Ipo siku Kenya itatawaliwa na kizazi cha Somalia

Ipo siku Kenya itatawaliwa na kizazi cha Somalia

Haya basi jombaa, acha mjadala huu uishie hapo.
Chief usicheze na kabila au utaifa la somalia, Tanga miaka ya 1980-1990 kulikuwa na wasomali wengi sanaa lkn mwishoni mwa 1999 lile tabakaa la somalia lilitoweka gafla mpaka leo binafsi sijui walipotelea wapi lkn nahisi wengi walichoropokea Mombasa ..ambapo napo kwa sasa wasomali ni wengin mnooo.

Nakumbuka zaman pale muheza stand kqbisa kulikuwa na restaurant ya wasomali ...nakumbuka tuliwahi kuingia pale tukauziwa ubwa bwa hauja chumvi (mapishi ya kisomali)
 
Kama kichwa cha Habari kisemavyo hapo Juu.

Kenya imejumuisha wanachi wenye asili tofauti tofauti wakiwemo wazungu, wa asia, na wabantu wenyewe wazawa wa kenya ambao jamii kubwa ndiyo ilikuwepo wakat Kenya ina kuwa huru, lakin miaka ya 1990's kuendelea taifa hiki limekumbwa na wimbi la watu wenye asili ya somalia ambao uwepo wao kwa kiasi kikubwa umechangiwa na ukaribu na nchi ya somalia upande wa Kaskazini.

Wimbi ilo limezaa vizazi vilivyo lowea kenya lakini wana kizungumza kisomalia vizuri na wana ndugu upande wa somalia. Miaka ya 2000's kumeshuhudiwa ongezeko la viongozi kqdhaa ktk ngazi za uwakilishi wenye asili ya somaalia waki shika hatamu ikumbukwe hii tofauti kabisa na asili zingine zilipo jaribu kushika hatamu mbalimbali za uongozi haikuwa raisi sana kwao kwa sababu taifa ilo kwa kiasi kikubwa lilikuwa lina tawaliwa na jamii za waluo na Kikuyu, awali jamii za asia zilijaribu kupenya penya ktk uongozi lkn zilipata tabu sana ktk ngazi za chama hasa enzi za KANU

Hali ni tofauti kwa upande wa jamii ya kisomali wenye asili ya Kenya hawa wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupenya na kushika nafasi kubwa za juu za serikal kuu hii inatosha kusema ipo siku ukabila wa kenya utamalizwa na hii jamii ya kisomalia ambapo ipo siku taifa hili litapata kiongozi ambae hatokani na makabila yale ya asili ya kenya na kiongozi huyo atakuwa mwenye asili ya Somalia.
Tutawasaidia kwa hali na mali. Kama tuliweza kuwasaidia SA. Angola Zimbabwe, Namibia, Musumbiji. Uganda kwa nini tusiwasaidie wakenya?
 
Yule mbunge msomali wa Marekani ni kiazi tu, Anataka sheria za uhamiaji zilegezwe na anapambana kwelikweli wakati ye mwenyewe wa kuja tu.

Binafsi nataka mtu mwenye asili ya nchi yangu ndio aongoze sio wa kuja tu sababu ya uraia. Hawa watu wa kuja huwa wana vitabia vya kishenzi ambavyo haviendani na wenyeji wa asili.

Kuna siku nipo Nida kuna wahindi nao walikuja kufatilia kitambulisho alafu wanaongea kihindi nikajisemea moyoni hawa watu ningekuwa mimi Afisa hapa uraia watausikia kwenye bomba tu.
Watu wakiwa na jamii zao hawaongeo kiswahili, sio wahindi tu, wamaasai, wasukuma, wakurya, wanyakyusa na makabila karibu yote
Watu wana mada zao private sio lazima uelewe wanachozungumzia
Umeshawahi kupanda daladala ukakuta kundi la wamaasai? Unaweza ukatamani kushuka😂😂
 
Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.

Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao
Hata huyo prime minister atakuja kuwa Mhindi? 😂
 
Na sioni ubaya, ka ni mkenya halisi as in born in KE, then he or she is allowed by the constitution to vie for that position. Na akiwa president, he'll be a Kenyan president, not a Somalian president. This country has got a constitution to follow and the Kenyans voice is involved in it!
 
Sawa lkn khan baba yake ni muhindi aliye lowea pakistan
Nyie kuna kitu huwa hampingi? Yule Sir Mohamed Farah, mbona ni raia wa UK na kazaliwa Mogadishu. Wangekuwa wabaya wale hata kupata hiyo Sir title angeiskia tu, sahi ni mtu wa kiwango kingine licha ya kuwa sio mzaliwa wa kule. Sasa hawa Wasomali wa Kenya, wengi wao ni wazawa wa huku, aka ni Wakenya halisi, so anaweza fanya atakalo kwa siasa. Washakuwa jeshini, polisi, magereza, wakili, wakubwa wa mikoa nk. No stress, acha hiyo akili. Dunia imebadilika!
 
Nyie kuna kitu huwa hampingi? Yule Sir Mohamed Farah, mbona ni raia wa UK na kazaliwa Mogadishu. Wangekuwa wabaya wale hata kupata hiyo Sir title angeiskia tu, sahi ni mtu wa kiwango kingine licha ya kuwa sio mzaliwa wa kule. Sasa hawa Wasomali wa Kenya, wengi wao ni wazawa wa huku, aka ni Wakenya halisi, so anaweza fanya atakalo kwa siasa. Washakuwa jeshini, polisi, magereza, wakili, wakubwa wa mikoa nk. No stress, acha hiyo akili. Dunia imebadilika!
Uwe una elewa
Kikicho andikwa hapo ni uchambuzi ..kwan Abraham Lincoly aliposema ipo siku taifa la marekan litaongozwa naa mtu mweusi kwan alisema kwa nia OVU ?
Ondoa akili ya negativity
 
Uwe una elewa
Kikicho andikwa hapo ni uchambuzi ..kwan Abraham Lincoly aliposema ipo siku taifa la marekan litaongozwa naa mtu mweusi kwan alisema kwa nia OVU ?
Ondoa akili ya negativity
Wa Sudan, Ethiopia wapo KE, mbona umerukia Somalia tu, hata kama wako wengi, sio wao tu wazaliwa wa KE wenye wazazi wa nchi zingine. Tunawajua nyie na issue zenyu, usijifanye muungwana hapo, naelewa kila kitu.
 
Wa Sudan, Ethiopia wapo KE, mbona umerukia Somalia tu, hata kama wako wengi, sio wao tu wazaliwa wa KE wenye wazazi wa nchi zingine. Tunawajua nyie na issue zenyu, usijifanye muungwana hapo, naelewa kila kitu.
Mbona umeng'ang'ania sana upotoshaji kwan Kenya ndo nchi pekee ambayo imezungukwa na nchi zingine ?
 
acheni wivu wasomali walikuwepo wapo na watakuwepo mpende msipende,mtoa mada upo sahihi naunga mkono hoja.
 
Uwe una elewa
Kikicho andikwa hapo ni uchambuzi ..kwan Abraham Lincoly aliposema ipo siku taifa la marekan litaongozwa naa mtu mweusi kwan alisema kwa nia OVU ?
Ondoa akili ya negativity
mkuu watu wengine jina la kisomali tu inawatia kichefuchefu, bt the thing is ,we are here to stay(Africa )
 
mkuu watu wengine jina la kisomali tu inawatia kichefuchefu, bt the thing is ,we are here to stay(Africa )
Kwann mkuu ?
Moja kati wa africa wanao shikana hasa ni wasomali na wana jua sana kufanya biashara
 
Back
Top Bottom