezo wala mamlaka naye..
Hamna muovu na dhalimu anayeweza kwenda mbinguni.
 
huna lolote hizo lawama nyingi ni zipi?????? mbona watanzania bado wanamlilia na kumkumbuka sana.
 
Magufuli bado anaishi tena mioyoni mwa watanzania wengi naona waliokuwa wanamuonea WIVU bado wanahangaika kutaka kufuta legacy yake lakini wamekwama,watanzania walilia kwa uchungu kutoka moyoni.
Wewe kama ulimlilia kwa uchungu haya, mimi sina uchungu....
Legacy unaongelea? Kuua?
 
forget n forgive
Ukisha-fogeti uta-fogivu nini sasa?? Hatuwezi kufogeti tunatakiwa tukumbushane ili tusirudie kuchagua alichosema Lissu "kiongozi waajabu haijawahi kutokea" kufogivu tunamwachia Mungu maana kunawengi walioumizwa sana huwezi kuwasemea msamaha kijumlajumla
 
Ha ha ha pale unapotafunwa na kauli zako mwenyewe Ame amekuumbua unabaki kupindua maneno tu,safari hii CCM wanawachezesha ngoma ya mdumange CDM sasa hivi mnademka mtu na beat za Samia.
We pambana na CDM, niache mimi nipambane na misukule ya mwendakuzimu.

Kupanga ni kuchagua
 
Kwa kosa gani? Huo msamaha baki nao mwenyewe. Alitimiza majukumu yake ya kikatiba na kuleta maaendeleo kwa spidi kubwa hadi kifo kilipomchukua. Staili yake ya uongozi haikuwa ya blabla na maneno matamu mliyozoeshwa bali vitendo vyenye matokeo tu.
Majukumu gani?katiba yenyewe alikua haifwati
Kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe..ngoja abebe wake..nadhan hatukupaswa kabsa kuwa na mtu kama yy kwenye nafas hio
 
Hilo halitusunbui sana. Hata ile eapoti tutamwambia mama aijengee tiles ili muanike mahindi yenu na ng'ombe zenu zipate sehemu ya kuota jua. Ila kuja kutufokea huku town ndo msahau tena....

BTW kaka yenu Bashite ng'ombe wake wako salama? Hana tena kazi ya kufokea watu mjini

Hapo Bashite hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JKama imekuuma, kunywa sumu nawe tukuzike.

We jizi la vyeti hauna nafasi kwenye ajira ya serikali.

Soma kwa bidii upate vyeti halali na wewe ujidai kama wasomi wengine badala ya kulia lia na kutaka kupewa vyeti vya dezo dezo.

Siku hizi kuna MEMKWA na QT, hata uwe zee lenye midevu unapiga shule tu. Hakuna aibu wala kujificha ficha.

Unataka kuteleza na mavyeti feki bila taaluma lazima wakubandue tu.
 
Aibu yenu JPM bado yuko akilini mwenu inaonekana mlimpenda sana ndo mana kutwa mnamjadili.
 
We jizi la vyeti hauna nafasi kwenye ajira ya serikali.

Soma kwa bidii upate vyeti halali na wewe ujidai kama wasomi wengine badala ya kulia lia na kutaka kupewa vyeti vya dezo dezo.

Siku hizi kuna MEMKWA na QT, hata uwe zee lenye midevu unapiga shule tu. Hakuna aibu wala kujificha ficha.

Unataka kuteleza na mavyeti feki bila taaluma lazima wakubandue tu.
Ikiuma chomoa, kama vipi kunywa sumu tukakuzike pembeni ya mwendakuzimu...
 
Aibu yenu JPM bado yuko akilini mwenu inaonekana mlimpenda sana ndo mana kutwa mnamjadili.
Shetani kila siku anazungumziwa makanisani. Inaelekea wakristo wanampenda sana...
 
tulimlilia wengi kwa taarifa yako tu na hatosahaulika for your information,alimuuwa bibi yako?😕
Kwa ile roho hakika hatosahaulika, endelea kumlilia, nenda kagale gale kwenye kibanda umiza....
 
Back
Top Bottom