Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Kusafiri kuna shida? Mbona Mbowe mwenyewe huenda kupumzika Dubai mara kwa mara?
Ujuaji mwingine ni ujinga tu
kwahio unajitoa akili mm naongelea kukiwa na maandamano anakimbia anaenda nje anaacha muendelee kusumbuana wenyewe
 
Mbowe atakumbukwa kwa nafasi yake kwa muda aliotumikia chadema. Atakumbukwa kama viongozi wengine waliopita.

Watu wasitishwe kuhusu chama kufa kisa mbowe ama lissu.

Chadema haijawahi kushika dola, hivyo uwepo wake ama kutokuwepo kwake ni sawia tu.

Kutoweka kwa CCM ndiyo italeta taharuki duniani. Ila kwa Chadema ife tu.
 
Mbowe atakumbukwa kwa nafasi yake kwa muda aliotumikia chadema. Atakumbukwa kama viongozi wengine waliopita.

Watu wasitishwe kuhusu chama kufa kisa mbowe ama lissu.

Chadema haijawahi kushika dola, hivyo uwepo wake ama kutokuwepo kwake ni sawia tu.

Kutoweka kwa CCM ndiyo italeta taharuki duniani. Ila kwa Chadema ife tu.
🤣 🤣 🤣 mzee ufipa wamekukosea nn
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Nyerere anakumbukaa kila siku.
Mbowe hakuanzisha Chadema aliikuta, hivyo awaachie wengine
Wakati si sahihi kwake
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Kuna jamaa yangu aliwahi niambia hv, "hivi katika vurumai za chadema na polisi, umeishawahi kuona Mbowe, anapigwa? Huwa wanapigwa wengine, ye ye wala haguswi! Nikambishia Sana" Now I know better, Mbowe ni pandikiz tu la, ccm, deep state, katika upinzani, kama alivyokuwa Mabere Malando, Augustine Mrema,
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters

baadhi ya watu wanaomjua in person wanasema ni muongo muongo, kuna sehem mbowe aligusia pia jamaa ni muongo so nkaunganisha dots
Kumbe na wewe umesikia mahali, jaribu kimjua in person kwanza
 
lissu atakumbukwa kwa kukimbia nje ya nchi
Mbowe hakuwahi kukimbilia SA kipind chq magu? Lissu kaanza kwenda nje sana baada ya matatizo yaliyomkuta, sababu bado ana risasi zimebaki huwa anaenda mara kwa mara for check up

Majeraha hayo aliyapata sababu ya kukipigania chama, he almost lost his life
 
Mbowe hakuwahi kukimbilia SA kipind chq magu? Lissu kaanza kwenda nje sana baada ya matatizo yaliyomkuta, sababu bado ana risasi zimebaki huwa anaenda mara kwa mara for check up

Majeraha hayo aliyapata sababu ya kukipigania chama, he almost lost his life
we mzee sisi sio watoto tunakumbuka vzuri alikimbila ubalozini akasaidiwa kupatiwa tiketi
 
Kuna jamaa yangu aliwahi niambia hv, "hivi katika vurumai za chadema na polisi, umeishawahi kuona Mbowe, anapigwa? Huwa wanapigwa wengine, ye ye wala haguswi! Nikambishia Sana" Now I know better, Mbowe ni pandikiz tu la, ccm, deep state, katika upinzani, kama alivyokuwa Mabere Malando, Augustine Mrema,
point is mbowe ana busara na hekima ata wewe utakapokua unaongea na mbowe unaongea kwa ustarabu ila ukiwa karibu na lisu utajikuta na wewe unapayuka
 
Ni bora chama kikafa ,tunamtaka lissu
Mbona kimeishachungulia kule,
Na kwanini wanaharakati wamechachamaa kuangusha Mbowe badala ya kuanzisha chama kipya au kuhamia vyama vingine?
Lengo ni kumtoa Mbowe kwa gharama yoyote.Wakishamtoa watafanya mapinduzi.Mapinduzi ndio hayo yataizika Chadema ya Mbowe.
 
Back
Top Bottom