Pre GE2025 Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

Pre GE2025 Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alipaswa kupewa mtu yeyote aliyekuwa mtiifu kwa jiwe. angepewa kakulwa nchi ingeenda vizuri sana.
Kwa kipi alichofanya Bashiru Ally kudhani angefaa kuwa Rais? Kama tu alikana msimamo wake wa katiba mpya ili apewe ubunge sidhani kama angetupeleka kokote. Angeturudisha kwenye sera za ujamaa, he would be worse than Samia.

Kingine kama JPM alimteua Samia kuwa makamu na hakua mtiifu kwake ni kosa la Samia au JPM? si mlisema JPM alikua genius kama!! Kama tu succession plan ya kuandaa Rais ajaye alishindwa huo ugenius wake uko wapi?
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Hiyo siku haitokaa ije. Political carriers zao zimeshakuwa supressed others zinaowenda kuisha soon. huwez ku attack mfumo wakati upo ndani ya mfumo
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Ndio maana wezi na mafisadi waliweka mkakati wa kumsifia tangu siku ya kwanza, wakaandika matangazo nchi nzima kumbe lengo ni kuficha udhaifu wake na wao waendelee kula kwa urefu wa kamba zao
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Mambo hayaendi kabisa,una maanisha nini?

Mambo yamesimama,thibitisha.

Mwisho ungesema ipo siku wataenda kunyea debe
 
Kwamba huyo ambaye angekua replacement ya Samia mfano Mwigulu au Nape ndio ingekua better? CCM haijawahi chagua Rais based on uzalendo au uchapakazi ila inaangalia urahisi wa kuiba. Ni ajabu watu kuwaza eti Samia asingekua Rais basi angepewa "kichaa" kama Kabudi au Bashiru!!
Usitukane watu,kwanini umuite mwenzio kichaa,kama haukubaliani nao tafuta namna nyingine.
 
Kwani ilipokua chini ya dikteta ilitusaidia nini? Mbona CCM walikua wanaiba kama kawa na hakuwahi kufungwa mtu. Rejea ripoti ya ukaguzi wa mali za CCM nani alikamatwa? Kesi ya makinikia nani alikamatwa?
Tatizo lenu chadema mnawaza madaraka na kuiba.

Hata kama nyie ni Wachagga hamtapewa hii nchi maana wizi upo kwenye damu zenu.
 
Wakiwa wanatembea Kuna mtu akaropoka huko tuendako naona Kuna mwanga wenzake waka shangilia Sana. afadhari MAANA tumetoka kwenye giza, badaee. Alaa kumbe ni mchawi
 
Tatizo lenu chadema mnawaza madaraka na kuiba.
Jibu swali, Rais alipokua dikteta mbona makusanyo ya kodi ni madogo kuliko huyu Rais samia anaye cheka cheka? Udikteta ulisaidia nini sasa? Nimekuuliza pia kama udikteta ndio suluhu, hao wezi wa mali za CCM na makinikia walipelekwa mahakama ipi? Jibu haya maswali sio kulialia.
Hata kama nyie ni Wachagga hamtapewa hii nchi maana wizi upo kwenye damu zenu.
Pole sana umejaa ukabila kama JPM, CHADEMA ina nguvu kigoma kuliko hata uchaggani in fact kura za Urais kwa wagombea wa chadema huwa nyingi Kigoma kuliko uchaggani!! Endelea kuwaza wachagga ukija kushtuka makabila yote yameshaikataa CCM!!
 
Sio tusi ndio maana nimeweka hizo quotation marks. Kichaa ni msemo wa JPM kumaanisha kiongozi mkali mkali asiyekuwa na aibu kuchukua hatua.

View: https://youtu.be/n8IaMatQqFM?si=b9xU1rgINKCBXnwT

Sasa kama Magufuli alikua na maana hiyo...

Bashiru na Kabudi wana ubaya gani...

Mheshimiwa Samia ni raisi wa tatu tangu tuanze kupata maraisi wanaocheka cheka...

Nchi ilipiga hatua gani kulinganisha na hawa wakali wawili(Nyerere na JPM)?
 
Jibu swali, Rais alipokua dikteta mbona makusanyo ya kodi ni madogo kuliko huyu Rais samia anaye cheka cheka? Udikteta ulisaidia nini sasa? Nimekuuliza pia kama udikteta ndio suluhu, hao wezi wa mali za CCM na makinikia walipelekwa mahakama ipi? Jibu haya maswali sio kulialia.
Pole sana umejaa ukabila kama JPM, CHADEMA ina nguvu kigoma kuliko hata uchaggani in fact kura za Urais kwa wagombea wa chadema huwa nyingi Kigoma kuliko uchaggani!! Endelea kuwaza wachagga ukija kushtuka makabila yote yameshaikataa CCM!!
Kigoma mnachokijua ni uchawi na uchawa.
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Sahihi kabisa kwa hili bomu la kiongozi wa sasa watapata tuzo
 
Back
Top Bottom