Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Washaanza kutaja madhara kidogo kidogoKila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Juu ya bunge au.. nyoosha maelezoKila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mneneNimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.
Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).
View attachment 2966784
Unataka kuwaponza waludi utumwani mkuu?Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.
Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).
View attachment 2966784
Hapo ndoo pabaya kuliko bunge, huyo Israel atulize mshono,ataumia? kwahiyo angeamua yasheke kwenye vinu yangeshuka hapo hapo?Mengine yalipita juu ya vinu vya nuclear
Wananchi wa Israel wanataka kuishi, watoto waende shule, watu waende kazinj kwenye majukumi ya kila siku, wakulima waende shambani, Israel kwa vyovyote itabidi waepuke hii vita, itawaumiza sana.Akina Netanyahu na war cabinet wanapsawa kupelekwa rehab maana naona wamepata psychological torture kutoka kana na hii hali
Huku huudhi.huku hamas .
Huko lebonon huku irana inawapapasa hadi makalio ukisikia kuchangamyikkwa ndo huku sasa. Na matelka hawajaptikana
akili zako zipo sawa ? Umepita juu ya bunge ukaenda kulenga wapi ? , maana uhalibifu tulisikia umetokea kwenye kambi mbili za mipakani , au zilpita juu ya bunge zikarudi mpakani ?Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
Mimi mwenyewe nashangaa kusikia mzigo wote 99%umedakwa wakati umepita juu ya bunge,waliudakia wapi sasa kama mzigo ulipita juu ya bunge au bunge halipo ndani ya Israel? Israel niwaongo kupita kiasi,wao wakubali Iran sio hamas,ni mziki mnene
Kwanza huyo Mungu wa Israel ni mdhaifu na mzembe sana, Alishindwa kuwaokoa waisraeli kwenye concentration camps za Adolph Hitler wakauwawa maelfu na maelfu.Israel na Iran raia sasahiv wanaomba kila mtu kwa mungu wake mapumbavu huku yanashangalia kwamba amjibu sasa aone🤣.
Si ajabu Infropreneur anasemaga Afrika ni Laana haswa utanzania.
Ndio maana Kiranga anasemaga Dini na mungu ni vitu vya kutengenezwa.
Hivi vitu tulivyovishupalia kama ni vyetu.
Hawana ujanja wala uwezo wa kurudisha mapigo. Kwanza silaha za kufika Iran hawana, lakini pia uwezo wa kuingia vitani na Iran peke yao hawana pia.Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran kurusha makombora juu ya Bunge la Israeli "Knesset". Tumezowea Hamas na Hezbollah hata wakipiga rocket tutasikia maeneo ya mipakani huko na miji ya pembezoni .sehemu nyeti kama hizo huwezi kusikia rocket au bomu limepita.
Iran katuacha vinywa wazi jumamosi iliyopita baada ya kupitisha Ballistic missiles juu ya Bunge la Israeli siyo kitu cha kawaida.
Ushauri wangu hii ni dharau kubwa sana kwa taifa kama la israeli hatua za haraka sana tena za nguvu zitumike kuijibu Iran kwa kitendo hiki ambacho hatujaona kikitokea katika nchi zingine mashuhuru hapa ulimwenguni (japo Israel ni nchi ya mchongo).
View attachment 2966784