Iramba ni nyumbani kwa Mawaziri watatu lakini inazidi kudorora!

Mkuu umechemsha zile ni nyumba za miti na siyo tembe(miti na nyasi), kwa hiyo hali ya maisha ya Singida na Manyara, Arusha na Kilimanjaro zinalingana mkuu?
Ni miti manyazi na udongo SIO CEMENT. Wewe unaziona kwa barabarani mimi nimeingia ndani ayake hadi na kulala.
 
Dr Dorothy Gwajima hana mpango wa kugombea na hamtakaa kumuona akija kugombea huko. So kuwa na amani
 
Du. Tatizo mie darasa la saba na hao wote ni Maprof sijui nitawshindaje?
Sifa ya kuwa Mbunge ni kujuwa kusoma na kuandika. Musukuma na Lusinde (Kibajaji) ni darasa la saba. Jah People yule wa Makambako ni darasa la nne. Kwahiyo hakuna cha kujitetea hapo.
 
hajaonja ladha ya nyama pori! Ilikuwa Ndalichako na Mpango itakuwa Gwajima?
Unamfahamu Dr Dorothy Gwajima? Hicho chuma achana nacho wewe.Huyo mama ni 100% mtendaji siyo Mwanasiasa. Wala msiumize kichwa kuhusu yeye. Muda wake ukimalizika hataenda huko Iramba kugombea Ubunge.
Mark my words
 
Unamfahamu Dr Dorothy Gwajima? Hicho chuma achana nacho wewe.Huyo mama ni 100% mtendaji siyo Mwanasiasa. Wala msiumize kichwa kuhusu yeye. Muda wake ukimalizika hataenda huko Iramba kugombea Ubunge.
Mark my words
Atakuwa Katibu Mkuu Kiongozi ama?
 
Mkuu hapo pa Mamba Kinani ndio nani au ni mambo ya kurudia shule?
 
Aliyekuambia Waziri,au Mbunge analeta maendeleo jimboni,alikudanganya,
Waziri yoyote hawezi kujiamulia kwamba Mimi kijiji Changu lazima nipeleke umeme,zahanati,shule,Waalimu,balabala,hivi vitu ni sera,vinaamuliwa na baraza la mawaziri,na watendaji wa wizarani kwa kuangalia vipaumbele,na kugawa kila sehemu ya nchi ipate,Arusha,na Moshi hazikuendelea kwa vile mawaziri na wabunge wenye hasiri ya huko,"walipereka"maendeleo,wao wabunge na mawaziri hawakupereka Mali,walionyesha njia,vision na kutoa uongozi,wakawaweka wananchi pamoja,shule zikajengwa,kwa nguvu ya wananchi na wafadhili,biashara zikaanzishwa,wafanyabiashara wakapata usaidizi wa karibu kutoka kwa viongozi,na mambo yakatokea,
Mbeya,Kagera walifanya hivi pia.
Mkitegemea Hao viongozi wenu watakuja kujenga zahanati na shule,na huduma za maji kwa pesa yao ya mifukoni mtasubili mpaka Yesu Arudi
 
Umeathirika na "la" badala yake unaweka "ra"
 
Ilikuwa Chato, sasa naona Iramba inataka kushika usukani. Sisi wa Mamsera tutaendelea kumlilia Mungu atufanyie wepesi.

Wanataka Mwigulu aipendelee Iramba kwa kiwango kikubwa wapate cha kuongea kama walivyoisakama Chato na Raisi JPM
 

Mwigulu ananunue upendo kwa Jk ? Unamjua vizuri Mwigulu na JK ni kama Ridhwani kikwete na JK , Mwigulu ni mtiifu kwa viongozi wake na jamii kwa ujumla

natamani mngeweza Kumfahamu Mwigulu nje ya siasa ni binadamu na nusu na kwanza ndio Waziri anaengoza kwa kupendwa na wabunge wenzie na System kwa sababu hanyanyui mabega na ni mwenye msaada kwa wenzie
 
Asante kwa taarifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…