Ipo sababu ya Hamas kumuua Joshua kikatili?

Ipo sababu ya Hamas kumuua Joshua kikatili?

Kaka, kuna kitu kinaitwa nationalism au uzalendo. Hii humaanisha mtu anakuwa na upendo wa nchi yake kuliko nchi nyingine. Inapotokea raia wa nchi yake ameuawa katika nchi ya ugeni hupata huzuni isiyo kifani na hata huwa tayari kufanya lolote ile alipize kisasi cha jama yake (his countryman) kuuawa.

Mfano. Kama Serikali yetu ingetaka kulipiza kisasi cha kuuawa kwa Joshua Mollel, kama taarifa za kuuawa kwake ni sahihi, ingeingia vitani dhidi ya Hamas kwa sababu ya kumuua mtanzania na siyo kwa sababu Hamas wanaua raia wa nchi zingine. Hivyo sioni kosa kwa watanzania wenzangu kuumizwa na kitendo cha Joshua Mollel kuuawa.
lakini huyo mtanzania Joshua aliyeenda katika mafunzo ya kijeshi kwa mwavulinwa kilimo alikubali kuwa frontline kuuwa wanawake na watoto ambao hawapigani na tanzania
 
Taarifa rasmi ni kwamba alienda kwa ajili ya kujifunza kilimo, hizo taarifa zingine sijui.
Kuna watu wanatafuta sababu za kuhalalisha kifo chake, wako tayari kutetea magaidi Lisa tu wanaendana na Imani yao. Hata Kama wangeenda kwenye mafunzi ya kijeshi, ujuzi ambao wangeupata ingekuwa kwa ajili ya Tanzania.
 
IMG_1455.jpg

alikwenda kusoma au jeshini
 
Back
Top Bottom