Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Kwamba LISU ni Muongo? Na umepata hizi taarifa kutoka kwa watu wake karibu? Au sijakuelewa Mkuu!

Na wewe umethibitisha vipi hao waliokupa hizo taarifa kama si waongo?

Hukusu FAM kuwa Busara nakuunga mkono Mkuu
baadhi ya watu wanaomjua in person wanasema ni muongo muongo, kuna sehem mbowe aligusia pia jamaa ni muongo so nkaunganisha dots
 
Quote me wrong, wengi ktk mitandao ya kijamii wanaomponda Mbowe ni jobless young youths walioamua kutupa karata yao kwa Lisu km mkombozi wao akipata nafasi baada ya ccccccm kuwapuuza. Wanaimani akipata uenyekiti hata CHADEMA isipoingia madarakani Lisu atasaidia ku push shida yao ya ajira kwa serikali ya ccccccm bila kupepesa macho au handshake km anavyofanya Mbowe.

Shida ni moja tu kuwa kwa asili ya Tz ya uoga hata Lisu haitishe maandamano yenye malipo hawa vijana hautawaona barabarani hata sku moja, atabaki anabweka tu km mbwa asie na meno
 
Mimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters

Kwani Mbowe amekuja Chadema na ni lazima yeye tu ndiye awe mwenyekiti? Kama kweli ana nia njema basi Mbowe abaki kuwa mlezi badala ya kuwaombea mabaya watu ambao yeye mwenyewe ndiye kawafundisha uongozi
 
Mimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Mbowe must go
 
20years inatosha wacha wenzake waingie,kuwa mzee mshauri inatosha
 
Imkumbuke kwani anaenda wapi?
Hiko chama chake kufa na kuzikana.
Hatoki hapo mnataka asemeje muelewe.
 
Mimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Heading isomeke too late sio very late.

doesn't sound good, though maana inaeleweka!!🙏🙏
 
Mimi sio mwana chadema ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na lissu husema kwamba lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya lissu ya kukimbia amsterdam sjaelewa kama wanaomuunga mkono lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Chadema itamkumbuka Mbowe kwa Rushwa ya ngono kwa viti maalum itamkumbuka kwa wizi wake wa pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa visingizio kuwa alikikopesha chama madeni hewa, atakumbukwa kwa kumteketeza wangwe, zito, atakumbukwa kwa kuunda kamati za Roho mbaya kama alivyounda kamati ya Roho mbaya ya sasa chini ya mdee, Boniface , wenje, wewe na wengine wenzenu kwa ajili ya kumdhoofisha Lisu
 
Mbowe atakumbukwa kwa mengi ikiwemo masimango kwani mbowe akikupa hata kiberiti kina njiti moja husimanga kuwa alikusaidia hata kama pesa ni za chama, Mbowe anayo mengi ya hovyo ya kukumbukwa
 
Mbowe aliiba pesa nyingi, chawa wamshukuru lisu kwa kugombea uenyekiti maana sasa chawa watamkumbuka Mbowe kwa kula pesa zake ambazo aliziiba chadema sasa wanagawana angalau zinaliwa na wengi tofauti na zamani alikula peke yake,lisu kawatengenezea ulaji chawa wa mbowe lazima wakumbuke mbowe kwa kula pesa kwani mbowe ni mtu mchoyo kupindukia ndiyo maana haishi masimango
 
Mbowe atakumbukwa kwa masimango na mambo mengi ya hovyo ikiwemo kulewa konyagi
 
Back
Top Bottom