Iran iko "overrated" lakini ni wa kawaida sana kwenye ulinzi

Iran iko "overrated" lakini ni wa kawaida sana kwenye ulinzi

Eeh mbona visingizio tena. Mara hii mmetupa taulo si mlisema Israel mbele ya Iran hafurukuti.

Israel imetoa kichapo Yemen, ikatoka ikatoa kichapo Lebanon, sasa imetoa Tehran. Na bado inafundisha heshima Gaza. Bado tu hamtaki kuamini.

Rais wa Iran ndio kwanza kaapishwa mara ghafla anaelekezwa who is the boss hapo Middle East.
Hapo ghaza ndo Israeli imepigika vibaya mno na vita haijulikani itaisha lini maana makamanda wa Israeli ni kama wameishiwa mbinu hivi



Kwa upande wa Lebanon kila MTU anajua Hezbollah walivyo igeuza miji ya kaskazini mwa Israeli kuwa magofu kila siku DRONE za Hezbollah hua zinajipigia tu huko galilee na golan huku iron dome zikikodoa macho



Israeli imeweka vikosi vyake karibu na mpaka wa Lebanon. Lakini bado wanajishauri wanaingiae hapo Lebanon ikiwa ghaza tu mpaka leo imewashinda
 
Hapo ghaza ndo Israeli imepigika vibaya mno na vita haijulikani itaisha lini maana makamanda wa Israeli ni kama wameishiwa mbinu hivi



Kwa upande wa Lebanon kila MTU anajua Hezbollah walivyo igeuza miji ya kaskazini mwa Israeli kuwa magofu kila siku DRONE za Hezbollah hua zinajipigia tu huko galilee na golan huku iron dome zikikodoa macho



Israeli imeweka vikosi vyake karibu na mpaka wa Lebanon. Lakini bado wanajishauri wanaingiae hapo Lebanon ikiwa ghaza tu mpaka leo imewashinda
Gaza kabla Hamas hawajaanzisha mashambulizi
20231013171012-6529b378015f4ee316f9c02ajpeg.jpg


Gaza baada ya Israel "kushindwa vibaya"
APTOPIX_Israel_Palestinians_65012-1.jpg
GettyImages-1879706763-scaled.jpg
 
Yule Ayatollah wakitaka wanammaliza mda wowote ...Sio salama kwa vile kuna wanaisrael ndani ya vitengo vyake.
Sio rahisi hivyo. Iran ina uhusiano tata na mataifa ya magharibi toka mapinduzi ya kiislam yalipofanywa ni miaka mingi imepita haya unayo fikiri hayajawa rahisi kutekelezeka
 
Kwani kuna nn ? Kwani hawezi kuuliwa , Gaddf kauliwa , saddam Hussein .
Sio rahisi kuifanyia uvamizi Iran kwa mtindo huo kama walivyofanyiwa viongozi hao wawili.

Ni mwaka huu Iran ilifurumusha makombora kwenda Israel iliyopewa ulinzi na mataifa makubwa ya magharibi lakini hatua za kuivamia Iran hazijachukuliwa mpaka leo tofauti na hao viongozi wawili kile kitendo cha kuonekana wapo tofauti na maslahi ya mataifa makubwa walivamiwa na kuuawa.
 
Hao Iran Saddam mwenyewe walimshindwa walipigana miaka kumi na kitu bila kumshinda, shida ya Israel na USA wanafuata sana sheria za vita la sivyo Iran na magaidi wenzao wangefutwa siku moja tu.
Sina hakika kama kuna vita yoyote Israel wala Marekani imefuata sheria za vita.

Israel na marekani wote wana mashitaka ICJ na ICC kuhusu matendo yao ya vitani.

Vita vya Gaza unavifuatilia kweli ?
 
Sio mauaji ya kizembe. Sasa wewe unaipanga Namungo icheze na Barcelona, Namungo inafungwa alafu unalalamika imefungwa kizembe?

Iran hata hawajui Rais wao alikufaje, na wala hawakupata helicopter yake mpaka wakasaidiwa na Uturuki. Iran wana fujo sana ila uwezo kidogo.

Sasa mashabiki oyaoya wakiona bondia mwenye fujo na mbwembwe mtaani na maneno mengi wanajua ana nguvu. Ngumi moja ya taja, chali!
Iran sio uwezo mdogo ukubwa wa Iran unafahamika zaidi na Urusi,Marekani,China, Israel

Marekani na Uingereza[na washirika wenzao wa magharibi], Urusi na Uchina[ na washirika wenzao wa mashariki] wanaufahamu ukubwa na umuhimu wa Iran katika siasa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.

