Missile zote zikikaribia na shabaha zinapiga kiaina hyo, Angalia hapa chini Storm shadow za muingereza zikipiga makao makuu ya black Sea fleet ya Urusi. Hii HQ hapo Crimea inalindwa na kila aina ya AD... S-400, Tor,Pantsir, noHehee hatari sana aseeee yaani haya madude yapo kwa ajili ya kuuana heheeee ๐
Kwahio iran ni super power ๐๐๐Missile zote zikikaribia na shabaha zinapiga kiaina hyo, Angalia hapa chini Storm shadow za muingereza zikipiga makao makuu ya black Sea fleet ya Urusi. Hii HQ hapo Crimea inalindwa na kila aina ya AD... S-400, Tor,Pantsir, no
View: https://youtu.be/F6vnxcKOmUE?si=-GgUET_d9Z2jPKGe
Kama kua na makombora kunakufanya Uwe Superpower bhas hata Houthi ambao raia wao wanakufa njaa kwa utapiamlo nao ni Superpower.Kwahio iran ni super power ๐๐๐
Noona unaweweseka, mzayuni hana muda uchawa wako wa kigalatia,Unataka watu tushinde Jf kwani tunalipwa humu?!
Iran inasema inapiga base ya Mossad lakn matokeo yake wamemuua raia mfanyabishara wa Iraq Peshraw Dizayee,na familia yake (mke na watoto)
Sasa Hao agents wa Mossad waliopigwa hapo wako wapi?!
Mnaleta leta vihabari bila evidence
The Chairman of the Falcon Group and Developer of the $2.3 Billion Empire World Real Estate Development, Peshraw Dizayee and 4 Members of his Family have reportedly been Killed by the Iranian Ballistic Missile Attack which Targeted the City of Erbil in Northern Iraq.
View: https://twitter.com/sentdefender/status/1747023923537936613?t=G3FP2pULGp-Km6nyCOq7Qw&s=19
Waliotoa taarifa za maafa ni wahusika Iraq (bila Shaka walifika eneo LA tukio) ambao walirushiwa makombora, halafu ww mkaanga mihogo wa Namtumbo unataka kuwabishia.Noona unaweweseka, mzayuni hana muda uchawa wako wa kigalatia,
unataka kujua mossad wangapi wamekufa? since when mossad publish their causalities ? not even IDF
Unataka watu waamini ni IDF 150 tu ndio wamekufa ?
Right now google utafute hata kifaru kimoja cha idf kimeharibiriwa au hata google kichapo ukraine anachopata kutoka russia kama utaona kitu,,,media censorship own by jews bastards
JWTZ ilivyokula kichapo Mozambique, uliona mapichapicha yeyeto kwenye magazeti ya bongo?
Kwahiyo wewe mbuzi umesoma kunipita mimi, tuanze hii ligi?Ila surale fupi dunia nzima wameungana dhidi ya mazayuni na bado wamemshindwa, kweli shule ni muhimu!.
๐๐Waliotoa taarifa za maafa ni wahusika Iraq (bila Shaka walifika eneo LA tukio) ambao walirushiwa makombora, halafu ww mkaanga mihogo wa Namtumbo unataka kuwabishia.
Hizi hapa, tafuta sabau nyingine, kwanini hazionyenshwi na mainsteam media BBC, CNN, DW?Mzee zama hizi za teknolojia unadhani kuficha kitu?! Kwanini Hao Hamas wasipost hizo video za vifaru kwenye mitandao mingine kama Wechat?! Mbona video za watoto wachanga kufukiwa kwenye vifusi wanazituma vizuri tena zikiwa na ubora wa HD, kwanini wasilete hizo za vifaru tuzione kama kweli?! Eti censorship, watume kwenye mitandao ya wachina sio lazima ya magharibi.
Leta gazeti au TV ya bongo ilionyesha hii taarifa, JF haihusiki, ni sisi wachangiaji ndio tunatoa taarifa JFTaarifa za JWTZ kula kichapo zilichapishwa kwenye media za bongo ikiwemo humu JF.
Kila siku unatukana West wakati unatembeza kobazi na Dera kwenye ardhi ya watu waliostaarabika. Huna tofauti na waarabu na wengineo kila siku wanaitukana Marekani lakini wao ndo wanaoongoza kuomba visa kuingia US.๐๐
Sawasawa, lakini mihogo yangu naichomea Manchester, na wakati wewe mzayuni wa bonyokwe unakula vumbi tu
Hizi hapa, tafuta sabau nyingine, kwanini hazionyenshwi na mainsteam media BBC, CNN, DW?
View: https://www.youtube.com/watch?v=ClLHBWOL5dQ
Leta gazeti au TV ya bongo ilionyesha hii taarifa, JF haihusiki, ni sisi wachangiaji ndio tunatoa taarifa JF
UmeloaaaKila siku unatukana West wakati unatembeza kobazi na Dera kwenye ardhi ya watu waliostaarabika. Huna tofauti na waarabu na wengineo kila siku wanaitukana Marekani lakini wao ndo wanaoongoza kuomba visa kuingia US.
Endelea kuvisha vikongwe diaper hapo Manchester.
JF ni media ya China eeeh?! Kwanini isihusike?!
Hujasema, yani bado hujasema... Na utasema tu. Yani mpaka useme.Umeloaaa
kula vumbi mzayuni mwenye asili ya nyani aliyechangamka
Karibu Manchester,Hujasema, yani bado hujasema... Na utasema tu. Yani mpaka useme.