Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mkuu wa Wilaya Ni mwenyekiti wa ulinzi na Usalama, unapokuwa na DC anayeweza kumchafua au kutoa Siri za Rais na viongozi wa juu kwa public kisa tu amebanwa kwa makosa aliyoyatenda ipo siku au yawezekana hata Sasa baadhi ya Taarifa za nchi hazipo salama.
Most of DC na RC wamepewa hiyo kazi kwa sababu ya uanachama wa chama flani siyo kwa kuangalia qualties. Tuliaminishwa kwamba wanatunza Siri ila naamini tumeona kwa sabaya kwamba tuna umuhimu wakurudisha adhi ya DC na RC kwa watu wenye vifua vya kuhifadhi mambo. Na hii lazima TISS waweze kumshauri Rais na walipaswa kuona hii weakness toka zamani.
Tusipokubali kufanya kazi za Utumishi wa Umma tofauti na siasa tutauza nchi. Assume Sabaya alivyokuwa anatoa amri kwa polisi nao wanatekeleza, anabeba silaha hakuna Intel anayeingilia wote wamekaa kimya Leo hii kabanwa na kikesi kidogo tu kaanza kuwataja waliokuwa wamemfadhili. Tusipojirekebisha wakina Siro wakaendelea kuwa controlled na wanasiasa tutapoteana.
Most of DC na RC wamepewa hiyo kazi kwa sababu ya uanachama wa chama flani siyo kwa kuangalia qualties. Tuliaminishwa kwamba wanatunza Siri ila naamini tumeona kwa sabaya kwamba tuna umuhimu wakurudisha adhi ya DC na RC kwa watu wenye vifua vya kuhifadhi mambo. Na hii lazima TISS waweze kumshauri Rais na walipaswa kuona hii weakness toka zamani.
Tusipokubali kufanya kazi za Utumishi wa Umma tofauti na siasa tutauza nchi. Assume Sabaya alivyokuwa anatoa amri kwa polisi nao wanatekeleza, anabeba silaha hakuna Intel anayeingilia wote wamekaa kimya Leo hii kabanwa na kikesi kidogo tu kaanza kuwataja waliokuwa wamemfadhili. Tusipojirekebisha wakina Siro wakaendelea kuwa controlled na wanasiasa tutapoteana.