Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,789
- 2,965
- Thread starter
- #41
Wazanzibar kauzeni Bandari yetu hatuwataki kwani kama hamtakiwi si mtoke,ujui kuachwa wwSio kweli.Waarabu sio watu weupe.Waarabu ni watu weusi,wamepatikana kuwa weupe baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,wanawake waliotoka mashariki ya ulaya.Hata hili nio Afrika ni jina la Mfalme wa kiarabu(weusi).Na bado wapo hawa waarabu wa asili(weusi),katika kisiwa kinaitwa Sctotra,na ndani ya nchi za kiarabu pia wapo,ambao mababu zao hawakuoana na wazungu.Ndio ukaona wazungu hawawaiti waarabu ni WHITES.