Wazanzibar kauzeni Bandari yetu hatuwataki kwani kama hamtakiwi si mtoke,ujui kuachwa wwSio kweli.Waarabu sio watu weupe.Waarabu ni watu weusi,wamepatikana kuwa weupe baada ya kuoana na watumwa wa kizungu,wanawake waliotoka mashariki ya ulaya.Hata hili nio Afrika ni jina la Mfalme wa kiarabu(weusi).Na bado wapo hawa waarabu wa asili(weusi),katika kisiwa kinaitwa Sctotra,na ndani ya nchi za kiarabu pia wapo,ambao mababu zao hawakuoana na wazungu.Ndio ukaona wazungu hawawaiti waarabu ni WHITES.
Wewe ni kings,hatutaki Muungano.Mangungo mpaka akawa Mtemi,ujuwe ni mtu mkubwa,uchifu hupewi mtu ovyovyo,kama hivyo wewe kwenye ukoo wenu mzima,hakuna aliyeupata uchifu.
Kweli Kaka Ila kuna mtu alishaniita chogo live niliwaza hilo neno mpaka leo najiuliza kinachotutenganisha ni maumbile ya mwili au mkataba wa muungano huwa nakosa jibu nakaa kimya kuangalia tuuKataa wanaokataa Muungano,hao ni matapeli
Kabisa mkuuTutatetea Tanganyika yetu hadi mwisho isiuzwe na wazanzibar