Iran angelikuwa na uwezo mdogo angelikuwa ameangushwa muda mrefu uliopita hapo mashariki ya kati kama wenzake walioangushwa.
 
Nadhani hili ni kosa kubwa sana NETANYAU amelifanya ,..huenda likabali sura ya mambo middle EAST ....Na huenda hata raia wa Israel watamlaumu maisha...Sasa sio Israel vs Hamas tu .....kuna kitu kibaya kinakuja
 
Yule Ayatollah wakitaka wanammaliza mda wowote ...Sio salama kwa vile kuna wanaisrael ndani ya vitengo vyake.
Hivi moto wake unajua utakavyowaka? Hata wao wanajijua walivyo gusa masilahi yao tu ndio utaona mziki
 
Iran sio uwezo mdogo ukubwa wa Iran unafahamika zaidi na Urusi,Marekani,China, Israel

Marekani na Uingereza[na washirika wenzao wa magharibi], Urusi na Uchina[ na washirika wenzao wa mashariki] wanaufahamu ukubwa na umuhimu wa Iran katika siasa za mashariki ya kati na dunia kwa ujumla.

Iran angelikuwa na uwezo mdogo angelikuwa ameangushwa muda mrefu uliopita hapo mashariki ya kati kama wenzake walioangushwa.
Sawa. Mkuu wa Hamas naye kauwawa pamoja na kujificha Iran.
Leta hoja nyingine
 
Sawa. Mkuu wa Hamas naye kauwawa pamoja na kujificha Iran.
Leta hoja nyingine
Sina hakika kama alifichwa au alijificha.

Mashambulizi ya siri haya hayana tofauti na mashambulizi ya kujitoa muhanga au kushambuliwa hovyo watu migahawani na kwenye masoko.

Kutekelezeka kwa mashambulizi ya mtindo huu sio kigezo cha kuonesha udogo wa taifa husika.

Marekani, Urusi, China, Israel na mataifa mengi yamekabiliwa na mtindo wa mashambulizi ya usiri ya namna hii ni ngumu kuyadhibiti.
 
hahaha Sisi tuna polisi wenye intelijensia bora kuliko wote duniani alafu jeahi letu ni la 6 kwa ubora duniani mkuuu iran hapa wanapigwa mapema tu🤣🤣🤣🤣🤣
Shida ya Iran ametafuta adui kwa nguvu zake zote sasa kashampata, Iran na Israel wako vitani, Taifa moja kutishia taifa lingine kuwa nitakufuta kwenye ramani ya dunia, tayari umetangaza vita hadharani.
 
Hapo ghaza ndo Israeli imepigika vibaya mno na vita haijulikani itaisha lini maana makamanda wa Israeli ni kama wameishiwa mbinu hivi



Kwa upande wa Lebanon kila MTU anajua Hezbollah walivyo igeuza miji ya kaskazini mwa Israeli kuwa magofu kila siku DRONE za Hezbollah hua zinajipigia tu huko galilee na golan huku iron dome zikikodoa macho



Israeli imeweka vikosi vyake karibu na mpaka wa Lebanon. Lakini bado wanajishauri wanaingiae hapo Lebanon ikiwa ghaza tu mpaka leo imewashinda
Hicho kikundi kidogo hakuwezi kupigana na taifa lolote, mnajifariji tu, Iran ameshajitafitia adui wa kudumu tena mwenye Nyuklia acha acheze naye, wenzake Saud Arabia, Misri, Jordani, wanajua namna ya kuishi na Israel kwa amani si kwa chuki.
 
Hicho kikundi kidogo hakuwezi kupigana na taifa lolote, mnajifariji tu, Iran ameshajitafitia adui wa kudumu tena mwenye Nyuklia acha acheze naye, wenzake Saud Arabia, Misri, Jordani, wanajua namna ya kuishi na Israel kwa amani si kwa chuki.
Iran yuko sawa na ndio uislam ulivyo jembe ni jembe nyundo ni nyundo hakuna haja ya unafiki na watu wenye mipango miovu wayahudi ni waovu na wanafiki na washenzi wanajifanya wanataka sizi faya kumbe wanawahadaa watu then wanaua hapo hakuna makubaliano kwanza nawashangaa hamas kujishughulisha na cease fire ya kinafiki. Hapa cha msingi chuma kiite hivyo hivyo mpaka abaki mtoto mdogo wa mwisho ambaye hawezi kupgana
 
Back
Top Bottom