Iramba ni nyumbani kwa Mawaziri watatu lakini inazidi kudorora!

Tatizo la wanyiramba, mnyiramba akipata pesa kidogo au kazi nzuri anahamia town kama wahaya na kusahau nyumbani, pia wanyiramba wengi ni wazembe wanapenda sn pombe za kienyeji(nturu kama sikosei), hivyo Mwigulu huwa anawanunulia pombe wanampitisha maisha yanaenda kirahisi sn.
 
We unasema Iramba vipi kada ya ualimu je.
Kada ya ualimu ndio utoa nusu ya viongozi wote kuanzia raisi, mawaziri hadi wabunge na wanazijua shida za walimu tena kwa kuziishi wakiwa walimu.
Lakini umewahi ona wamewakumbuka walimu? Hapana,hulka ya mswahili huwa akumbuki alipotoka hasa akishapata.
So sio ajabu kwa hao mawaziri
 
Unatakaje?
Yaani Mwigulu Nchemba, Dorothy Gwajima na Kitila Mkumbo waelekeze Iramba raslimali zote za wizara zao, kwa kuwa wewe na wao mnatokea huko!!?
Mawaziri hao watatu wanasimamia raslimali za taifa, hawatatenda kinyume na kiapo chao.
 
Uwaziri sio issue ,ivi mna wabunge wangapi watishe tu hao wabunge kuwa mwakani unajipanga kugombea basi utaona faida yake atakulipa hata mshahara ili usigombee nafasi hio na maendeleo pia mtayaona alimuradi atawanyamazisha na mtaridhika kabisa ,lakini waziri hao hawana faida.
 
Kila kukicha wanapambana kumwangusha Lissu. wana maana basi hao.
 
Huu ni uwongo wa mchana kweupe. Wanyiramba so wazembe ukilinganisha na Wanyamwezi na watu wa Tanga na Wazaramo!
 
Huu ndio Ujinga was Watanzania!
 
Mkuu kuanzia Kilimanjaro mpaka Manyara umewahi kuona nyumba ya tembe?
Kilimanjaro zipo ingawa ni kwa uchache - nenda maeneo ya kule Chekereni na kwa mbele yake hata kuja huku Same mpaka Hedaru zipo nyingi tu za kumwaga. Manyara hata usiseme - manake hamna tofauti na Singida. Arusha nenda Longido na Simanjiro zipo za kumwaga tu. Usitufanye sisi hatuifahamu Tanzania.
 
Huu ndio Ujinga was Watanzania!
Ila hako ka slogan kako kana maana kweli. Mungu Wetu ndiye champion wa demokrasia kaumba hata Kiumbe Shetani ili ampinge yeye! Sisi ni akina nani hadi tukatae kupingwa?
 
mlamlalamikia nani kama mnaleta wabunge bogus. Gwajima utasema waziri sasa yule au comedian
Ila HAKI YA MUNGU TENA, Gwajima sio sisi tumemchagua ingawa pamoja na ucomedian wake anaweza 2025 akatufaa Zaidi kuliko G'wigulu!
 
Lyambalyani 😆..ktk kipindi Cha miezi 3 umeanzisha Thread humu kumhusu Mwigulu ,unazikumbuka na maudhui yake???Hebu zirejee tena urudi utuambie hapa wewe unasimamia Nini!
Ila Kama hujamaliza kuvuna nenda Kwanza shamba!🤒🤒
 
Hawa Ndio kwanza wamepewa vyeo na ni lazima bosi wao wamridhishe ili wawe sehemu ya anaowaamini.

Sidhani kama kwa sasa wanawazia majimbo, wana ilani ya kurasa 303 inawategemea wao. Huyo Mkumbo ndio mtafsiri halisi wa Tanzania ya viwanda.

Gwajima anapigwa vijembe kwamba haiwezi wizara akili yake ipo kazini. Mwigulu anajikita katika kuununua upendo wa Mzee JK na Rais sidhani kama anawazia jimbo kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…