Ipo Siku DP World watadahi uhuru wao

Ipo Siku DP World watadahi uhuru wao

Emar

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
1,789
Reaction score
2,965
Kama kile kipengele cha uhuru wa kumiliki ardhi ndani ya Tanzania kwa katika kitabaki vile ile😥😥😥.
Naona hatari ya hawa waarabu kudahi uhuru wao maana wana haki ya ardhi, na wataongozwa na sheria zao nini kimebaki hapo

Tukumbuke Dubai ni mdogo hivyo wanatumia akili kuipanua imaya yao, na kama uwajuavyo waarabu wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa.

Mimi nahisi kama mkataba sijui makubaliano hayana mwisho ni heri tukauvunja,

-Tuwape watu wenye mwisho ili wajue hapa si kwao
-Tuwape watu watakaofata sheria za nchi- na si sheria zao.
- Tusifanye kosa la kuongoza na wazanzibar tena yakitukuta wao watakimbilia kwao ,sisi tutakimbilia sijui wapi.

Nawasilisha.

#Kataa Muungano ,Muungano ni utapeli
 
Kama kile kipengele cha uhuru wa kumiliki ardhi ndani ya Tanzania kwa katika kitabaki vile ile😥😥😥.
Naona hatari ya hawa waarabu kudahi uhuru wao maana wana haki ya ardhi, na wataongozwa na sheria zao nini kimebaki hapo,
Tukumbuke Dubai ni mdogo hivyo wanatumia akili kuipanua imaya yao.
na kama uwajuavyo waarabu wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa.
Mimi nahisi kama mkataba sijui makubaliano hayana mwisho ni heri tukauvunja,
-Tuwape watu wenye mwisho ili wajue hapa si kwao
-Tuwape watu watakaofata sheria za nchi- na si sheria zao.
- Tusifanye kosa la kuongoza na wazanzibar tena yakitukuta wao watakimbilia kwao ,sisi tutakimbilia sijui wapi.
Nawasilisha.
#Kataa Muungano ,Muungano ni utapeli
Dumbav lingine hili
 
Ndugu yangu ujenge kabisa kwenu huko maana waarabu hawa ,wabatafuta namna ya kujipanua ,imagine miaka miambili ijayo wakati kizazi hiki kimepita,watasema kuna sehemu Tanganyika ni yetu watanganyika waliuza kwa tamaa zao,ww unafikir Historia ya parestina na israel ilianzaje
Ilianza hivihivi mkuu
 
Hello incumbrances!
DP World wakitaka eneo tu, serikali inawajibika kuondoa incumbrances kama sisi hapo ili wajienjoy vizuri.
Kwasababu tushawauzia ,ipo SIKU watataka na nyumban kwao ,utatolewa wapewe wao
 
Kama kile kipengele cha uhuru wa kumiliki ardhi ndani ya Tanzania kwa katika kitabaki vile ile😥😥😥.
Naona hatari ya hawa waarabu kudahi uhuru wao maana wana haki ya ardhi, na wataongozwa na sheria zao nini kimebaki hapo,
Tukumbuke Dubai ni mdogo hivyo wanatumia akili kuipanua imaya yao.
na kama uwajuavyo waarabu wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa.
Mimi nahisi kama mkataba sijui makubaliano hayana mwisho ni heri tukauvunja,
-Tuwape watu wenye mwisho ili wajue hapa si kwao
-Tuwape watu watakaofata sheria za nchi- na si sheria zao.
- Tusifanye kosa la kuongoza na wazanzibar tena yakitukuta wao watakimbilia kwao ,sisi tutakimbilia sijui wapi.
Nawasilisha.
#Kataa Muungano ,Muungano ni utapeli

Kama Zanzibar wametoa kwa miaka mi5 iweje huku kwa machogo/wanyamwezi tutoe milele? Mbona TICTS tumewapa kwa 20 yrs?
 
Kama kile kipengele cha uhuru wa kumiliki ardhi ndani ya Tanzania kwa katika kitabaki vile ile😥😥😥.
Naona hatari ya hawa waarabu kudahi uhuru wao maana wana haki ya ardhi, na wataongozwa na sheria zao nini kimebaki hapo,
Tukumbuke Dubai ni mdogo hivyo wanatumia akili kuipanua imaya yao.
na kama uwajuavyo waarabu wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa.
Mimi nahisi kama mkataba sijui makubaliano hayana mwisho ni heri tukauvunja,
-Tuwape watu wenye mwisho ili wajue hapa si kwao
-Tuwape watu watakaofata sheria za nchi- na si sheria zao.
- Tusifanye kosa la kuongoza na wazanzibar tena yakitukuta wao watakimbilia kwao ,sisi tutakimbilia sijui wapi.
Nawasilisha.
#Kataa Muungano ,Muungano ni utapeli
"wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa." Ni kweli, ni kweli na kweli tupu. Na hii ndio sababu naichukia sana hii migaidi na wafuasi wao wavaa vikofia vyeupe
 
Kama Zanzibar wametoa kwa miaka mi5 iweje huku kwa machogo/wanyamwezi tutoe milele? Mbona TICTS tumewapa kwa 20 yrs?
Anayeiongoza zanzibar ni Mzanzibar anayeiongoza Tanganyika ni Mzanzibar,
Ulishawahi ona wapi Mzanzibar akajiita mtanzania? Au mtu akawa na uchungu na nyumba wa jirani,ndo sababu
 
Ndugu yangu ujenge kabisa kwenu huko maana waarabu hawa ,wabatafuta namna ya kujipanua ,imagine miaka miambili ijayo wakati kizazi hiki kimepita,watasema kuna sehemu Tanganyika ni yetu watanganyika waliuza kwa tamaa zao,ww unafikir Historia ya parestina na israel ilianzaje
Ni kweli aisee mfano kuna sehemu urusi walikuwa wanamiliki kuna majitu yakaiuzia marekani miaka hiyo.
 
"wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa." Ni kweli, ni kweli na kweli tupu. Na hii ndio sababu naichukia sana hii migaidi na wafuasi wao wavaa vikofia vyeupe
Ulishawahi kuona Mzungu au muhindi ananitow muhanga kujilipua kuua watu,
Kama wazanzibar wamesema bagamoyo ni yao dp world watasemaje
 
LAWAMA ZA DHATI ZIENDE KWA NYERERE NA KARUME KUTULETEA HUU MUUNGANO.

BILA MUUNGANO KUNA BAADHI YA WATU WANAOTUTESA NA KUTUUZA LEO WANGEKUWA WANAUZA UROJO VISIWANI HUKO.

LEO HII SABABU YA HUU UPUUZI WA MUUNGANO AMBAO KIUHALISIA NI UTENGANO TUMEISHIA KUBEBESHWA ZIGO LA MTU/WATU WASIOKUWA NA DIRA, MUELEKEO WALA UELEWA WA NINI HASA WANACHOFANYA.
 
Back
Top Bottom