Pre GE2025 Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

Pre GE2025 Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.

Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.

Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!

Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
Facts kabisa mkuu.
 
Hapa jukwaani wewe na Lumumba Malcom...

Ndio wasomi pekee mnaopingaga aina ya uongozi wa JPM na Nyerere bila hoja za msingi ...
Mkuu kama unadhani kupinga sera za Mzee Nyerere ambazo zimedidimiza hili taifa ni kupinga uongozi wake basi bado uko na safari ndefu sana. TANU/CCM walicheza muziki vibaya na wakaja kuamka wakati sherehe inaisha na dunia imefika mbali sana.

Makosa ya Mzee Nyerere ni dhahiri na machache ni haya hapa:

1.Building a Cult of Personality and dismantling Corporate Leadership which was built within TANU Ranks since the days of freedom fighting.

2.Banning any form of opposition, both within and outside the TANU/CCM.

3.Underestimating the ability of Market Oriented Economic Capitalism in driving creativity and shoring up innovation.

4.Staying longer in power even when it became apparently clear that his leadership had failed to deliver economically.
 
Back
Top Bottom