luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
-
- #41
Chief usicheze na kabila au utaifa la somalia, Tanga miaka ya 1980-1990 kulikuwa na wasomali wengi sanaa lkn mwishoni mwa 1999 lile tabakaa la somalia lilitoweka gafla mpaka leo binafsi sijui walipotelea wapi lkn nahisi wengi walichoropokea Mombasa ..ambapo napo kwa sasa wasomali ni wengin mnooo.Haya basi jombaa, acha mjadala huu uishie hapo.
Tutawasaidia kwa hali na mali. Kama tuliweza kuwasaidia SA. Angola Zimbabwe, Namibia, Musumbiji. Uganda kwa nini tusiwasaidie wakenya?Kama kichwa cha Habari kisemavyo hapo Juu.
Kenya imejumuisha wanachi wenye asili tofauti tofauti wakiwemo wazungu, wa asia, na wabantu wenyewe wazawa wa kenya ambao jamii kubwa ndiyo ilikuwepo wakat Kenya ina kuwa huru, lakin miaka ya 1990's kuendelea taifa hiki limekumbwa na wimbi la watu wenye asili ya somalia ambao uwepo wao kwa kiasi kikubwa umechangiwa na ukaribu na nchi ya somalia upande wa Kaskazini.
Wimbi ilo limezaa vizazi vilivyo lowea kenya lakini wana kizungumza kisomalia vizuri na wana ndugu upande wa somalia. Miaka ya 2000's kumeshuhudiwa ongezeko la viongozi kqdhaa ktk ngazi za uwakilishi wenye asili ya somaalia waki shika hatamu ikumbukwe hii tofauti kabisa na asili zingine zilipo jaribu kushika hatamu mbalimbali za uongozi haikuwa raisi sana kwao kwa sababu taifa ilo kwa kiasi kikubwa lilikuwa lina tawaliwa na jamii za waluo na Kikuyu, awali jamii za asia zilijaribu kupenya penya ktk uongozi lkn zilipata tabu sana ktk ngazi za chama hasa enzi za KANU
Hali ni tofauti kwa upande wa jamii ya kisomali wenye asili ya Kenya hawa wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupenya na kushika nafasi kubwa za juu za serikal kuu hii inatosha kusema ipo siku ukabila wa kenya utamalizwa na hii jamii ya kisomalia ambapo ipo siku taifa hili litapata kiongozi ambae hatokani na makabila yale ya asili ya kenya na kiongozi huyo atakuwa mwenye asili ya Somalia.
Uwasaidie kwa nn ?Tutawasaidia kwa hali na mali. Kama tuliweza kuwasaidia SA. Angola Zimbabwe, Namibia, Musumbiji. Uganda kwa nini tusiwasaidie wakenya?
Watu wakiwa na jamii zao hawaongeo kiswahili, sio wahindi tu, wamaasai, wasukuma, wakurya, wanyakyusa na makabila karibu yoteYule mbunge msomali wa Marekani ni kiazi tu, Anataka sheria za uhamiaji zilegezwe na anapambana kwelikweli wakati ye mwenyewe wa kuja tu.
Binafsi nataka mtu mwenye asili ya nchi yangu ndio aongoze sio wa kuja tu sababu ya uraia. Hawa watu wa kuja huwa wana vitabia vya kishenzi ambavyo haviendani na wenyeji wa asili.
Kuna siku nipo Nida kuna wahindi nao walikuja kufatilia kitambulisho alafu wanaongea kihindi nikajisemea moyoni hawa watu ningekuwa mimi Afisa hapa uraia watausikia kwenye bomba tu.
Hata huyo prime minister atakuja kuwa Mhindi? 😂Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.
Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao
Nyie kuna kitu huwa hampingi? Yule Sir Mohamed Farah, mbona ni raia wa UK na kazaliwa Mogadishu. Wangekuwa wabaya wale hata kupata hiyo Sir title angeiskia tu, sahi ni mtu wa kiwango kingine licha ya kuwa sio mzaliwa wa kule. Sasa hawa Wasomali wa Kenya, wengi wao ni wazawa wa huku, aka ni Wakenya halisi, so anaweza fanya atakalo kwa siasa. Washakuwa jeshini, polisi, magereza, wakili, wakubwa wa mikoa nk. No stress, acha hiyo akili. Dunia imebadilika!Sawa lkn khan baba yake ni muhindi aliye lowea pakistan
Uwe una elewaNyie kuna kitu huwa hampingi? Yule Sir Mohamed Farah, mbona ni raia wa UK na kazaliwa Mogadishu. Wangekuwa wabaya wale hata kupata hiyo Sir title angeiskia tu, sahi ni mtu wa kiwango kingine licha ya kuwa sio mzaliwa wa kule. Sasa hawa Wasomali wa Kenya, wengi wao ni wazawa wa huku, aka ni Wakenya halisi, so anaweza fanya atakalo kwa siasa. Washakuwa jeshini, polisi, magereza, wakili, wakubwa wa mikoa nk. No stress, acha hiyo akili. Dunia imebadilika!
Wa Sudan, Ethiopia wapo KE, mbona umerukia Somalia tu, hata kama wako wengi, sio wao tu wazaliwa wa KE wenye wazazi wa nchi zingine. Tunawajua nyie na issue zenyu, usijifanye muungwana hapo, naelewa kila kitu.Uwe una elewa
Kikicho andikwa hapo ni uchambuzi ..kwan Abraham Lincoly aliposema ipo siku taifa la marekan litaongozwa naa mtu mweusi kwan alisema kwa nia OVU ?
Ondoa akili ya negativity
Mbona umeng'ang'ania sana upotoshaji kwan Kenya ndo nchi pekee ambayo imezungukwa na nchi zingine ?Wa Sudan, Ethiopia wapo KE, mbona umerukia Somalia tu, hata kama wako wengi, sio wao tu wazaliwa wa KE wenye wazazi wa nchi zingine. Tunawajua nyie na issue zenyu, usijifanye muungwana hapo, naelewa kila kitu.
mkuu watu wengine jina la kisomali tu inawatia kichefuchefu, bt the thing is ,we are here to stay(Africa )Uwe una elewa
Kikicho andikwa hapo ni uchambuzi ..kwan Abraham Lincoly aliposema ipo siku taifa la marekan litaongozwa naa mtu mweusi kwan alisema kwa nia OVU ?
Ondoa akili ya negativity
Kwann mkuu ?mkuu watu wengine jina la kisomali tu inawatia kichefuchefu, bt the thing is ,we are here to stay(Africa )