Shida kubwa nayoona Mimi ni nchi Haina mfumo Bali inategemea individuals...Hii ni hatari mno mno...Katika nchi yenye mfumo hakuna anayeweza kufanya jambo lake Kwa maslahi binafsi akabaki salama...Hapa kwetu inaonekana Kuna watu wakiamua basi hakuna anayeweza fanya lolote na majeshi yana walinda badala ya kulinda Katiba na nchiBora umewaelewesha mkuu. Kuna watu Wana maono ya muda mfupi wakipata changamoto midogo wanafikiria njia rahisi ya kutatua ambayo mara nyingi ina athari kubwa kuliko faida.
Inakuaje chama Cha siasa kina amua jambo ambalo halikubaliki kidemokrasia Halafu kina impact Kwa nchi na hakuna anayeweza ku object?
Inawezekanaje watu kura zinaibwa waziwazi na wezi wakabaki salama? Inawezekanaje rasilimali za nchi including pesa zinaibwa na hakuna anayejali?
Hii ndiyo inayoogopesha haswa kwamba public Haina say wala hakuna jinsi Wanaweza fanya dhidi ya kundi la watu wachache!