Iran attacked Mossad base in Erbil

Iran attacked Mossad base in Erbil

Unataka watu tushinde Jf kwani tunalipwa humu?!

Iran inasema inapiga base ya Mossad lakn matokeo yake wamemuua raia mfanyabishara wa Iraq Peshraw Dizayee,na familia yake (mke na watoto)
Sasa Hao agents wa Mossad waliopigwa hapo wako wapi?!
Mnaleta leta vihabari bila evidence

The Chairman of the Falcon Group and Developer of the $2.3 Billion Empire World Real Estate Development, Peshraw Dizayee and 4 Members of his Family have reportedly been Killed by the Iranian Ballistic Missile Attack which Targeted the City of Erbil in Northern Iraq.

View: https://twitter.com/sentdefender/status/1747023923537936613?t=G3FP2pULGp-Km6nyCOq7Qw&s=19

Noona unaweweseka, mzayuni hana muda uchawa wako wa kigalatia,
unataka kujua mossad wangapi wamekufa? since when mossad publish their causalities ? not even IDF
Unataka watu waamini ni IDF 150 tu ndio wamekufa ?
Right now google utafute hata kifaru kimoja cha idf kimeharibiriwa au hata google kichapo ukraine anachopata kutoka russia kama utaona kitu,,,media censorship own by jews bastards
JWTZ ilivyokula kichapo Mozambique, uliona mapichapicha yeyeto kwenye magazeti ya bongo?
 
Noona unaweweseka, mzayuni hana muda uchawa wako wa kigalatia,
unataka kujua mossad wangapi wamekufa? since when mossad publish their causalities ? not even IDF
Unataka watu waamini ni IDF 150 tu ndio wamekufa ?
Right now google utafute hata kifaru kimoja cha idf kimeharibiriwa au hata google kichapo ukraine anachopata kutoka russia kama utaona kitu,,,media censorship own by jews bastards
JWTZ ilivyokula kichapo Mozambique, uliona mapichapicha yeyeto kwenye magazeti ya bongo?
Waliotoa taarifa za maafa ni wahusika Iraq (bila Shaka walifika eneo LA tukio) ambao walirushiwa makombora, halafu ww mkaanga mihogo wa Namtumbo unataka kuwabishia.

Halafu mbona mnapenda kuingiza issue za udini kwa kila mtu anayewapinga?! Hakuna mahali nilipokuquote nimechomeka issue za dini.

Mzee zama hizi za teknolojia unadhani kuficha kitu?! Kwanini Hao Hamas wasipost hizo video za vifaru kwenye mitandao mingine kama Wechat?! Mbona video za watoto wachanga kufukiwa kwenye vifusi wanazituma vizuri tena zikiwa na ubora wa HD, kwanini wasilete hizo za vifaru tuzione kama kweli?! Eti censorship, watume kwenye mitandao ya wachina sio lazima ya magharibi.

Taarifa za JWTZ kula kichapo zilichapishwa kwenye media za bongo ikiwemo humu JF.

#IRGC official Hossein Ali Javidan Far has been shot dead by unidentified gunmen on Khash-Zahedan road in #Iran's 🇮🇷 Sistan Baluchestan province.

View: https://twitter.com/bahot_baluch/status/1747652319041261826?t=-gD8BRb4q-91LEo25WnvGg&s=19
 
Ila surale fupi dunia nzima wameungana dhidi ya mazayuni na bado wamemshindwa, kweli shule ni muhimu!.
Kwahiyo wewe mbuzi umesoma kunipita mimi, tuanze hii ligi?
Kielimu cha nacte kinakufanya ujione umesoma
 
Waliotoa taarifa za maafa ni wahusika Iraq (bila Shaka walifika eneo LA tukio) ambao walirushiwa makombora, halafu ww mkaanga mihogo wa Namtumbo unataka kuwabishia.
😂😂
Sawasawa, lakini mihogo yangu naichomea Manchester, na wakati wewe mzayuni wa bonyokwe unakula vumbi tu

Mzee zama hizi za teknolojia unadhani kuficha kitu?! Kwanini Hao Hamas wasipost hizo video za vifaru kwenye mitandao mingine kama Wechat?! Mbona video za watoto wachanga kufukiwa kwenye vifusi wanazituma vizuri tena zikiwa na ubora wa HD, kwanini wasilete hizo za vifaru tuzione kama kweli?! Eti censorship, watume kwenye mitandao ya wachina sio lazima ya magharibi.
Hizi hapa, tafuta sabau nyingine, kwanini hazionyenshwi na mainsteam media BBC, CNN, DW?

View: https://www.youtube.com/watch?v=ClLHBWOL5dQ

Taarifa za JWTZ kula kichapo zilichapishwa kwenye media za bongo ikiwemo humu JF.
Leta gazeti au TV ya bongo ilionyesha hii taarifa, JF haihusiki, ni sisi wachangiaji ndio tunatoa taarifa JF
 
😂😂
Sawasawa, lakini mihogo yangu naichomea Manchester, na wakati wewe mzayuni wa bonyokwe unakula vumbi tu


Hizi hapa, tafuta sabau nyingine, kwanini hazionyenshwi na mainsteam media BBC, CNN, DW?

View: https://www.youtube.com/watch?v=ClLHBWOL5dQ


Leta gazeti au TV ya bongo ilionyesha hii taarifa, JF haihusiki, ni sisi wachangiaji ndio tunatoa taarifa JF

Kila siku unatukana West wakati unatembeza kobazi na Dera kwenye ardhi ya watu waliostaarabika. Huna tofauti na waarabu na wengineo kila siku wanaitukana Marekani lakini wao ndo wanaoongoza kuomba visa kuingia US.

Endelea kuvisha vikongwe diaper hapo Manchester.

JF ni media ya China eeeh?! Kwanini isihusike?!
 
Kila siku unatukana West wakati unatembeza kobazi na Dera kwenye ardhi ya watu waliostaarabika. Huna tofauti na waarabu na wengineo kila siku wanaitukana Marekani lakini wao ndo wanaoongoza kuomba visa kuingia US.

Endelea kuvisha vikongwe diaper hapo Manchester.

JF ni media ya China eeeh?! Kwanini isihusike?!
Umeloaaa
kula vumbi mzayuni mwenye asili ya nyani aliyechangamka
 
Back
Top Bottom