Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
7,134
Reaction score
4,556
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
 
Mm sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
So FAM ndio mkweli?
 
Hekima nyingine ni za kijinga huwezi ukawa unahongwa RUSHWA ili uwe mpole lakini watu wako wanatekwa na kuuwawa.

Tunataka hekima za kijasiri kama za Lissu za kukataa RUSHWA na kuwasema hadaharani wala RUSHWA tinataka hekima za kuichukia RUSHWA.
lissu hana ujasiri kila akibanwa anaenda amsterdam anaawaacha kwenye mataa
 
Mm sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters


Amekaa Sana mwache akapumzike

Hana tena mawazo mapya
 
Watamkumbukaje wakati hatabanduka kitini? Na kama ikitokea akabanduliwa kitini hakuna wa kumkumbuka, nyakati zake zitakuwa zimepita. Chama kitakuwa kinakabiliana na changamoto mpya katika zama mpya
mko tayar kuchanga lakini n kukimbiwa na mwenyekiti kila vugu vugu likianza
 
Kwamba LISU ni Muongo? Na umepata hizi taarifa kutoka kwa watu wake karibu? Au sijakuelewa Mkuu!

Na wewe umethibitisha vipi hao waliokupa hizo taarifa kama si waongo?

Hukusu FAM kuwa Busara nakuunga mkono Mkuu
 
Wewe umezaliwa kisarawe na utafia huko kisarawe muache Lissu apasue anga za Kimataifa ndio maana mnakuwa wachawi.

Mimi mwenyewe ni Mzee wa viwanja kama Lissu nenda kaniroge.
kwahio we mchawi lissu akikimbia akawaacha solemba itakuaje
 
Back
Top Bottom