Ipo Siku DP World watadahi uhuru wao

Ndo wanauza nchi ipo siku watataka kigoma,dar,mwanza,mtwara,Tanga si kwenye mkataba unaeleza ukitaka kitu unapewa
 
Siyo sehemu ya tanganyika ni yetu go extra mile mkuu hiyo miaka miambili huwezi kuta ngozi nyeusi hapa

Misri tunaambiwa ilikuwa ya wamatumbi kama sisi na nchi kadhaa za kiarabu ndani ya Afrika
 
Siyo sehemu ya tanganyika ni yetu go extra mile mkuu hiyo miaka miambili huwezi kuta ngozi nyeusi hapa

Misri tunaambiwa ilikuwa ya wamatumbi kama sisi na nchi kadhaa za kiarabu ndani ya Afrika
Kazi tunayo tutakutana na Muha muaarabu na mnyakusa muaarabu
 
Kataa wanaokataa Muungano,hao ni matapeli
 
Kataa wanaokataa muungano,hao ni matapeli.
 
Siyo sehemu ya tanganyika ni yetu go extra mile mkuu hiyo miaka miambili huwezi kuta ngozi nyeusi hapa

Misri tunaambiwa ilikuwa ya wamatumbi kama sisi na nchi kadhaa za kiarabu ndani ya Afrika
Sio kweli.Waarabu sio watu weupe.Waarabu ni watu weusi,wamepatikana kuwa weupe baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,wanawake waliotoka mashariki ya ulaya.Hata hili nio Afrika ni jina la Mfalme wa kiarabu(weusi).Na bado wapo hawa waarabu wa asili(weusi),katika kisiwa kinaitwa Sctotra,na ndani ya nchi za kiarabu pia wapo,ambao mababu zao hawakuoana na wazungu.Ndio ukaona wazungu hawawaiti waarabu ni WHITES.
 
Kazi tunayo tutakutana na Muha muaarabu na mnyakusa muaarabu
Waarabu asili yao ni mtu mweusi.Ni baada ya mababu zao,kuoana na wanawake watumwa wa kizungu wa mashariki ndio wakapatikana weupe.Waarabu wa asili(weusi)wapo,ambao mababu zao hawakuoa,wanawake wa kizungu watumwa,wa mashariki ya ulaya,wapo kwenye kisiwa cha Scotra,na wapo baadhi kwenye nchi za kiarabu.Ndio maana ukaona wazungu hawaiti waarabu whites(weupe).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…