Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo

Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo

Mgombea uraisi akishachaguliwa na kutangazwa anamteua mgombea mwenza.

Kama kweli huyo Magufuli alikuwa na hayo mnayoyaita maono angemkataa Samia kwakuwa alijua kikatiba ikitokea Raisi kafa basi makamu wake anaapishwa kuwa Raisi wa nchi (na ndicho kilichotokea).

Ni sawa na kusema Leo hii ikitokea Raisi kafa basi makamu wake Mpango anaapishwa kuwa Raisi. Akivurunda mtamtwisha lawama mama Samia au sivyo? Maana baada ya yeye kuapishwa kuwa Raisi akamteua Mpango kuwa makamu wake wa Raisi. "Kwa fikra yako wewe imajini Mpango awe Raisi wa nchi itakuwaje"!!?

Magufuli ndiye aliyesababisha wabunge wengi wa Bunge hili linalolalamikiwa na walio wengi kuwepo pale Bungeni. Leo hii Bunge linaonekana halifai nani alaumiwe kama sio yeye? Maana ni Bunge lake kwa utashi wake aliona ni sahihi kufanya vile alivyofanya.

Hii ndio legacy aliyotuachia Magufuli.

Unafiki na ulalamishi na uzandiki na wizi na uvivu wa kufanya kazi na kufikiri na lawama zisizo na msingi zimetutawala na zitatutesa hadi siku tukiamua kutumia akili zetu sawasawa.





Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu fulani uko sahihi na sehemu nyingine umefikiri visivyo! Samia alivyomchagua P. Mpango katikati ya uongozi bila kuwepo uchaguzi mbele yake ni tofauti kabisa na Magufu aliyepaswa kuwa na mgombea mwenza ambae ataenda nae ktk uchaguzi. Kumbuka kumpata Samia kama mgombea mwenza kwa mara ya kwanza, Magufuli hakuwa mwenyekiti wa chama wala hakuwa Rais. Kifupi ni kwamba kwa mazingira yaliyopelekea kupatikana kwa Magufuli Kama mgombea wa urais kupitia CCM, JPM hakuwa na nguvu kwenye chama. Nguvu alikuwa nayo Kikwete kama Rais na mwenyekiti wa chama. Hivyo Uhuru wake wa kuchagua mgombea mwenza anaemtaka yeye haukuwepo, japo yeye ndiye aliyekuwa akiwajika kumtangaza. Kumbuka Lowassa alivyofyekelewa mbali pamoja na ushawishi aliokuwanao.
Ktk uchaguzi wa mara ya pili, Magufuli hasingeweza kumchaguwa mgombea mwenza mpya ili kusilete mpasuko ndani ya chama wakati kuna uchaguzi mbele yao. Hesabu za siasa si nadharia kama unavyotaka wewe.

Unasema alijuwa kuwa akifa makamu atakuwa Raisi?!! Unachekesha, wewe binafsi unajua utakufa lini? Urithi kwa familia yako ulisha andaa? Mdogo wangu, kifo ni fumbo la Mungu, hakuna ajuae atakufa lini. Ndiyo maana ulipoongelea hilo la wabunge aliowapitishapitisha kiolela uku umati wa vijana ukimshangilia, alikuwa hana habari na kifo. Alidhani atachagua bunge litakalomsaidia kupitisha mambo yake ya hovyo bila kuulizwa wala kuhojiwa. Pili alikuwa na mpango bunge lake hilo butu libadilishe katiba ili liondoe ukomo wa kugombea kiti Cha urais baada ya mhula wa miaka kumi. Angejuwa ana kufa, hasingeyafanya hayo.
 
Sehemu fulani uko sahihi na sehemu nyingine umefikiri visivyo! Samia alivyomchagua P. Mpango katikati ya uongozi bila kuwepo uchaguzi mbele yake ni tofauti kabisa na Magufu aliyepaswa kuwa na mgombea mwenza ambae ataenda nae ktk uchaguzi. Kumbuka kumpata Samia kama mgombea mwenza kwa mara ya kwanza, Magufuli hakuwa mwenyekiti wa chama wala hakuwa Rais. Kifupi ni kwamba kwa mazingira yaliyopelekea kupatikana kwa Magufuli Kama mgombea wa urais kupitia CCM, JPM hakuwa na nguvu kwenye chama. Nguvu alikuwa nayo Kikwete kama Rais na mwenyekiti wa chama. Hivyo Uhuru wake wa kuchagua mgombea mwenza anaemtaka yeye haukuwepo, japo yeye ndiye aliyekuwa akiwajika kumtangaza. Kumbuka Lowassa alivyofyekelewa mbali pamoja na ushawishi aliokuwanao.
Ktk uchaguzi wa mara ya pili, Magufuli hasingeweza kumchaguwa mgombea mwenza mpya ili kusilete mpasuko ndani ya chama wakati kuna uchaguzi mbele yao. Hesabu za siasa si nadharia kama unavyotaka wewe.

Unasema alijuwa kuwa akifa makamu atakuwa Raisi?!! Unachekesha, wewe binafsi unajua utakufa lini? Urithi kwa familia yako ulisha andaa? Mdogo wangu, kifo ni fumbo la Mungu, hakuna ajuae atakufa lini. Ndiyo maana ulipoongelea hilo la wabunge aliowapitishapitisha kiolela uku umati wa vijana ukimshangilia, alikuwa hana habari na kifo. Alidhani atachagua bunge litakalomsaidia kupitisha mambo yake ya hovyo bila kuulizwa wala kuhojiwa. Pili alikuwa na mpango bunge lake hilo butu libadilishe katiba ili liondoe ukomo wa kugombea kiti Cha urais baada ya mhula wa miaka kumi. Angejuwa ana kufa, hasingeyafanya hayo.
Kuingoza nchi sio sawa na kuongoza familia ndugu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli alikuwa anataka Mwinyi ndio awe makamu wake! Alishaona pale kwa yule mtu hamna kitu.

Wote waliokataliwa na Magufuli leo hii wana prove umbumbumbu wao

Hii hoja yako unaithibitishaje kwamba alitaka mwinyi badala ya Samia? Maana kwa maneno yake yeye mwenyewe alituaminisha kwamba ameona Samia anafaa
Muhula wake wa kwanza na wa pili bado aliendelea na Samia ,hii inakufunza nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli ndiye aliyesababisha Leo hii nchi inaongozwa na Samia huyu huyu mnayemchukia na kumtukana.

Hii ndio legacy aliyotuachia

Sent using Jamii Forums mobile app
Akichaguliwa mgombea mwenza . Hakumchagua mwenyewe.
Na waliomchagulia bila shaka wameshaonyesha wazi sababu Yao ya kufanya vile na nini kingetokea .

Kule Zanzibar Sheria Iko wazi haiwezekani Rais akawa jinsia nyingine.

Na Muungano uko wazi mgombea mwenza anatokea upande Mwingine.

Ni vizuri Katiba ikabadilika vinginevyo Katiba hii itawaumiza CCM kuliko chama kingine mara atakapotokea mpinzani halisi kama Lisu kushika madaraka.

Kuna Kila dalili CCM kuanguka mbeleni kutokana na mwamko na uelewa Wa Watanzania. Tundu Lisu akiacha siasa za kuwakera wanyonge Kwa kumtukana na kumdhihaki JPM ni wazi sana Lisu ataingia Ikulu asubuhi na mapema 2025.
Nimshauri tu Lisu asamehe na kuachana na kauli za kumbeza Magufuli kwani hazina Msaada Wowote zaidi ya kuwakera Wananchi wengi.
 
Naona una hasira sana!

Magufuli pamoja na yote lakini hakuwa mpumbavu wa kuuza bandari za nchi yetu kama ilivyo leo!

Zile sheria kule bungeni kuhusu rasilimali ambazo bibiako alitaka kuzibadirisha ili kuwalinda waarabu ni yeye ndio alizitunga.

Kwanza hao watu waliouawa walikuwa wapumbavu tu kama ulivyo wewe so kwenye nchi kuua wapumbavu wachache ili kuokoa mamilioni ya wengi ni sawa tu...
Kwani nani kauza bandari? nipo hapa Temeke naiona ile pale Kurasini. Hizo uwongo zenu ndiyo zinazaa taharuki
 
Mungu wewe unachukua majabali una chukua wanaume ambao kweli jando lao halikuwa la ganzi. Wanaume wenye misuli ya Imani na uwezo wakuona kesho kwa Imani na matendo. Kwa Tanzania Ulitupa Hayati John Pombe Magufuli. Kijana alie zaliwa ktk ufukara ila ukampa kukikalia kiti cha Jamuhuri ya watu Wa Tanzania na kweli akatupa darasa ambalo kamwe kwa tulio Baki hatuto msahau.

