Kabisa mnatetea waliotaka kuvunja Katiba ya nchi? Mkishachezea Katiba mra moja hiyo dhambi mtaijutia milele! General Mabeyo anastahili heshima kubwa. # Mwacheni Mhe. Rais aongoze kwa vision yake🙏🙏🙏Nakubaliana Nawewe
MABEYO KWANGU SIO SHUJAA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mnatetea waliotaka kuvunja Katiba ya nchi? Mkishachezea Katiba mra moja hiyo dhambi mtaijutia milele! General Mabeyo anastahili heshima kubwa. # Mwacheni Mhe. Rais aongoze kwa vision yake🙏🙏🙏Nakubaliana Nawewe
MABEYO KWANGU SIO SHUJAA.
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Hana akili yoyote ile si ndio alipinga bandari ya Bagamoyo alafu JPM alipofariki akasema "walipitiwa".Watu walimuona Ndugai kichaa ila yule jamaa ana akili sana.
Mfumo dume unasumbua akili za watu humu ndani na huko mtaani kwa ujumla.Hujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.
Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.
Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!
Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
Mbona alimteua tena 2020? Kama JPM mnamuita genius na ndio kamleta Samia mnayesema ni dhaifu basi JPM hana huo ugenius mnaompamba humu.Jpm hakuwahi kumkubali Samia.
Ni vile tu protocol za chama zilimbana
Poleni sana, na ndio mwenyekiti wenu CCM mpaka 2032, hamtaki kaanzisheni chama mpambane naye mbona simple tuKama samia kawa rais basi hao uliowataja wangekuwa better mara 100 ya samia
Chuki inawasumbua kwa sababu wanamuona JK ana ukaribu na Samia na wao hawampendi JK.Mbona alimteua tena 2020? Kama JPM mnamuita genius na ndio kamleta Samia mnayesema ni dhaifu basi JPM hana huo ugenius mnaompamba humu.
Bado nina imani huyu hakuwepo! Sijui yaliyomo ndani yake ila anaishi kinafiki sana.Inadaiwa alikuwemo na mpk leo anachukiwa sana, ndiyo maana kawekewa naibu ili abakie kuwa ceremonial
Kwani sasahivi akimchomoa kitaepuka nn baraza kuvunjika.Huoni kaletewa Naibu? Angemchomoa si ingebidi baraza zima la Mawaziri livunjwe?
Kwani sasahivi akimchomoa kitaepuka nn baraza kuvunjika.
waliona mbali snKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
waliona mbali snKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
waliona mbali snKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
waliona mbali snKwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavyoendelea, nashawishika kusema waliotaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo inda, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Punguza mahaba mzeeHana akili yoyote ile si ndio alipinga bandari ya Bagamoyo alafu JPM alipofariki akasema "walipitiwa".
Ni huyu Ndugai ndio alipinga ripoti ya CAG kusomwa bungeni eti kisa kawaita wana uwezo mdogo!! yaani alikasirika kisa CAG ameonesha kuna ufisadi na bunge halikuchukua hatua.