Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

Kuna Raha yake ata ivyo mnaendesha bunge huku mnasikirizia milindimo ya mizinga juu👍
 
War cabinet wanavikao sasa hv hii inaenda wiki vikao haviishi lakini lile shambulizi lingekuwa limefanywa na syria au hamas saa hz washaanza mashambulizi ya kulipiza kisasi hila kwa Iran vikao km vya harusi
 
Hapo ndoo pabaya kuliko bunge, huyo Israel atulize mshono,ataumia? kwahiyo angeamua yasheke kwenye vinu yangeshuka hapo hapo?
Angalia basi.Israel wamekubali Barabara ya kurukia ndege na ndege moja na jengo Iran ililodhania lina vifaa vya kijeshi vyote vilipigwa kwa kulengwa shabaha kutoka Iran,za idi ya kilomita elfu kutoka hapo.
 
wanahisabati waislamu ambao hizo habari za anga wanazoringia Israel na Marekani walikuwa na uhusiano na eneo la Persia ingawa walikaa zaidi Iraq.
Marekani wanapopiga Iraq,Iran na Syria wana malengo zaidi ya vita,Ni kutaka kuficha historia kwamba waislamu walijua vyote wanavyovijua sasa karne kadhaa kabla ya wao.
 
Kila baruti lilidakwa juu kwa juu. Iran bado.
imagine mifumo ya ulinzi inadaka baruti!!!hiyo mifumoina shida sana,na kweli Iran ilirusha makombora mengi feki ili kuuweka bize mfumo huo wa mchongo wa ulinzi huku yale makombora ya kweli yapate kupiga kwenye target,sasa Iran wangekuwa siriaz siku ile leo si tungekuwa tunawaombeleza wateule wa mchongo???
 
Iran wamedhihirisha kuwa wanaweza.
 
Aahaaa
 
Kwanza huyo Mungu wa Israel ni mdhaifu na mzembe sana, Alishindwa kuwaokoa waisraeli kwenye concentration camps za Adolph Hitler wakauwawa maelfu na maelfu.

Halafu kuna wajinga huku Afrika wanasali kwa Mungu wa Israel awaokoe...😄😄
Aahaaas
 
Hii ni dharau ya hali ya juu haki ya Mungu Israeli asipolipa kisasi nitamshangaa sana.
 
Real owners
 

Attachments

  • Screenshot_20240418_141732_X.jpg
    148.6 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…