komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Kila aina ya mtu ana umuhimu wake. Mkweli, mkimya, mkali nk.uongozi unahitaji busara na hekima sio kuropoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila aina ya mtu ana umuhimu wake. Mkweli, mkimya, mkali nk.uongozi unahitaji busara na hekima sio kuropoka
Lissu atakumbukwa daima kwa kupigwa risasi hadharani zilizompeleka nje ya nchi kutibiwalissu atakumbukwa kwa kukimbia nje ya nchi
Mkuu, una uhusiano wa karibu na lisu? Unavyorusha point zako hapa yani ni kama yeye kabisa mwezi unapokuwa kona 🤔😆Wewe umezaliwa kisarawe na utafia huko kisarawe muache Lissu apasue anga za Kimataifa ndio maana mnakuwa wachawi.
Mimi mwenyewe ni Mzee wa viwanja kama Lissu nenda kaniroge.
Lisu hajaomba kukumbukwa aliyeomba akumbukwe ni Mbowe mwizi wa pesa za chamalissu atakumbukwa kwa kukimbia nje ya nchi
Uletewe ushahidi hapo ghetto kwa mbowe unaposhinda ukila pesa za mbowe? Wewe kwa jinsi unavyomuona mbowe ni mungu malaika hata uletewe ushahidi gani utakataa , endelea kula pesa za mbowe alizoiba chadema angalau ziliwe na wengi kuliko angekula peke yakembna amesema kabisa kama una ushahidi peleka ofisini ama unaropoka kama mzee wenu antipas
Hata wewe utakumbukwa kwa kula pesa za mbowe ukajitoa fahamu zote na kumuona Mbowe ni mungu hana Dhambipia atakumbukwa kwa kukimbia maandamano na kukimbilia nje akiacha wengine wajipambanie akiwa anakula maisha amsterdam
Mbowe pesa zote huiba chadema hana pesa binafsi zaidi ya kuiba pesa za chadema kisha kuzitakatisha na kujimilikisha kwa njia haramu ikiwemo kutengeneza madeni hewa na mambo mengineyo ya hovyoalafu ela za kuendesha chama mtazitoa nyie
Kama unapenda Mbowe karibishe ccm mkafuahie anguko .Mimi sio mwana CHADEMA ila kwa watu naowajua wenye ukaribu na Lissu husema kwamba Lissu hua ni muongo zaidi in person pia katika kuskiliza baadhi ya interview za Mbowe za karibuni kuna namna pia amegusia Lissu ni Muongo, kwa wanaomfaham Lissu kwa ukaribu wanafiki pia kwamba jamaa sio mkweli sana
Turudi kwenye mada, kwangu mm naamini sana ili uwe kiongozi bora unatakiwa ujae busara na hekima zaidi ya uropokaji kwa wale wakristo tunaweza rejea kwa Mfalme suleiman, Mbowe ana mapungufu ila ni mtu mwenye busara na hekima sana, sio mtu wa kuropoka ovyo,
Pia kuna tabia ya Lissu ya kukimbia amsterdam sijaelewa kama wanaomuunga mkono Lissu wanalijua hili na mengine mengi kiwemo ufadhili wa chadema ikizingatiwa wengi ni keyboard masters
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Kipimo cha IQ jf huwa ni mtu kuisema ID ya Jf, wewe pamoja na ufala wako njaa zako kwa mbowe mifano yako ya kijinga jinga hatujagusa ID yako, komaa na Hoja acha kuvuta bangi kisha kuleta usumbufu mitandaoni badala ya kumtetea boss wako Mbowe juu ya wizi wake unakuja na ujinga jinga wako utakusaidia nini kumsafirisha Mbowelisu Kakimbia amsterdam kawaacha kwenye mataa mbowe kakomaa na nyie mpaka mwisho leo lissu ndo anaonekana shujaa, kwel minyoo pombe
nani kaombewa mabaya?
Mbowe atakumbukwa kwa Rushwa ya ngono kwa viti maalum chadema atakumbukwa kwa visa alivyowafanyia wangwe na zitoMbowe atakumbukwa kwasababu kakaa muda lakini ni bora kukumbukwa kuliko kuchokwa
Itakuwa too late kivip?ndo maana nkasema itakua too late