Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #61
Tena juu ya bunge wanapokaa kupanga mipango yao ya kishetwani.🤣Kapitisha mizinga ju ya Taifa teule la Marekani na Uingereza [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena juu ya bunge wanapokaa kupanga mipango yao ya kishetwani.🤣Kapitisha mizinga ju ya Taifa teule la Marekani na Uingereza [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
🤣🤣 hebu kuwa siriaz mkuu Rwanda na DRC wanapitisha mchele na mafuta ya kula ufananishe na kupitisha rockets na mabomu?Mbona hatujiulizi Nchi jirani kama Rwanda na DRC zinavyopitisha bidhaa zao Dodoma?
Kwani Anga la Israel hakuna free zone hata kama ni juu ya bunge?..mbona tunatanguliza mashaka sana
Wamefika wapi? 🤣Jamaa wako njiani we endelea kuota tu.
Ayatollah kashajificha kaacha msala huku wacheze nao.
Wako hapo upenuni kwaoWamefika wapi? 🤣
Chukua hiyoWako hapo upenuni kwao
.Kila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
Nipo mpakani Mkuu siyo mchele na mafuta tu vinapita🤣🤣 hebu kuwa siriaz mkuu Rwanda na DRC wanapitisha mchele na mafuta ya kula ufananishe na kupitisha rockets na mabomu?
Kwahiyo sijakuelewa kinachopita ni nini kinatoka wapi na kwenda wapi.Nipo mpakani Mkuu siyo mchele na mafuta tu vinapita
Sasa utafanyaje hii haipingwi ukae tumbo joto ama ukatafute handaki😃😃😃🤣🤣🤣🤣 mkuu ina maana hujaiona hiyo hatari licha ya dharau ya namna hii kwa serikali ya israeli?
Nilitaka kumfahamisha aliyesema mchele na mafuta kuwa siyo hayo tu ova.Kwahiyo sijakuelewa kinachopita ni nini kinatoka wapi na kwenda wapi.
Sema hayo mengineNilitaka kumfahamisha aliyesema mchele na mafuta kuwa siyo hayo tu ova.
Sasa ww muisrael uishiye huko tuambie madhara gani yametokea yaani mnakuwa km watoto mnataka israel iseme ukweli kuwa imeharikiwa kiasi gani ? bila kusahau kasaidiwa na washirika wake kujirinda kwa bil.$ of dollars nyie mnafanya mchezo Israel anaugulia jamani acheni masihara na vita vya sasa propanda ni nyingi , waafrika tujitambue na tuwekeze kwenye sayansi bila ushabiki huuakili zako zipo sawa ? Umepita juu ya bunge ukaenda kulenga wapi ? , maana uhalibifu tulisikia umetokea kwenye kambi mbili za mipakani , au zilpita juu ya bunge zikarudi mpakani ?
Netapaka anaamini kila,kitu ni kutumia jeshi kumbe kuna mambo unapaswa uwe na busara kwa mdaWananchi wa Israel wanataka kuishi, watoto waende shule, watu waende kazinj kwenye majukumi ya kila siku, wakulima waende shambani, Israel kwa vyovyote itabidi waepuke hii vita, itawaumiza sana.
Hii sio 1960's, uwezo kupambana na hoa adui zote hawana.
Marekana na Israeli wao huwekeza zaidi kwenye ndege vita na maiarcarrierSilaha hakuna shaka wanazo kama hizo za Iran lakini moyo ndio umeanza kuwaondoka mwilini.