Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Kwamba LISU ni Muongo? Na umepata hizi taarifa kutoka kwa watu wake karibu? Au sijakuelewa Mkuu!

Na wewe umethibitisha vipi hao waliokupa hizo taarifa kama si waongo?

Hukusu FAM kuwa Busara nakuunga mkono Mkuu
Lisu muongo na mzushi, yote aliyoongea kuhusu Rushwa hawezi kuyathibitisha kwa namna yoyote.

Tatizo lake akiwa mbele ya mic akili zina mtoka, anaanza kuongea hovyo.
Lisu angekuwa na ushahidi, angesha utoa, hawezi kukaa na siri yoyote.
Hivyo kwakua hajautoa ushahidi, ni muongo.
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Chadema na wanachama wake wote ni tools za Mbowe kujinufaisha tu.
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana.
Kumuita mtu muonga bila kurejea uongo wake hizo ni dalili za kukata tamaa na kuchanganyikiwa, zaidi inaonyesha kuwa hiyo sifa ya uongo ni sifa yenu pendwa.
Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,
Mnarudia yaleyale, kukemea ujinga kila wakati sababu mnafanya ujinga kila wakati, ninyi ndiyo mnaita uropokokaji? Mbona Magufuli alikuwa ni mropokaji wa viwango vya juu na alipewa urais na mkamshangilia? Kuna mropokaji mwingine, Paul Makonda, mpaka leo mnamkumbutia na kumshangilia, siyo kwa uwezo bali kwa ajili ya uropokaji wake hata mkaupa jina zuri eti ni uthubutu.
Ninyi mlishaamua kuwa mapunguani na sasa mnatafuta wafuasi kuongeza namba katika huo upunguani wenu.
Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Watu kwenda nje ya nchi inawaumeni sana. Viongozi wangapi wa serikali wanaenda nje na wengine familia zao zipo nje?

Mpaka leo kuna mijitu mnawaza kuwa mtu kwenda nje ni uhaini? Watu wamesoma nje, wameanzia maisha nje, wameoa na kuolewa nje, wana biashara wana ndugu na marafiki wengi zaidi huko.

Nyie endeleeni na mentality zenu za kuishi kimasikini nchini kuwa ndiyo uzalendo, wakati kurudi hata kwenda kusalimia tu vijijini kwenu mnaogopa kuwa mtarogwa.
 
Um
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
This is really crap. No content, ni kelele tu.

Chukua muda wa kujifunza kutoka kwa wenye uelewa ili ujue namna ya kuandaa mada kabla ya kuileta JF.

Pole sana.
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Mbowe ni Gwiji wa siasa Afrika Mashariki na Kati. Anaijua siasa na ni muungwana sana.
 
Wewe hu
kwahio we mchawi lissu akikimbia akawaacha solemba itakuaje
Huelewi hata maana ya kukimbia.

Mandela aliishi hapa Tanzania kwa muda fulani wakati akipambana na makaburu. Samora aliishi hapa Tanzania kwa muda fulani wakati anapambana na wareno.

Wapambanaji wanapoenda kuishi nje ya mataifayao kwa muda fulani, usidhani wanaenda kulala bali, ni kubadilisha mbinu za mapambano kitegemeana na mazingira ya wakati.

Mbinyo wa jumuia ya Ulaya dhidi ya Serikali ya Samia mpaka Samia kumtoa Mbowe bila kupenda, ilikuwa ni jitihada za hao waliokuwa nje ya nchi. Hapa ndani ilikuwa imeshindikana. Ila ukiwa na akili ndogo utaamini kuwa wanaenda huko nje kulala usingizi.
 
kwenda nje kwa lengo gan? mbna nmeelezea vizuri apo kwamba lissu akiwekwaga mtu kati lazima akimbie nchi awaache mtajua wenyewe pakipoa ndo anarudi na kauli zake tena, apo watu washakufa

Hiyo ni Perception yako Tu na unataka kujaribu kukonect dotes

Aliwekwa mtu Kati wapi?
Kwenye Jambo gani?
 
Hiyo ni Perception yako Tu na unataka kujaribu kukonect dotes

Aliwekwa mtu Kati wapi?
Kwenye Jambo gani?
kwamba ulisahau alivokimbilia ubalozini wakati wa maandamano
 
Wewe hu

Huelewi hata maana ya kukimbia.

Mandela aliishi hapa Tanzania kwa muda fulani wakati akipambana na makaburu. Samora aliishi hapa Tanzania kwa muda fulani wakati anapambana na wareno.

Wapambanaji wanapoenda kuishi nje ya mataifayao kwa muda fulani, usidhani wanaenda kulala bali, ni kubadilisha mbinu za mapambano kitegemeana na mazingira ya wakati.

Mbinyo wa jumuia ya Ulaya dhidi ya Serikali ya Samia mpaka Samia kumtoa Mbowe bila kupenda, ilikuwa ni jitihada za hao waliokuwa nje ya nchi. Hapa ndani ilikuwa imeshindikana. Ila ukiwa na akili ndogo utaamini kuwa wanaenda huko nje kulala usingizi.
mbona mbowe miaka yote 20 alipambana apa apa hakukimbia
 
Kumuita mtu muonga bila kurejea uongo wake hizo ni dalili za kukata tamaa na kuchanganyikiwa, zaidi inaonyesha kuwa hiyo sifa ya uongo ni sifa yenu pendwa.

Mnarudia yaleyale, kukemea ujinga kila wakati sababu mnafanya ujinga kila wakati, ninyi ndiyo mnaita uropokokaji? Mbona Magufuli alikuwa ni mropokaji wa viwango vya juu na alipewa urais na mkamshangilia? Kuna mropokaji mwingine, Paul Makonda, mpaka leo mnamkumbutia na kumshangilia, siyo kwa uwezo bali kwa ajili ya uropokaji wake hata mkaupa jina zuri eti ni uthubutu.
Ninyi mlishaamua kuwa mapunguani na sasa mnatafuta wafuasi kuongeza namba katika huo upunguani wenu.

Watu kwenda nje ya nchi inawaumeni sana. Viongozi wangapi wa serikali wanaenda nje na wengine familia zao zipo nje?

Mpaka leo kuna mijitu mnawaza kuwa mtu kwenda nje ni uhaini? Watu wamesoma nje, wameanzia maisha nje, wameoa na kuolewa nje, wana biashara wana ndugu na marafiki wengi zaidi huko.

Nyie endeleeni na mentality zenu za kuishi kimasikini nchini kuwa ndiyo uzalendo, wakati kurudi hata kwenda kusalimia tu vijijini kwenu mnaogopa kuwa mtarogwa.
unajaribu kupindisha swali point apa ni kipindi kile maandamano yanaendelea alikimbilia ubalozini akapata ndege ya nje ya nchi
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
nonsense
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
1. Wenye busara 90% ndio hao matapeli wakubwa kwa kutumia ulimi
2. Lissu kila mtu anamjua ni mkweli luliko ukweli wenyewe.
3. Mbowe atakumbukwa sana tu kwa jinsi alivyojinufaisha kupitia chadema.

Mbowe anaikopesha chadema ili akodi chopa ya kuzungukia hii sahihi na baadqe anadai pesa yake na interest juu haa.

Je mwenye hekima atawale milele?
 
Back
Top Bottom