Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Wenzako wanataka pachangamke wewe unataka paendelee kupoa
 
na hizi ndo akili za wapambe wa lissu, mko vizuri kuongea ujinga
Kama wewe ndo Campaign Manager wa Mbowe basi mnazidi kudhihirisha kuwa Mbowe ni zero brain. Mtu makini hawezi kuchagua takataka zimtetee!
 
Btw, tunakujua wewe ni mtu wa viwanja, huhitaji kujitangaza!
Mimi kila wiki niko Kigali Kampala Goma Juba Beni Bunya nk.
Mimi ni MUWAZI kama LISSU nifichefiche nini BARAKA nilizopewa na Mungu.

Mbona wewe kwa Magufuli huwa unamuongelea kwa bashasha Magufuli hata pale tulipokuwa tukisema Dishi la Mr. President limeyumba.
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
wanasiasa wote ni waongo duniani hata huko ccm ndo balaa ila safari hii kwa chadema ni yeye mbowe abaki kama mzee wa heshima
 
Nmeongelea kwa taarifa ndogo nlizonazo, kuhusu mbowe sina taarifa zake sana za karibu ila if thats the case mnachaguaje mt muongo?
basi we hufai kuwa mwandishi, tafuta stori na upande wa pili ilitupate uwiano mzuri wa taarifa zao
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
kwanini ambao hampo chadema ndo wengi wenu mnamkubari mbowe?.. kuna agenda gani kati yenu
 
mambo ya janja janja ndo mwisho wake tunaenda kua na chadema iliyosimama.. ambayo haitakubari kurubuniwa kijinga
 
Mbowe aliiba pesa nyingi, chawa wamshukuru lisu kwa kugombea uenyekiti maana sasa chawa watamkumbuka Mbowe kwa kula pesa zake ambazo aliziiba chadema sasa wanagawana angalau zinaliwa na wengi tofauti na zamani alikula peke yake,lisu kawatengenezea ulaji chawa wa mbowe lazima wakumbuke mbowe kwa kula pesa kwani mbowe ni mtu mchoyo kupindukia ndiyo maana haishi masimango
Chawa mfwata mkumbo leta ushahidi sio mipasho.Uku sio facebook.
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Kusafiri kuna shida? Mbona Mbowe mwenyewe huenda kupumzika Dubai mara kwa mara?
Ujuaji mwingine ni ujinga tu
 
Back
Top Bottom