Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

baadhi ya watu wanaomjua in person wanasema ni muongo muongo, kuna sehem mbowe aligusia pia jamaa ni muongo so nkaunganisha dots
Mbowe ndiyo muongo muongo pia mwizi na mchoyo balaa, sasa chawa watamkumbuka kwa kula pesa zote alizoiba chadema baada ya kupelekeshwa na pressure ya Lisu
 
Chadema ni saccos ni Duka la Mbowe ndiyo maana idara ya pesa hataki hata katibu mkuu wa chama awe na mamlaka, Mbowe kashikiria pesa za chama kama waleti yake huzichezea atakavyo na sasa anazitumia kumunua uenyekiti hataki kusitaafu kwa hofu kuwa akiingia mwenyekiti mpya ataibua madudu yake yote zikiwemo kashifa za Rushwa ya ngono kwa wabunge viti maalum
 
Quote me wrong, wengi ktk mitandao ya kijamii wanaomponda Mbowe ni jobless young youths waliosmua kutupa karata yao kwa Lisu km mkombozi wao akipata nafasi baada ya ccccccm kuwapuuza. Wanaimani akipata uenyekiti hata CHADEMA isipoingia madarakani Lisu atasaidia ku push shida yao ya ajira kwa serikali ya ccccccm bila kupepesa macho au handshake km anavyofanya Mbowe.

Shida ni moja tu kuwa kwa asili ya Tz ya uoga hata Lisu haitishe maandamano yenye malipo hawa vijana hautawaona barabarani hata sku moja, atabaki anabweka tu km mbwa asie na meno
Mbowe atakumbukwa kwa maovu yake hususani alivyowafanyia marehemu wangwe na pia zito na wengineo
 
Mbowe ndiyo muongo muongo pia mwizi na mchoyo balaa, sasa chawa watamkumbuka kwa kula pesa zote alizoiba chadema baada ya kupelekeshwa na pressure ya Lisu
mbowe katoa ela zake kukisukuma chama na amesema antipas hajawahi kutoa ata senti
 
Chadema ni saccos ni Duka la Mbowe ndiyo maana idara ya pesa hataki hata katibu mkuu wa chama awe na mamlaka, Mbowe kashikiria pesa za chama kama waleti yake huzichezea atakavyo na sasa anazitumia kumunua uenyekiti hataki kusitaafu kwa hofu kuwa akiingia mwenyekiti mpya ataibua madudu yake yote zikiwemo kashifa za Rushwa ya ngono kwa wabunge viti maalum
lisu Kakimbia amsterdam kawaacha kwenye mataa mbowe kakomaa na nyie mpaka mwisho leo lissu ndo anaonekana shujaa, kwel minyoo pombe
 
Quote me wrong, wengi ktk mitandao ya kijamii wanaomponda Mbowe ni jobless young youths waliosmua kutupa karata yao kwa Lisu km mkombozi wao akipata nafasi baada ya ccccccm kuwapuuza. Wanaimani akipata uenyekiti hata CHADEMA isipoingia madarakani Lisu atasaidia ku push shida yao ya ajira kwa serikali ya ccccccm bila kupepesa macho au handshake km anavyofanya Mbowe.

Shida ni moja tu kuwa kwa asili ya Tz ya uoga hata Lisu haitishe maandamano yenye malipo hawa vijana hautawaona barabarani hata sku moja, atabaki anabweka tu km mbwa asie na meno
kwann tuende barabaran wakati yeye mwenyewe hua anakimbiliaga amsterdam

na kuhusu kupush hio agenda anshindwa nn kupush mpaka awe mwenyekiti?
 
Kwani Mbowe amekuja Chadema na ni lazima yeye tu ndiye awe mwenyekiti? Kama kweli ana nia njema basi Mbowe abaki kuwa mlezi badala ya kuwaombea mabaya watu ambao yeye mwenyewe ndiye kawafundisha uongozi
nani kaombewa mabaya?
 
Mbona jk alikuwa anaenda nje ya inchi kila week
kwenda nje kwa lengo gan? mbna nmeelezea vizuri apo kwamba lissu akiwekwaga mtu kati lazima akimbie nchi awaache mtajua wenyewe pakipoa ndo anarudi na kauli zake tena, apo watu washakufa
 
Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana

Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,

Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
He will not last forever and eternal as God.
 
Chadema itamkumbuka Mbowe kwa Rushwa ya ngono kwa viti maalum itamkumbuka kwa wizi wake wa pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa visingizio kuwa alikikopesha chama madeni hewa, atakumbukwa kwa kumteketeza wangwe, zito, atakumbukwa kwa kuunda kamati za Roho mbaya kama alivyounda kamati ya Roho mbaya ya sasa chini ya mdee, Boniface , wenje, wewe na wengine wenzenu kwa ajili ya kumdhoofisha Lisu
mbna amesema kabisa kama una ushahidi peleka ofisini ama unaropoka kama mzee wenu antipas
 
Mbowe atakumbukwa kwa mengi ikiwemo masimango kwani mbowe akikupa hata kiberiti kina njiti moja husimanga kuwa alikusaidia hata kama pesa ni za chama, Mbowe anayo mengi ya hovyo ya kukumbukwa
lissu atakumbukwa kwa kukimbia nje ya nchi
 
Back
Top Bottom