Ipo sababu ya Hamas kumuua Joshua kikatili?

Ipo sababu ya Hamas kumuua Joshua kikatili?

Endelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!

Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!

Acha unafiki mbumbumbu wewe!
Subiri, kunywa maji mengi na uhakikishe ni masafi na salama
 
Endelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!

Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!

Acha unafiki mbumbumbu wewe!
Mbmbmb mmk mbw ww
 
Nimelia sana hadi machozi yameisha. Nimekuja kuamini kuwa Hamas ni magaidi na wanapaswa kuangamizwa, nimejitahidi kuulizia kama kuna connection kwenda kusaidia kuwaangamiza Hamas lakini nimekosa.
Naomba serikali itoe tamko kama Hamas ni magaidi au la! Maana naona nchi imetulia kama hamna kilichotokea
nahisi kilichomponza ni ile boxer ya kijeshi aliyovaa!!!,,,nahisi walihisi ni mamluki{{inasikitisha sana}}
 
Nimelia sana hadi machozi yameisha. Nimekuja kuamini kuwa Hamas ni magaidi na wanapaswa kuangamizwa, nimejitahidi kuulizia kama kuna connection kwenda kusaidia kuwaangamiza Hamas lakini nimekosa.
Naomba serikali itoe tamko kama Hamas ni magaidi au la! Maana naona nchi imetulia kama hamna kilichotokea
hamas ni wapalestina, tunashindwa kuwalaani na kuwatolea matamko mazito tunahofia kuwakwaza waarabu wanaotuuzia mafuta yaani ulimwingu wa kiarabu na kiislam.
 
Hivi angekuwa ni muislam na jina lake linasadifu uislam wangemuacha salama, ukute hata hata neno moja la qur an alishindwa kutamka ndipo magaidi ya kiislam yakaona ni adui wao wakammalizia mbali! Haya magaidi ya kiislam dawa yao ni kujua maneno ya kiislam tu, ukitekwa nayo unawashushia aya za qur an mpaka wanashika adabu wananywea wanakuachia salama wakijua ni ndugu yao. Kwa ujanja unawachomekea habari njema za injili ya Yesu kristo kwa kiarabu. Jamani tuisome na kuijua qur an ili tuweze kujinanusua kwenye mitego ya magaidi ya kiislam yanayoteka watu kiholela
 
hamas ni wapalestina, tunashindwa kuwalaani na kuwatolea matamko mazito tunahofia kuwakwaza waarabu wanaotuuzia mafuta yaani ulimwingu wa kiarabu na kiislam.
Kweli wanaweza kuzira hata kununua bandari
 
Kwahiyo huyu Allah wenu ndio amewatuma kumuuwa Mtanzania? huu ndio ushindi wenu magaidi in the name of Allah?
Huyu Allah atakuwa hajui ht kutawadha kwa namna hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Labda tukuue wewe tuwape nduguzo sababu. Wewe una akili gani?
 
Endelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!

Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!

Acha unafiki mbumbumbu wewe!
Acha usenge basi huyo mwamba katoa msimamo wake maswala ya chadema yanakujaje?msipende kufosi watu Siasa zenu hizo mazafaka!!
 
Back
Top Bottom