Hiyo kauli wala siyo yeye wa kwanza kuisema, Hata Mzee Ruksa aliisema wakati anamuachia kijiti BWM. Hata Samia naye atasema hivyohivyo
Tafuta Hela Yako Jenga Hilo sanamu liweke sebleni kwako uliabudu usitusumbueMungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.
Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.
Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.
Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.
Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.
Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.
Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.
Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.
Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.
Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya
Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.
Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.
Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.
Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.
Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.
Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu. Nayeye mwenyewe kabla ya kutuacha aliwahi sema "Ipo siku Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya yangu ila Mazuri hivyo tuzidi kushikamana na kupenda" Hayati Baba wa Ujenzi wa Taifa la Tanzania John Pombe Magufuli.
Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen
Nani amkumbuke? Labda wewe na mamakoSiogopi kashifa maana najuwa ukweli hakuna asie mpenda Magu. Sote ni mashahidi alisema mtanikumbuka
Umemaliza kaziNani amkumbuke? Labda wewe na mamako
Hapo hakuna cha uzalendo ndugu yangu.Nilikaa na Waziri Bashe anaongelea uwekezaji katika umwagiliaji wa kiasi cha dola milioni 16.
Yeye mwenyewe akiziona hela nyingi hizo.
Wakati dola milioni 16 ni thamani ya nyumba moja tu hapo Malibu.
Nikasema Jiwe alitupiga na kitu kizito sana katika ununuzi wa zile ndege.
Tena ndege zenyewe zimenunuliwa kijinga, nyingine zikisafiri nje zinakamatwa kufidia madeni ya nchi.
Ujinga mtupu.
Tumenunua Dreamliner 4 za dola za Marekani milioni 726, halafu kilimo cha umwagiliaji nchi nzima tunawekeza dola milioni 16.
Air Tanzania Buys 4 New Boeing Planes at USD 726 Million
Tanzania announced an order for a 787-8 Dreamliner, a 767-300 Freighter, and two 737 MAX jets at the 2021 Dubai Airshow.www.tanzaniainvest.com
Halafu ndiyo unaambiwa mzalendo huyo!
Huyo ni mhutu kwa 100%Nimeusoma uzi wako mara tatu,na mara zote hizo tatu, nasikia lafudhi ya Kihutu Hutu tuuu!!!
Maandishi yako yamekaa Kihutu.
Rais mwizi mwizi, muongo, katili, mkurupukaji... Bipolar!Mkuu ni kweli huenda kuna kumbukumbu ya mazuri yake. Lakini vipi yakipimwa kwa kulinganisha na mabaya yake. Ndiyo! Alikuwa ni kipenzi cha maendeleo ya vitu, na tena kwa amri katili ya kikatiba kuendana na mamlaka ya kirais aliyokuwa nayo katika enzi zake.
Vipi kuhusu upande wake wa pili! Ule wa madhila hasi kwa wale wote aliowatendea udhalimu kwa ajili ya manufaa yake binafsi ya kisiasa. Ili kumtendea haki yote, kila jiwe itapaswa ligeuzwe ili mazuri yote na mabaya yake yakapate kudhihirika.
Yeye alikuwa ni binadamu kama mwingine yeyote yule. Hatuwezi kuficha mabaya yake eti kisa alikuwa Rais wa JMT, na alikuwa na kinga ya kutokushtakiwa akiwa hai kwa yale aliyoyafanya akiwa Rais. Ni lazima avune alichokipanda, hii ni kanuni ya maisha, hapa duniani katika maisha ya kimwili, na hata mbele ya mamlaka ya mbingu katika maisha ya umilele ya kiroho.
Samia na Magufuli ni watoto wa baba mmoja mama mbalimbali, kwa hivyo hizo habari za kuwalinganisha kama wako tofauti sana mimi kimsingi sizielewi.
"...although a budget is a joke" (Kiranga,2023).Samia na Magufuli ni watoto wa baba mmoja mama mbalimbali, kwa hivyo hizo habari za kuwalinganisha kama wako tofauti sana mimi kimsingi sizielewi.
Swali lako lingekuwa gumu kwa mtu anayemuona Samia kama mtu anayeleta mabadiliko makubwa sana, mimi simuoni hivyo.
Yeye mwenyewe kashasema yeye na Magufuli ni wamoja na anaendeleza mambo ya Magufuli.
To Samia's credit's though, ameimprove demokrasia na hayo mambo ya kilimo cha umwagiliaji angalau tunamsikia Bashe anayashikia bango, although the budget is a joke.
Hakuna mfuasi wa magufuli asiye mpenda magufuliSiogopi kashifa maana najuwa ukweli hakuna asie mpenda Magu. Sote ni mashahidi alisema mtanikumbuka
Mkuu yani umeshikilia hapo hapo tu!"...although a budget is a joke" (Kiranga,2023).
Sina la ziada!
Sawa sawa kiranga!!Ni wewe tu hohehahe zumbukuku ulimwengu uko huku unayeona kupanda ndege issue.
Mimi nimeondoka Tanzania kwenda New York City na KLM tangu utawala wa Mkapa.
Na familia yangu inakuja kunitembelea kutoka Tanzania bila kukosa kila mwaka.
Katika mwezi uliopita kuna mtu karudi TZ na kuna mtu kaja huku.
Mimi napanda ndege za kimataifa, si za Tanzania.
Hoja niliyoijenga hapa huwezi kuielewa, kwa sababu una uwezo mdogo wa kufikiri na utapiamlo wa fikra.
ASante sana kaka umenena hakika mungu amekujalia hekimaMungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.
Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.
Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.
Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.
Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.
Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.
Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.
Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.
Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.
Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya
Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.
Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.
Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.
Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.
Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.
Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu. Nayeye mwenyewe kabla ya kutuacha aliwahi sema "Ipo siku Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya yangu ila Mazuri hivyo tuzidi kushikamana na kupenda" Hayati Baba wa Ujenzi wa Taifa la Tanzania John Pombe Magufuli.
Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen
Naiona siku nimeiona ktk ndotoMungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.
Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.
Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.
Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.
Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.
Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.
Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.
Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.
Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.
Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya
Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.
Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.
Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.
Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.
Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.
Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu. Nayeye mwenyewe kabla ya kutuacha aliwahi sema "Ipo siku Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya yangu ila Mazuri hivyo tuzidi kushikamana na kupenda" Hayati Baba wa Ujenzi wa Taifa la Tanzania John Pombe Magufuli.
Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen