Iran anachokifanya kwa nchi za Iraq na Pakistan, ni unafiki kusema kuna umoja wa nchi za Kiislamu

Iran anachokifanya kwa nchi za Iraq na Pakistan, ni unafiki kusema kuna umoja wa nchi za Kiislamu

Ujinga tupu kama nchi yako ikajiunga na kuwa miongoni mwa nchi za Kiislam!

Aliyeikataa OIC nchini petu Tanzania, apewe mauwa yake.

Kinachofanyika na kufanywa na nchi ya Kiislamu IRAN kwa nchi za kiisilamu nyenzake, ni uhuni na ulimbukeni kuendelea kuamini kwamba hili nalo ni taifa linalounga mkono umoja huo wa Kiislamu na kwamba ukijiunga kwenye umoja huo unaweza kupata msaada wowote panapotokea mgogoro wa kivita na nchi nyingine.

Badala ya kuwa na umoja ili kuwalinda na kuwatetea Wapalestine, wao kwa wao tena wanainukiana kufyatuliana makombora! 😂 utadhani siyo waislamu kwa waislamu.

Aliyetaka kutuaminisha kuwa OIC ni suluhisho la ulinzi na kupewa nguvu zote za kiulinzi kutoka nchi washirika wa Kiislamu, alaaniwe mara elfu moja.

Palestine leo inaangamizwa huku nchi hizo za Kiislamu zikichekelea na kutwangana zenyewe kwa zenyewe.

Umoja wa Kiislamu unafaida zipi sasa?
Mimi nachojua hakuna idadi ya kutosha ya bikira kuwahudumia hizo nchi zote za kigaidi. NI UZUSHI WA KIPUMBAVU SANA
 
Wawatetee wapalestina kisa tu dini yao moja!! Waarabu wengi hawawataki wanakumbuka Black September miaka ya 1970s wapalestina walipoleta vita kwa mwenyeji wao Jordan, Hamas wameichokoza Israel wanawaacha wapewe adhabu ya walichopanda.
 
Kurusha makombora nchi ya mwingine unafananisha na mambo ya biashara ya ndege ambayo yamekuwa resolved ndani ya mifa mfupi?
tena yanasoviwa na tu pimbi mtoto kama januari uyu jamaa anafananisha makombora na ndege
 
Mapadri na mabikira 72 wapi na wapi mkuu
Mapadri wamekatazwa kuoa ndio maana wanapiga mimba wale kina sister hatari.
Utaskia "we magdalena njoo huku nikutoe pepo"
Mara Ghafla magdalena anapotea; haji tena kanisani.
Kumba Ameshiba maji ya uzima.
 
Wawatetee wapalestina kisa tu dini yao moja!! Waarabu wengi hawawataki wanakumbuka Black September miaka ya 1970s wapalestina walipoleta vita kwa mwenyeji wao Jordan, Hamas wameichokoza Israel wanawaacha wapewe adhabu ya walichopanda.
Bwana Yesu anasema ktk

LUKA 19:27

Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa MWACHINJE mbele yangu.

Na Akahimiza ktk MATHAYO 10:34 Kuwa " Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali UPANGA. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake.
Na akatoa AMRI kwa wafuasi wake wote kwenye
LUKA 22:36 Na KAHIMIZA WAFUASI WAKE KWENYE LUKA 22:36

Akawaambia, Lakini sasa mwenye mfuko na auchukue, na mkoba vivyo hivyo; naye asiye na UPANGA, na auze joho lake akanunue.

Kwahio KUUA KWA UPANGA NA KUCHINJANA tumefunzwa na BIBLIA .
 
Ujinga tupu kama nchi yako ikajiunga na kuwa miongoni mwa nchi za Kiislam!

Aliyeikataa OIC nchini petu Tanzania, apewe mauwa yake.

Kinachofanyika na kufanywa na nchi ya Kiislamu IRAN kwa nchi za kiisilamu nyenzake, ni uhuni na ulimbukeni kuendelea kuamini kwamba hili nalo ni taifa linalounga mkono umoja huo wa Kiislamu na kwamba ukijiunga kwenye umoja huo unaweza kupata msaada wowote panapotokea mgogoro wa kivita na nchi nyingine.

Badala ya kuwa na umoja ili kuwalinda na kuwatetea Wapalestine, wao kwa wao tena wanainukiana kufyatuliana makombora! [emoji23] utadhani siyo waislamu kwa waislamu.

Aliyetaka kutuaminisha kuwa OIC ni suluhisho la ulinzi na kupewa nguvu zote za kiulinzi kutoka nchi washirika wa Kiislamu, alaaniwe mara elfu moja.

Palestine leo inaangamizwa huku nchi hizo za Kiislamu zikichekelea na kutwangana zenyewe kwa zenyewe.

Umoja wa Kiislamu unafaida zipi sasa?
Waneambiwa kuwa mabikira wako wengi na wanahitaji wanaume waliokufa mashahidi hivyo iran iko sawa kuzipiga nchi za kiislamu wenzake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom