Ipo siku wa Tanzania watapanga kwenye ardhi yao kwa mgongo wa uwekezaji

Ipo siku wa Tanzania watapanga kwenye ardhi yao kwa mgongo wa uwekezaji

Hata huko Zanzibar kaka yake mtu kauza visiwa vidogo kwa wazungu na Wakojani wazawa kuna sehemu hawatii miguu yao Wala kobadhi zao.
 
JE' NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE?
-viongoz wote wananjaa wanajar family zao na tumbo zao(maslahi yao).

-na sie raia niwa ndio mzee(walalamikaji wa chinichin). maisha magum, kila raia anapgania maisha yake.

hofu kupaaza saut akiogopa kuzibwa mdomo(kupotezwa).
pia Wao kwa wao juu viongoz wanaogopana.

Kila kiongoz ni mbambe upande anaomilik hataki ushauri wala kumskilz mpga kura.
 
Japo wanajinasibu na msemo wa "Right there where you are" the state wamechelewa ku excute Ile mission yao!!
Baadhi tunajua 2026 ndio hasa madhara ya hiyo mikataba yataonekana watu watapoanza kufurushwa kwenye ardhi zao Ili kupisha so called wawekezaji!!

Kwa Sasa Hali imetulia kidogo wakisuburi baada ya uchaguzi akipita aliewapa ardhi ndio kimbembe Cha kufukuza watu kianze!!

The state operation PJLK imefikia wapi!!?
 
Kina traore wapo na tupo wengi, ila hujui yupi na yupi maana waweza ona una pambania maslahi ya taifa kumbe ni interest ya kiongozi fulani.

Leo hii nawaza mtu Kama shivji tunge mtumia Kama taifa, lazima tunge faidika nae.
Siasa walipoingia watu wajinga Wenye Akili wakaamua kukaa kimya na kotojingiza kwenye siasa nature ilivyo ya Nchi na wananchi Kuna siku wenye akili wataingia kwenye siasa mambo yatakua mazuri
 
Hakuna wa kumfunga paka kengele! Sasa ni mwendo wa kuchukua ardhi na kuwapa wawekezaji, huku wazawa wakilipwa fidia kwenye ardhi ya mababu zao na kuhamishiwa maeneo yasiyo na rutuba. Kwa mwendo huu, ipo siku Watanzania watapanga kwenye ardhi yao wenyewe kwa sababu ardhi yote imepewa wawekezaji.

Umuhimu wa kurudisha Tanganyika unaonekana wazi sasa, maana hali hii haileti picha nzuri. Bandari zinazorasimishwa zipo Tanganyika, si Zanzibar. Ardhi inayorasimishwa ni ya Tanganyika, si ya Zanzibar. Wananchi wanaoondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na ardhi yao kugawanywa kwa wawekezaji ni wa Tanganyika, si wa Zanzibar.

Je, hili ni sawa? Kwa nini hata marais waliopita, kama Jakaya Kikwete, hawakurasimisha mali za Zanzibar kwa mtindo huu?
Inasikitisha sana
 
Japo wanajinasibu na msemo wa "Right there where you are" the state wamechelewa ku excute Ile mission yao!!
Baadhi tunajua 2026 ndio hasa madhara ya hiyo mikataba yataonekana watu watapoanza kufurushwa kwenye ardhi zao Ili kupisha so called wawekezaji!!

Kwa Sasa Hali imetulia kidogo wakisuburi baada ya uchaguzi akipita aliewapa ardhi ndio kimbembe Cha kufukuza watu kianze!!

The state operation PJLK imefikia wapi!!?
Kuna kijij kimoja wametimuliwa wote kapewa mwekezaj kwa kuambiwa walivamia eneo na huku wamezaliwa pale miaka mingi tu, wanatulizwa kwa fidia.
 
Hakuna wa kumfunga paka kengele! Sasa ni mwendo wa kuchukua ardhi na kuwapa wawekezaji, huku wazawa wakilipwa fidia kwenye ardhi ya mababu zao na kuhamishiwa maeneo yasiyo na rutuba. Kwa mwendo huu, ipo siku Watanzania watapanga kwenye ardhi yao wenyewe kwa sababu ardhi yote imepewa wawekezaji.

Umuhimu wa kurudisha Tanganyika unaonekana wazi sasa, maana hali hii haileti picha nzuri. Bandari zinazorasimishwa zipo Tanganyika, si Zanzibar. Ardhi inayorasimishwa ni ya Tanganyika, si ya Zanzibar. Wananchi wanaoondolewa kwenye maeneo yenye rutuba na ardhi yao kugawanywa kwa wawekezaji ni wa Tanganyika, si wa Zanzibar.

Je, hili ni sawa? Kwa nini hata marais waliopita, kama Jakaya Kikwete, hawakurasimisha mali za Zanzibar kwa mtindo huu?
Tatizo, ni taasisi hizi kutofanya kazi, ipasavyo, bunge, cag, Mahakama, dpp, Tume ya uchafuzi, tume ya madili ya viongozi na ijp kuelemewa na mzigo wa dhambi za hao wengine
 
Back
Top Bottom