Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo wanauza nchi ipo siku watataka kigoma,dar,mwanza,mtwara,Tanga si kwenye mkataba unaeleza ukitaka kitu unapewaLAWAMA ZA DHATI ZIENDE KWA NYERERE NA KARUME KUTULETEA HUU MUUNGANO.
BILA MUUNGANO KUNA BAADHI YA WATU WANAOTUTESA NA KUTUUZA LEO WANGEKUWA WANAUZA UROJO VISIWANI HUKO.
LEO HII SABABU YA HUU UPUUZI WA MUUNGANO AMBAO KIUHALISIA NI UTENGANO TUMEISHIA KUBEBESHWA ZIGO LA MTU/WATU WASIOKUWA NA DIRA, MUELEKEO WALA UELEWA WA NINI HASA WANACHOFANYA.
Ujumbe uache ufike haina nomaKichwa chako cha habari kimewekwa kwenye uzi wa mtu mwengineView attachment 2691709
Siyo sehemu ya tanganyika ni yetu go extra mile mkuu hiyo miaka miambili huwezi kuta ngozi nyeusi hapaNdugu yangu ujenge kabisa kwenu huko maana waarabu hawa ,wabatafuta namna ya kujipanua ,imagine miaka miambili ijayo wakati kizazi hiki kimepita,watasema kuna sehemu Tanganyika ni yetu watanganyika waliuza kwa tamaa zao,ww unafikir Historia ya parestina na israel ilianzaje
Kazi tunayo tutakutana na Muha muaarabu na mnyakusa muaarabuSiyo sehemu ya tanganyika ni yetu go extra mile mkuu hiyo miaka miambili huwezi kuta ngozi nyeusi hapa
Misri tunaambiwa ilikuwa ya wamatumbi kama sisi na nchi kadhaa za kiarabu ndani ya Afrika
Mangungo mkubwa wewe na kizazi chako.Dumbav lingine hili
Kataa wanaokataa Muungano,hao ni matapeliKama kile kipengele cha uhuru wa kumiliki ardhi ndani ya Tanzania kwa katika kitabaki vile ile[emoji26][emoji26][emoji26].
Naona hatari ya hawa waarabu kudahi uhuru wao maana wana haki ya ardhi, na wataongozwa na sheria zao nini kimebaki hapo,
Tukumbuke Dubai ni mdogo hivyo wanatumia akili kuipanua imaya yao.
na kama uwajuavyo waarabu wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa.
Mimi nahisi kama mkataba sijui makubaliano hayana mwisho ni heri tukauvunja,
-Tuwape watu wenye mwisho ili wajue hapa si kwao
-Tuwape watu watakaofata sheria za nchi- na si sheria zao.
- Tusifanye kosa la kuongoza na wazanzibar tena yakitukuta wao watakimbilia kwao ,sisi tutakimbilia sijui wapi.
Nawasilisha.
#Kataa Muungano ,Muungano ni utapeli
Kataa wanaokataa muungano,hao ni matapeli.Ndugu yangu ujenge kabisa kwenu huko maana waarabu hawa ,wabatafuta namna ya kujipanua ,imagine miaka miambili ijayo wakati kizazi hiki kimepita,watasema kuna sehemu Tanganyika ni yetu watanganyika waliuza kwa tamaa zao,ww unafikir Historia ya parestina na israel ilianzaje
Kataa wanaokataa muungano,hao ni matapeli.Muungano unaleta ,viongozi wa ovyo walio tayari kuuza nchi
Kataa wanaokataa muungano,hao ni matapeli.Tutatetea Tanganyika yetu hadi mwisho isiuzwe na wazanzibar
Kataa wanaokataa muungano,hao ni matapeli."wakihisi kitu ni chao wapo tayari kufa." Ni kweli, ni kweli na kweli tupu. Na hii ndio sababu naichukia sana hii migaidi na wafuasi wao wavaa vikofia vyeupe
Kataa wanaokataa muungano,hao ni matapeli.Anayeiongoza zanzibar ni Mzanzibar anayeiongoza Tanganyika ni Mzanzibar,
Ulishawahi ona wapi Mzanzibar akajiita mtanzania? Au mtu akawa na uchungu na nyumba wa jirani,ndo sababu
Jiulize hizo silaha wanazipata wapi,kama sio kwa wazungu.Ulishawahi kuona Mzungu au muhindi ananitow muhanga kujilipua kuua watu,
Kama wazanzibar wamesema bagamoyo ni yao dp world watasemaje
Sio kweli.Waarabu sio watu weupe.Waarabu ni watu weusi,wamepatikana kuwa weupe baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,wanawake waliotoka mashariki ya ulaya.Hata hili nio Afrika ni jina la Mfalme wa kiarabu(weusi).Na bado wapo hawa waarabu wa asili(weusi),katika kisiwa kinaitwa Sctotra,na ndani ya nchi za kiarabu pia wapo,ambao mababu zao hawakuoana na wazungu.Ndio ukaona wazungu hawawaiti waarabu ni WHITES.Siyo sehemu ya tanganyika ni yetu go extra mile mkuu hiyo miaka miambili huwezi kuta ngozi nyeusi hapa
Misri tunaambiwa ilikuwa ya wamatumbi kama sisi na nchi kadhaa za kiarabu ndani ya Afrika
Waarabu asili yao ni mtu mweusi.Ni baada ya mababu zao,kuoana na wanawake watumwa wa kizungu wa mashariki ndio wakapatikana weupe.Waarabu wa asili(weusi)wapo,ambao mababu zao hawakuoa,wanawake wa kizungu watumwa,wa mashariki ya ulaya,wapo kwenye kisiwa cha Scotra,na wapo baadhi kwenye nchi za kiarabu.Ndio maana ukaona wazungu hawaiti waarabu whites(weupe).Kazi tunayo tutakutana na Muha muaarabu na mnyakusa muaarabu
Mangungo mpaka akawa Mtemi,ujuwe ni mtu mkubwa,uchifu hupewi mtu ovyovyo,kama hivyo wewe kwenye ukoo wenu mzima,hakuna aliyeupata uchifu.Mangungo mkubwa wewe na kizazi chako.
Dumbavu ni pumbavu kubwakubwa. Likitoka hapo linakuwa TumbavuAngalia dp yako na jina lako na ulichoandika ,hujui hata kuandika mm na wewe nan Pumbavu? Edit kwanza unatia aibu