Iran iko "overrated" lakini ni wa kawaida sana kwenye ulinzi

Iran iko "overrated" lakini ni wa kawaida sana kwenye ulinzi

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
kitendo cha kiongozi wa kisiasa wa Hamas kuuwawa tena nchini kwao, kwenye mji mkuu wao, mgeni aliku alikwa na raisi, na wameshindwa kumlinda, inaonesha ni jinsi gani hawako vile watu wanawadhania.

Kuna kesi nyingi sana za kuuwawa wanasanyansi wa nyukria wa Iran.

Ni wazi kuwa Iran kuna mashushushu wengi sana wa nchi za magharibi, na ni suala la muda hata kiongozi wa juu wa Iran atakuja uwawa kirahisi hivyo hivyo.

kifupi, this is BIG L for Iran, ni aibu kubwa sana.
 
ukilinganganisha na nani labda? tanzagiza au?
 
ukilinganganisha na nani labda? tanzagiza au?
hahaha Sisi tuna polisi wenye intelijensia bora kuliko wote duniani alafu jeahi letu ni la 6 kwa ubora duniani mkuuu iran hapa wanapigwa mapema tu🤣🤣🤣🤣🤣
 
kitendo cha kiongozi wa kisiasa wa Hamas kuuwawa tena nchini kwao, kwenye mji mkuu wao, mgeni aliku alikwa na raisi, na wameshindwa kumlinda, inaonesha ni jinsi gani hawako vile watu wanawadhania...
Hilo ni onyo mubashara kwa Ayatollah kuwa hata yeye anaweza kuwa kwenye target, akae kwa kutulia
 
kitendo cha kiongozi wa kisiasa wa Hamas kuuwawa tena nchini kwao, kwenye mji mkuu wao, mgeni aliku alikwa na raisi, na wameshindwa kumlinda, inaonesha ni jinsi gani hawako vile watu wanawadhania.
kua kesi nyingi sana za kuuwawa wanasanyansi wa nyukria wa Iran.

Ni wazi kua Iran kuna mashushushu wengi sana wa nchi za magharibi, na ni suala la muda hata kiongozi wa juu wa Iran atakuja uwawa kirahisi hivyo hivyo.

kifupi, this is BIG L for Iran, ni aibu kubwa sana.
sio tu nchini kwao, bali kwenye makazi ya wageni ndani ya jeshi la iran, akilindwa mno, na mosad aliyemuua ni mzima wa afya na hawajamkamata, kesharudi israel.
 
kitendo cha kiongozi wa kisiasa wa Hamas kuuwawa tena nchini kwao, kwenye mji mkuu wao, mgeni aliku alikwa na raisi, na wameshindwa kumlinda, inaonesha ni jinsi gani hawako vile watu wanawadhania.
kua kesi nyingi sana za kuuwawa wanasanyansi wa nyukria wa Iran.

Ni wazi kua Iran kuna mashushushu wengi sana wa nchi za magharibi, na ni suala la muda hata kiongozi wa juu wa Iran atakuja uwawa kirahisi hivyo hivyo.

kifupi, this is BIG L for Iran, ni aibu kubwa sana.
Nakubaliana na wewe iran kwenye ushushushu hawapo vizuri nchi za magharibi zilishapenentrate kizazi chao zamani sana middle east
 
Eneo ambalo ameuawa ni la jeshi la Iran huku mauaji haya yakifanywa Kwa njia ya projectile kutoka Israel yaani hata rada zimeshindwa kusoma.
Ni zaidi ya miaka 40 haijawahi kutokea mauaji ya kizembe kama haya ndani ya Iran
Sio mauaji ya kizembe. Sasa wewe unaipanga Namungo icheze na Barcelona, Namungo inafungwa alafu unalalamika imefungwa kizembe?

Iran hata hawajui Rais wao alikufaje, na wala hawakupata helicopter yake mpaka wakasaidiwa na Uturuki. Iran wana fujo sana ila uwezo kidogo.

Sasa mashabiki oyaoya wakiona bondia mwenye fujo na mbwembwe mtaani na maneno mengi wanajua ana nguvu. Ngumi moja ya taja, chali!
 
Iran utawasumbua kwenye mambo ya ujasusi kwa sababu ina maadui wengi kwenye vita ya moja kwa moja hata marekani inaujua mziki wa Iran
Eeh mbona visingizio tena. Mara hii mmetupa taulo si mlisema Israel mbele ya Iran hafurukuti.

Israel imetoa kichapo Yemen, ikatoka ikatoa kichapo Lebanon, sasa imetoa Tehran. Na bado inafundisha heshima Gaza. Bado tu hamtaki kuamini.

Rais wa Iran ndio kwanza kaapishwa mara ghafla anaelekezwa who is the boss hapo Middle East.
 
Back
Top Bottom