Iramba ni nyumbani kwa Mawaziri watatu lakini inazidi kudorora!

Mkuu umechemsha zile ni nyumba za miti na siyo tembe(miti na nyasi), kwa hiyo hali ya maisha ya Singida na Manyara, Arusha na Kilimanjaro zinalingana mkuu?
 
Hilo jimbo ni Mali ya Mwigulu labda km atapitishwa kwny uraisi ndo ataweza kumuachia Gwajima
 
Mkuu umechemsha zile ni nyumba za miti na siyo tembe(miti na nyasi), kwa hiyo hali ya maisha ya Singida na Manyara, Arusha na Kilimanjaro zinalingana mkuu?
Iramba hakuna nyumba za miti na nyasi ,Kuna za tofali na bati,na chache tofali na udongo(tembe) na zinspotea kwa Kasi na chache zitabaki kwa ajili ya kumbukumbu tu!
 
Charity begins at home bhana! Mhhh ila wa Chato alizidi - akataka hadi iwe Mkoa!? Sisi tunataka tu aongeze idadi ya punda!
Charity begins at home, YES but not in the way you understand...

You can't take someone's property and use it at your home then you start shouting crazily "hey! people, listen, charity begins at home and I have done it...!!"

That couldn't be charity. That is vandalism/selfishness/meanness and you deserve to be punished according to the law of the land...

You have to be equipped with the correct concept of the statement "charity begins at home"
 
Kwa maneno mengine unataka mawaziri wapendelee nyumbani kwao.
Kuhusu Mkumbo ni kweli hakushinda Ubungo, lakini ni nani aliyeshinda kwa wana CCM?
 

Uchawi na ushirikina ndo chanzo cha umaskini, Hawa watu wote wa Itamba wanasema wameokoka na ni watumishi!

Halafu hawa watu wengi wa Iramba ni wachawi mtindo mmoja, yani haya mambo haya, hata hao mawaziri wakae tu! Wanaweza hata loga maendeleo watu wa Iramba
 
Ilikuwa Chato, sasa naona Iramba inataka kushika usukani. Sisi wa Mamsera tutaendelea kumlilia Mungu atufanyie wepesi.
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28]
 
Waliokuwa wanawachelewesha sasa hawapo, lakini naona ndio tunarudi nyuma maradufu ,wamekalia kupiga hesabu za namna ya kikwapua mali ya umma tu
 
Mhhh mkuuu Kulogwa na Mnyiramba mmoja tu unajumuisha ...siku hizi Kila Kabila na Taifa linaweza kufanya huo utamaduni,...hel yako tu!
 
Vipi umeoa huko...huko Iramba Mashariki ,lakini Magharibi ...Ndago,Ulemo,Kinampanda ,Misigirri,Kiomboi ,Shelui ...zimebaki za Makumbusho!
Balaa na nusu, siwezi kuona nyira maana ukoo mzima utahamia kwangu
 
Balaa na nusu, siwezi kuona nyira maana ukoo mzima utahamia kwangu
Mkuu wewe utakuwa unamekutana na Wanyuramba wabMagugu,Kichqmeda,Mamairo au Matufa!
Hii ni spicies nyingine ya hapo Manyara!
 
Huu mwandiko wako mbona kwa mbaali kama unafanana na wa Dorothy??
 
Umenena kweli kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…