Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

haya mpelekee taarifa
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters

Kwa kweli mmekosa hoja, kwamba sasa mmekuja mkiomba muaminiwe tu on humanitarian grounds?

Kwani nyie ni UNHCR?
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
amewashika akili hadi mnaamni bila yeye hakuna chadema. mnahitaji maombi ninyi mfunguke akili.
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Nyumbu wa Sultan Mbowe @ work
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Nipe record ya uongo ya Lissu ya miezi mitatu nyuma ili tujiaminishe
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Kabisa Lissu ni mropokaji hafai uongozi CDM.
 
CCM itakuwa very relaxed akitoka kwenye uwenyekiti Mbowe. Lissu is very cheap politically, socially and financially! Hawa keyboard warriors wanaomuunga mkono ni kama artificial intelligence tu. Weeeeeeengi mitandaoni, lakini waite sasa wapige kura au waandamane na ndio utajua kumbe ni artificial intelligence! Ahahahahaha!
 
Kwa lipi na kwa kipi? 20 years kafanya nn cha maana zaidi ya kujinufaisha mwenyewe?
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Kama FAM ndioyo mkweli ni aheri cha kife kuliko kuwa mali ya mtu mmoja.
 
Hekima nyingine ni za kijinga huwezi ukawa unahongwa RUSHWA ili uwe mpole lakini watu wako wanatekwa na kuuwawa.

Tunataka hekima za kijasiri kama za Lissu za kukataa RUSHWA na kuwasema hadaharani wala RUSHWA tunataka hekima za kuichukia RUSHWA.

Weka ushahidi ndugu mpiga chapa
 
Hekima nyingine ni za kijinga huwezi ukawa unahongwa RUSHWA ili uwe mpole lakini watu wako wanatekwa na kuuwawa.

Tunataka hekima za kijasiri kama za Lissu za kukataa RUSHWA na kuwasema hadaharani wala RUSHWA tunataka hekima za kuichukia RUSHWA.
Na huyo mtu aina ya Tundu Lissu wa kukemea rushwa sirini na hadharani hayupo hata huko CCM kwasasa
 
Chadema watamkumbuka Mbowe kwa kung'ang'ania madaraka kama Prof Lipumba tu hakuna kingine..
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Maandiko yanasemaje kuhusu mtu amtumainiye mwanadamu mwenzie ???!!
 
Quote me wrong, wengi ktk mitandao ya kijamii wanaomponda Mbowe ni jobless young youths waliosmua kutupa karata yao kwa Lisu km mkombozi wao akipata nafasi baada ya ccccccm kuwapuuza. Wanaimani akipata uenyekiti hata CHADEMA isipoingia madarakani Lisu atasaidia ku push shida yao ya ajira kwa serikali ya ccccccm bila kupepesa macho au handshake km anavyofanya Mbowe.

Shida ni moja tu kuwa kwa asili ya Tz ya uoga hata Lisu haitishe maandamano yenye malipo hawa vijana hautawaona barabarani hata sku moja, atabaki anabweka tu km mbwa asie na meno
Hapo sasa ndio patamu !
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Hata washabiki wa Lisu na hakika hawawezi kufanya makubaliano ya Siri na Lisu Kwa sababu Kuna siku ataropoka 😂😂
 
Back
Top Bottom