Hata wapenzi wakiachana Kila mmoja humwambia mwenzie utanikumbuka sasa sijui Cha ajabu ni kipi
Hiyo kauli wala siyo yeye wa kwanza kuisema, Hata Mzee Ruksa aliisema wakati anamuachia kijiti BWM. Hata Samia naye atasema hivyohivyo