ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Zaidi ya wachumba kwa Israel labda wawatishe waarabuIran wachumba tu mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya wachumba kwa Israel labda wawatishe waarabuIran wachumba tu mkuu!
Askari wa Israel 🇮🇱 walikufa kusini mwa Lebanon 🇱🇧 yes kwani wao ma robot hawafi?? Hizo collateral za vita vipi hisbollah wangapi wamekufa? Mana viongozi wao wamefukiwa kama panyaUmesoma ripoti ya vifo vya askari wanne wa IDF juzi kusini mwa Lebanon!?
Hizbollah operation anazozifanya zote ni kwa msaada wa IRGC,hivyo usiseme kuwa Iran haina tishio kwa Israel.
Umesoma ripoti ya vifo vya askari wanne wa IDF juzi kusini mwa Lebanon!?
Hizbollah operation anazozifanya zote ni kwa msaada wa IRGC,hivyo usiseme kuwa Iran haina tishio kwa Israel.
Satellite tena ..umeona wapi au nyumbani mnamiliki Satellite mkuuMkuu leta evidence acha porojo nataka kuona vituo vya kijeshi vya Israel vilivyoteketezwa maana vya iran nimeona kwa picha ya satellite 🛰
umecheki kwa kutumia youtube wakati Iran wanalalamika kuwa wameumizwa.Nimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake🤣
😄 🤣 😂 😆 mkuu acha uvivu ingia Google kuna access za satellite images kama Russia na Ukraine tunavoona damagesSatellite tena ..umeona wapi au nyumbani mnamiliki Satellite mkuu
Ww unajua kusoma satellite image before and after .😄 🤣 😂 😆 mkuu acha uvivu ingia Google kuna access za satellite images kama Russia na Ukraine tunavoona damages
Yes very wellWw unajua kusoma satellite image before and after .
Sijasoma linguistic ndio hiyo missiles za iran zimeua watu wangapi Israel mkuu tuone efficiency and effectiveness??
Mana za Israel 🇮🇱 zimeua wanajeshi wa iran na rais ametumba ramba rambi
Iran wameua mpalestina mmoja west bank nothing else.Kama ishu ni kuua basi Israel imefeli pakubwa maana haiwezekani upeleke ndege zote mpaka Iraq alafu uue watu 4 pekee.
Bora ya Iran wao walishambulia kibrazameni wakiwa kwao, no refueling costs, etc.
Shida yako huwa unaleta link pasi na kuisoma.![]()
What satellite images reveal about strikes on Iran
BBC Verify has analysed satellite imagery from Iran to assess damage from Israeli air strikes.bbc.com
Usiongope we jamaa.Iran wameua mpalestina mmoja west bank nothing else.
Israel imeteketeza miundombinu ya kijeshi ya iran na askari kadhaa nani hapo kafanikisha maleng?