Kama ilivyo kwa mzazi alituchapa na alituadabisha kiukweli kweli, akiwa na ndoto za mzazi siku moja siku moja tutamkumbuka nakwenda ktk kaburi lake nakusema baba tunakukumbuka kama Mungu angetupenda basi angalau angekupa mwaka mmoja tu zaidi utuchape viboko ili tuwe na akili zaidi ya hizi tulizipata kwa viboko na adhabu zako. Tungetubu kama mtoto anavyotubu kwa mzazi baada ya kugunduwa viboko alichapwa ndio vimemfanya kuwa Bora leo. Kwa hakika kama sio kifo kilikuwa na nia yakumpa kiti muda wa ziada jambo halikutokea ktk Historian yetu.

Jemedari huyu wa awamu ya Tano aliitikisa nchi ikatikisika, aliitikisa majabali yakatikisika na alivitikisa viti visivyoguswa vikatikisika kwake usawa ndio ilikuwa ndoto. Alipambana na majangili mpaka wanyama Porini na miti maporini ikawa inamuombea kwa Mungu. Alilinda kwa mkono wa chuma mipaka na siri za serikali kiasi kila alie na siri aliona kuliko kuitoa Bora kunywa sumu. Kwake Jamuhuri ndio ilikuwa ibada yake mbele za Mungu wake nawana Jamuhuri walimtambua hivyo. Hakuna mission alipanga Ika fail japo mwisho uwenda some thing wrong happen ktk mission zake itabaki kuwa top secret japo madhara makubwa yatakuwepo huko mbeleni.

Alimanisha alicho Maanisha na hakuwa na utani kwa kile alimanisha. Kwake dam na neno lake vilikuwa nijambo lakuchaguwa na hiyo ndio maana ya kiongozi. Wanafiki na mapandikizi walipata tabu sana maana aliwafanya wajione kama mapanzi mbele ya tai.

Hakuwa na mchezo hakuwa na masihara kwenye kitu kinaitwa hela ya serikali na nidham ya kazi kama ulitaka kuona rangi ya mtawala huyu basi cheza na hela ya serikali na kuwa mzembe kazin utachekea chooni. Watu walirudisha risiti na pesa ilio Baki ya serikali. Watu waliogopa pesa ya serikali kiasi ilifika mahali TUNAKUTANA kwa Mama ntilie Yani mama ntilie alipanda thamani kuliko 5 star hotels ama restaurant ama kwa hakika nchi ilisimama na vitambi vya upigani vilipotea.

Sito sahau story yakutisha ya kijana mmoja jirani kijana alie kuwa misheni town alie kuwa akila kwa kutumia sim yake aka misheni town. Nakama unakumbuka ili kuleta nidham kazin na mtaani Baba alikuwa sahani moja na misheni town. Kijana yule alikuwa akila maisha mjini pasipo kufanya kazi leo Tiss kesho Jwtz ila chini ya Mwamba kwa mara ya kwanza kijana yule alianza kujifungia ndani kama mbwa wakati wa mchana na kujifungulia usiku. Kijana alianza kukonda na mwisho alikufa kifo cha ghafla baada yakukutana na team hatari yakutokomeza wapigaji. Shikamoo Baba it was real top top secret never before. Kuna watu walijimaliza wenyewe baada yakugunduwa wamefanya madudu na adhabu yake ni kifo kwa usaliti wao. Huyo ndio Mwamba Magufuli.

Mbabe huyu alitufanya watu wawe na plan B ktk kila wakifanya na alifanya watu kuheshim mishara yao nakupenda ndoa zao while madada poa wakifa njaa nakutafuta kazi nyingine pasipo shurutishwa na mtu. Nikatika kipindi chake alifanya mageuzi makubwa na yaaina yake kwenye secta ya ajira sio hivyo tu alihakikisha masikini akiingia Ofisi ya serikali awe mfalme asikudanganye mtu masikini na mtu wa chini alikuwa mfalme maana ilikuwa akisikia mtu amedhulumiwa au akionewa na RC walile eneo hakufanyia kazi tatizo lake unakiwa kichwa bila notice. He was Iron Men. Acha chezea hii namba.

