Ipo siku tutajenga sanamu ya Hayati Magufuli na kufungua Maktaba yake ili vizazi vijifunze Uzalendo

Daah, Jamaa PHALA SANA WEE
 
Halafu nimegundua, wanaoeneza PROPAGANDA ZA KUMTWEZA MAGUFULI wako Jamiiforums tu.

Mtaani hali ni tofauti, watu wanamlilia sana chuma na kumsifu kwa mambo mazuri aliyoyafanya.

Lakini ukiingia kwenye haka kamtandao cha propaganda unakutana na MULTIPLE IDs zinamfokea JPM.

Haka kamtandao cha propaganda cha Jamiiforums katazamwe, kuna kitu.
 
Kuwadanganye sukuma gang wenzako
 
Siri ya kumuua been saanane?. Kumbuka wewe ni mtuhumiwa kwenye kesi hiyo.
Mbowe alimuua Ben Saanane na Chacha Wangwe.

Lakini hata hivyo yule Ben Saanane alikuwa na kiherehere sana, alistahili kunyukwa.
 
Siogopi kashifa maana najuwa ukweli hakuna asie mpenda Magu. Sote ni mashahidi alisema mtanikumbuka

Nani amkumbuke mficha pesa china? Kamanda wa wasiojulikana. Kama wewe unakumbuka ni kwako usilazimishe watu.
 
Multiple IDs zinapiga norinda jamiiforums 24hrs kwa kazi maalumu ya KUMTWEZA JPM.

Unakuta ni "taasisi" kabisa imejifungia mahalii inatema cheche mitandaoni.

The manipulators and liars. WALAGHAII

HILI NALO LITIZAMWE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…