Ipo siku Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Tanzania, ni suala la muda tu

Ipo siku Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Tanzania, ni suala la muda tu

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Amka dogo kumekucha si muda wa kuota ndoto za alinacha.
 
Yuko vizuri, angalau cdm wana mtu ambaye namwona hata akishika urais hainishtui.
Ila nahofia huyu jamaa atakuwa hana fair kwenye utawala wake. Namsikiliza anavyowakosoa wenzie mitandaoni bila hata kuwavumilia.

Ajue kuwa maisha haya ni fair play.
Ameanza Mungu kuwa fair,, binadamu hatuna budi kutambua kwanini Mungu yupo fair.
Sheria sawa lakini kuwa fair ni kwasababu hizi sheria wamezitunga binadamu ambao pia wana mapungufu yao.
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Lissu ndo ataponya hili Taifa, si tulkubaliana Katiba ndo dawa pekee..[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Yaan ,ndoto zingine huwa mnaota mchana.
 
Juzi nilimsikiliza kupitia space ya Maria Sarungi nikakiri kimoyo moyo Tundu Lissu ni kichwa.
Anajua kujieleza, kupanga hoja, kutoa ufafanuzi kwa mifano halisi mpaka huchoki kumsikiliza. He is next level.
Ni yeye

ELIAH_NGASE%F0%9F%85%B0_on_Instagram%3A_%E2%80%9CNiyeye!!!!%E2%80%9D%22_.jpg
 
Sijui nitakua hai au nitakua nimekufa lakini nawaambia kuna siku lissu atakuja kuwa Rais wa JMT

Huyu ndo atakuja kuliponya hili taifa dhidi ya matatizo yote tuliyopitia

Mimi namuombea nguvu, uzima na afya tele tu najua ni suala la muda tu

Ila Watanzania tuna matatizo makubwa aisee hivi unaanzaje kumnyima mtu km lissu kura unampa jiwe?

Haya mlimtukana lisu kwamba ni kibaraka wa mabeberu. Swali la kichonganishi niwaulizeni sahivi kati ya Lisu na Hangaya ni yupi anawasujudia mabeberu miguu?[emoji23][emoji23][emoji23]Unajua vijana wa mataga sijui huwa mnawaza vipi aisee

Huko mnakopewa mikopo kila kukicha, misaada na chanjo za bure, ky na lubricants nyingine kwa ajili ya hospital hao ndo wajamaa wenzenu au[emoji23][emoji23]si mabeberu jamani. Sasa hapo anayetumiwa na mabeberu ni hangaya au Lissu? Mnasema lisu alikua anazunguka kwa mabeberu huyo hangaya safari zake za nje majuzi alikua kwa kina nani?[emoji1787] Sasa kwanini hajawatembelea wajamaa wenzenu china na korea ya kaskazini?

Lissu anachokifanya kwa kiswahili inaitwa "mtumikie kafiri upate mradi" Sasa kama mlikua hamjui ndo mjue sasa lisu anatengeneza njia ya kisiasa na mafanikio kwetu sote nyie mnazidi kukopa kwa mabeberu hao hao na wamepora madini yetu na gas matatizo yote haya mliyaleta nyie CCM
Ninamtetea Tundu Lissu kwa namna alivyoshambuliwa na Magufuli kwa risasi 16 pale Dodoma mwaka 2017. Ule ulikuwa ni ukatili wa hali ya juu.

Nimemuona Tundu Lissu kwenye kampeni za 2020 na nilimpigia kura japo Magufuli aliiba zote. Lakini kwa namna nilivyomuona Tundu Lissu kwa miezi hii 6 iliyokwisha, NATHUBUTU kusema akipata urais atakuwa kama Magufuli tu.

Wanafanana vitu vingi na Magufuli, eeh Mungu liepushe Taifa letu lisipate Magufuli mwingine
 
Back
Top Bottom