Nchi ilizimgirwa na hofu ya kuwa muwovu ktk Taifa lako nikujitafutia adhabu ya kifo jambo lilimfanya kila muhalifu kuacha uhalifu nakuwa Raia mwema kwakufanya kazi kwa bidii ila sio uhalifu ndio ktk kipindi hiki watu walifanya biashara ndogondogo kwa kiwango cha jabu sana Ali push watu kujiajiri nakutafuta ideas na yeye kuwapa nguvu free market. Wapo walimponda ila alikuwa na ndoto ambayo kaburi imeimeza ghafla.

Siwezi simulia au kueleza kile aliwafanya wauza unga ila mtafute muuza unga atakwambia ilikuwa mithili ya picha za CIA na mossad vile aliutokomeza huu mtandao alihakikisha either unalala chini au unaacha mama mkanye mwanao. He was master on Intelligence of finding crime. Nakweli wauza madawa na wala madawa walijikuta soba bila shuruti. Moja ya jambo sitosahau nimla mdawa mmoja kuniambia ameacha dawa maana hakuna dawa zakulevya... Lazima huko usalama huyu jamaa awe reference ya genius president on crime finding.

Hayati Magufuli hakuwa kiumbe cha kawaida hakuwa mwanadam au kiongozi wakawaida alipania na alikumbuka ahadi yake kwa Mungu na akiifanyia kaz kwa dam na jasho kwa ajili ya

Tanzania. Moja maisha yalio watisha wengi nikufanya kaz usiku wakati mwingine usiku mzito sana the guy was not normal human being lazima watu wakaribu watasimulia maajabu ya huyu kiumbe.

Alilijua duka na alikuwa na kila siri ya duka na hili likiwatetemesha wengi japo wazalendo walio mpenda walisema Mungu Asante umetuletea mkombozi. Alizijuwa siri ambazo watangulizi wake uwenda hawakudhani angezijuwa na alisoma sana kila siri wakati mwingine files ZINGINE mezani mwake zilimtisha hata yeye mwenyewe na uwenda ndio maana alituacha ktk wakati hakuna aliamini angetuacha japo Yeye alishakiona kifo.

Mwamba ndio mwanaume alie Jenga hili Taifa kwenye miundo mbinu huwezi simulia miundombinu ya Taifa hili bila kumtaja Mwamba Magufuli. Alitandaza lami mpaka Malaika wa Mbinguni wakasema lazima utaliongoza hili Taifa. Wachambuzi wa mambo wanasema kama angekuwa kibaka uwenda ndio waziri angekuwa na ukwasi wakitisha ktk Taifa hili ila alikuwa wakawaida sana.

Ukikaa nakujiuliza why Kuna kundi lina mchukia sana jibu nimoja tu kitu alicho wafanyia na pin alizowawekea na makofuli aliwafungia milango yao ya ulaji kamwe hawatoweza kuifungua hata baada ya miaka 100 yani aliona zaidi yao mfano nani anapenda mradi wa bwawa la mwalim Nyerere kama unamacho ya mbali Yani huu mradi unawauma watu fulani sana Usiniulize kwanini.

Miaka inakuja Gemedari huyu atakuwa Habari ya Taifa na huwenda siku zinakuja kutakuwa na Magufuli day. Siku zinakuja kumdhihaki nakumsema huyu Mwamba vibaya unakosa kura siku zinakuja hata upinzani watamtaja kwa mema. Wajukuu watamuimba nakumsoma mashuleni.

Maana ndie kiongozi alie sema moyoni mwake kuliko kuishi nakupigiwa mizinga 21 na heshima na kukaa ktk magorofa nakula Pepo za Dunia ni Bora kufa nikiacha alama ambayo kila mtu hatoangalia mabaya yangu ila mema yangu. Nayeye mwenyewe kabla ya kutuacha aliwahi sema "Ipo siku Watanzania Mtanikumbuka sio kwa mabaya yangu ila Mazuri hivyo tuzidi kushikamana na kupenda" Hayati Baba wa Ujenzi wa Taifa la Tanzania John Pombe Magufuli.

