Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Joshua ni mmoja kati ya watu zaid ya elf 30 walioua pasi na kuwa na hatia yeyote ukanda wa Ghaza na Israel kwa jumlawaislam ni watu wa hovyo sana
Inasikitisha sana
KheeeeeEndelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!
Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!
Acha unafiki mbumbumbu wewe!
Sababu ni Mkristo...
Walimuuliza jina akajibu Joshua...yani Yoshuaa...wakamtawanyisha viungo..nasikia hawataki kusikia kabisa majina ya kigalatia..
Ndio Waislamu hao....na hiyo ni moja ya Ustaarabu wao.Waislamu ni watu wastaarabu Sana, nimeishi nao. Ukipata tatizo la kijamii wanakuja kwa haraka kusaidia iwe msiba au sherehe. Tatizo ni wale wanaojifanya wafia dini kutimiza malengo yao na wengi wao elimu ni ndogo ndio maana ni rahisi kurubuniwa
kwan Mollel ndo aliwaua hao watu ? hv una akili kwel ? waislam mtakuwa mnamuabudu shetan sio bureEndelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!
Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!
Acha unafiki mbumbumbu wewe!
wapo wapalestine wakristoSababu ni Mkristo...
kwan Hamas si magaidi unajifanya huelew ?Wewe ni daktari wa nini unaonekana kuwa mbumbumbu
kwan Joshua anajuwa migogoro yao hao israel vs Arabs ? je anahusikaje na migogori yao ? kwann wasiwekeze nguvu kuwashika waisrael?1. Mkuu HAMAS walimfuata Joshua nje ya maeneo wanayopigania kuyakomboa?
2. Una uhakika gani kuwa Joshua kafa au kauliwa?
3. Una uhakika gani kama kafa kauliwa na HAMAS
4. Kulikoni tusijikite kumwombea ndugu yetu kurudi salama?
5. Kulikoni tusilaani mauaji na dhuluma kwa wasio na hatia wote huko mashariki ya kati?
dini ya kishetan imeleeta matatizo dunian kote hapo msumbiji , drc , Uganda na Kenya hata tz tumekutana na matukio ya kigaidi yaliyofanywa na wahuni wa hii diniSio kweli kabisa, epukana na chuki mkuu
Ila wajukuu zetu watatushangaa sana umepewa jina la kiarab umesahau kuwa ww ni muafrika na unajihis mwarab sasa , waarab wakikuona wanakuona ni muafrika tu mwenyr kiherehereKwa barometer au kipimo kipi tukawajaribu na IDF hapo?
We jamaa jinga sana...unamuamulia mtu Alie kwenye kifo cha mtu....yeye kasema kalia kwa huyo aliyeuliwa na Hamas...Mengine hajayaongelea.Endelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!
Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!
Acha unafiki mbumbumbu wewe!
Huoni wapalestina wanavyouawa na israel wewe umeona huyo Mmoja tuNimelia sana hadi machozi yameisha. Nimekuja kuamini kuwa Hamas ni magaidi na wanapaswa kuangamizwa, nimejitahidi kuulizia kama kuna connection kwenda kusaidia kuwaangamiza Hamas lakini nimekosa.
Naomba serikali itoe tamko kama Hamas ni magaidi au la! Maana naona nchi imetulia kama hamna kilichotokea
Well saidEndelea kulia hapohapo Kwa shemeji Yako!
Wakati Ben saa8, Azory Akwlina, Alphonse, Lwajabe , Kanguye nk wanapotea ulilia mara ngapi,unamuonea huruma aliyefia uwanja wa vita wakati aliyefia uwanja wa amani hujamuonea huruma!
Acha unafiki mbumbumbu wewe!
Ambao wanateswa sana na kupigwa na wenzao wa dini yenuwapo wapalestine wakristo
Sisapoti walichokifanya hamas ila kifo cha Mollel kimeonesha ni jinsi gani wanavyoumia ndugu, raia wa wanaouwawa kwenye vita bila hatia. Hii vita sina upande na siwezi shabikia vita kamwe kwa sababu wanaodhurika zaidi ni watu wasio na hatia.Huoni wapalestina wanavyouawa na israel wewe umeona huyo Mmoja tu
Hujaoona taarifa ya Serikali kwa umma? Maana yake familia ya Joshua ishathibitishiwa kabla.2. Una uhakika gani kuwa Joshua kafa au kauliwa?
Kaka, kuna kitu kinaitwa nationalism au uzalendo. Hii humaanisha mtu anakuwa na upendo wa nchi yake kuliko nchi nyingine. Inapotokea raia wa nchi yake ameuawa katika nchi ya ugeni hupata huzuni isiyo kifani na hata huwa tayari kufanya lolote ile alipize kisasi cha jama yake (his countryman) kuuawa.Joshua ni mmoja kati ya watu zaid ya elf 30 walioua pasi na kuwa na hatia yeyote ukanda wa Ghaza na Israel kwa jumla
ila kwa unafiki umechagua mmoja kumlilia na kuacha maelfu wengine wanaoendelea kuuawa pasi na hatia
Mtu asie na hatia akiuawa unapaswa kulaani na kuumia bila ya kuangalia nani kaua
Waliouawa kwa kuvamia ndani ya Israel walifanya makosa kama ambavyo Israel inaendelea kuuwa na kwa namna ile ile ya uonevu ndivyo alivyouawa Joshua
ukilaani mauaji kwa kuangalia kwanza nani kauwa tambua huitendei haki akili yako kubwa uliyoruzukiwa na Mola wako na badala yake unaruhusu hisia zitawale akili yako
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app