Hayati Magufuli ni nyota iliozima wakati wa mchana ila lijapo giza atamulika kwa milele. Asante Baba Asante Mzee Magufuli umetufundisha Uzalendo wa kweli kwa Taifa letu. Amen
Mnara wa kwanza
Tarehe 20.05.2023 tunazindua ikulu mpya Dodoma. Naomba muweke kumbukumbu maono yangu
Ilaniwe hiyosiku ikitokea hivyo
 
Akakuvusha salama kwenda kuuzwa Dubai?....

Mpkaa mapadri na phd zao leo hii wanajuta kuondokewa na rais wa kweli.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Eti Rais wa kweli, duh watu mnajua kujizima data
 
Kama kuwa mwizi kunaleta maendeleo Ni Bora kuongozwa na mwizi.


Kuliko muadilifu lakini maisha yanakuwa magumu.
Waweza kuwa sahihi lakini kiongozi mwizi ambaye kila siku watu wanaishi kwa hofu kwani siku yoyote unaweza potezwa huyo hafai. Ndiyo maana baada ya kufa watu wakafanya sherehe. Jiulize kuna kiongozi gani hapa kwetu aliwahi kufa wananchi wakafanya sherehe tofauti na Jiwe
 
Yaani nyie wajinga memekuwa misukule kabisa. Mnaanzaje kumuabudu yule kima alikuwa anaua watu? Eti Magufuli day?? Pumbavu kabisa, nani aiwekee hiyo siku takataka ile?
Inshallah tutaona kati yangu na wewe nani msukule. Weye twende
 
Katika hiyo maktaba itatakiwa kuwe na nyaraka zinazojibu maswali yafuatayo:
1. Kwa nini alisitisha ajira ikapelekea jam ya wahitimu mtaani?
2. Kwa nini wakati wa utawala wake watu wengi walipotea, maiti kuonwa kwenye fukwe za bahari na mitoni zikiwa ndani ya viroba?
3. Kwa nini alisigina katiba kwa kukataza legitimate political rallies?
4. Kwa nini alichepusha reli iliyopangwa kwenda Kigoma na kuielekeza kwao usukumani?
5. Kwa nini aliasisi mtindo wa kununua wabunge wa upinzani na kuwageuza kuwa CCM kwa hongo au vitisho?
6. Kwa nini alikamata waislam wengi na kuwasingizia ugaidi bila ya kuwa na clear evidence?
7. Why hakuongeza mishahara kwa muda wote wa uongozi wake wakati ni takwa la kisheria?
8. Kwa nini aliwatia hofu wasaidizi wake mpaka wakafikia hatua ya kumwita mungu eg. Kabudi?
Nyani ukitakauuwa mpe jina baya. Wakati utajibu maswali yako.
 
njisi alivyotoa ruksa watu kuuawa wanaopinga kisiasa kwa kuhoji utendaji wake.
njisi alivyokandamiza katiba ya nch
i
 
Inshallah tutaona kati yangu na wewe nani msukule. Weye twende
Na wewe ni msukule uliyekatwa ulimi, huwezi kurudi katika hali yako labda Magufuli afufuke maana aliondoka na ubongo wako.
 
Majizi akina Nani?. Mbona Magu mwenyewe mwizi mzoefu. Umesahau alimpa kimada wake nyumba za serikali au umesahau alimhonga hawara yake Kabula ubunge?. Acha kujifanya una hasira wakati Magu mwenyewe kaficha pesa china na kamuajili binamu kuwa mkuu wa hazina.
Mbowe ndio mwizi toka nazaliwa yeye ni mwenyekiti wa chama hadi nimeoa na nimepata watoto na mjukuu still bado mwenyekiti kwa nini ataki kuachia uenyekiti kama sio kuvizia pesa za ruzuku ni nn
Chadema ni chama cha familia ya akina mbowe nyie vyura mnajipendekeza
Mwenye chama ni mzee Mtei
 
Hivi ICC haiwezi kuanzisha hiyo sheria?
Tanzania ni nchi yenye wajinga na wapumbavu wengi
Icc ni ukoloni mamboleo kwa waafrica enyi ngozi nyeusi kwani mmelaaniwa??
 
Back
Top Bottom