Iran imedhihirisha kuwa na Air defence bora

Iran imedhihirisha kuwa na Air defence bora

Alichofanya Iran ilimuathiri nini Israel hadi sasa?! Wameua nani ndani ya Israel?? Proxis wa iran ndio hao viongozi wao wanafukiwa ardhini kama panyq na Israel wakiwepo majenerali kibao wa Iran 🇮🇷
Do you really believe Iran is comparable to Israel in execution it's missions?
Mkuu ishu ni vyuma kufika, sasa vingeelekezwa kwa raia yangekuwa mauaji ya kimbari..
 
Kwani yale makombora yalirushwa kuelekea wapi!?
Kitendo cha kurusha makombora kuingia anga la mwenzako ni sawa na kuingilia mamlaka ya anga la mwenzako.
Mbona mambo madogo sana haya kuyaelewa!?
Mkuu, hawa vilaza wa NATO watakuchosha. Kuna wakati jaribu kuwapuuzia tu.

Kuna kilaza mmoja wa NATO alifungua na uzi kabisa, anahoji kwanini Iran ifunge anga lake kama haijachapika, sasa watu wa namna hii kuna wakati nenda nao wanavyotaka au wapuuzie.
 
Ipo wapi hio miundombinu ilioharibiwa? Huna picha ama video?
Iran waliopigwa ndio wamesema hivyo. Mimi na wewe tuliopo Buza Kwa Rulenge haitakuwa vyema kuwabishia wao wahanga wenyewe walioamua kujitangaza
 
Alichofanya Iran ilimuathiri nini Israel hadi sasa?!
Kijana!
Kama hadi sasa haujui Iran inamuathiri vipi Israel hapo middle east, hili jukwaa halikufai, nenda celebrities forum kule au MMU, kule kuna mada nyingi sana zinazokufaa.
 
Hahaaahhah nimependa maelezo yako uchwara hahhaah nilichoona classroom moja pekee ndio imeharibiwa meaning Iranian missiles aren't precise as they claim.
Makombora 200 hata mbwa wala paka hajafa. Back to Israel's weekend response which has killed 14 Iranian troops do think there is a balance fighting hahahaha 😜 😆 😉 😄 🤣





Explosion could be heard overhead in mid air hahhah one class was damaged that's much iran could harm Israel
Usijitoa akili mkuu we ni mtu mzima bana.
Katika hiyo article nilozungushia duara jekundu huko chini kuna kiongozi alitoa ripoti MAKAZI 100 YAMEHARIBIWA KWA MLIPUKO NA KWA SHRAPNELS.
"The nearby municipality of Hod HaSharon also said about 100 houses were damaged by a missile explosion and shrapnel".This was a very powerful impact with huge risk of claiming human lives",said municipality.
Hiki kipande unakiruka!??
We jamaa unapenda kuchagua taarifa zinazokupendeza tu.
Halafu fikiria kama raia wangekua hawapo katika mahandaki vifo vingekua vingapi.
Screenshot_2024-10-24-19-07-03-87_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Kama madogo na kama ndivyo unavyofikiri, mbona Israel hawajalalamika anga lao kutumiwa na Iran iliposhambuliwa?
Au Iran alikuwa na maana gani kuyaambia baadhi ya mataifa jirani kuwa wakiruhusu anga zao kutumiwa na Israel watakiona na moto?
Hukuona alipomwambia baba yake kua Iran aongezewe vikwazo? Umesahau?
 
Punguza mahaba, Iran ilitoa taarifa na vyuma vilikuwa live from Iran mpaka vikatua Israel, unataka kusema Israel alipenda kupigwa Kambi zake na maeneo nyeti? Ili iweje?
Unajua bro iq za watz zikoziko under mature instead ya kuelezea uhalisia watu kila kitu wana attribute na imani hili limekua Honda ndugu
 
Usijitoa akili mkuu we ni mtu mzima bana.
Katika hiyo article nilozungushia duara jekundu huko chini kuna kiongozi alitoa ripoti MAKAZI 100 YAMEHARIBIWA KWA MLIPUKO NA KWA SHRAPNELS.
"The nearby municipality of Hod HaSharon also said about 100 houses were damaged by a missile explosion and shrapnel".This was a very powerful impact with huge risk of claiming human lives",said municipality.
Hiki kipande unakiruka!??
We jamaa unapenda kuchagua taarifa zinazokupendeza tu.
Halafu fikiria kama raia wangekua hawapo katika mahandaki vifo vingekua vingapi.
View attachment 3137042
Unajua maana ya damage na destruction??!! Houses were damaged by falling shrapnel haahahaha. Hapo missiles zimepiga makazi au?? Lengo la iran ni kupiga makazi au miundombinu ya jeshi!? Unanifurahisha unavojifariji kwa uongo no wonder hata kunguru hajafa Israel kutokana na mashambulizi ya iran
 
Usijitoa akili mkuu we ni mtu mzima bana.
Katika hiyo article nilozungushia duara jekundu huko chini kuna kiongozi alitoa ripoti MAKAZI 100 YAMEHARIBIWA KWA MLIPUKO NA KWA SHRAPNELS.
"The nearby municipality of Hod HaSharon also said about 100 houses were damaged by a missile explosion and shrapnel".This was a very powerful impact with huge risk of claiming human lives",said municipality.
Hiki kipande unakiruka!??
We jamaa unapenda kuchagua taarifa zinazokupendeza tu.
Halafu fikiria kama raia wangekua hawapo katika mahandaki vifo vingekua vingapi.
View attachment 3137042

Shrapnel l:
fragments of a bomb, shell, or other object thrown out by an explosion.
"he was killed by flying shrapnel
 
Kijana!
Kama hadi sasa haujui Iran inamuathiri vipi Israel hapo middle east, hili jukwaa halikufai, nenda celebrities forum kule au MMU, kule kuna mada nyingi sana zinazokufaa.
Mkuu kombora 200 za iran hata mbwa1 wa Israel hajafa wala paka na viongozi wa hisbollah na Hamas wanafukiwa ardhini wakiwa hai kama panya buku
 
Unajua maana ya damage na destruction??!! Houses were damaged by falling shrapnel haahahaha. Hapo missiles zimepiga makazi au?? Lengo la iran ni kupiga makazi au miundombinu ya jeshi!? Unanifurahisha unavojifariji kwa uongo no wonder hata kunguru hajafa Israel kutokana na mashambulizi ya iran
Damaged by missile and shrapnel.
Embu usipindishe taarifa.
Damage is synonymous to destruction.
Labda kama uli skip somo la Linguistics mkuu.
Yani makazi 100 uyaharibu kwa shrapnel tu!??
Bro embu kuwa serious hata kidogo.
 
Damaged by missile and shrapnel.
Embu usipindishe taarifa.
Damage is synonymous to destruction.
Labda kama uli skip somo la Linguistics mkuu.
Yani makazi 100 uyaharibu kwa shrapnel tu!??
Bro embu kuwa serious hata kidogo.
Sijasoma linguistic ndio hiyo missiles za iran zimeua watu wangapi Israel mkuu tuone efficiency and effectiveness??
Mana za Israel 🇮🇱 zimeua wanajeshi wa iran na rais ametumba ramba rambi
 
Shrapnel l:
fragments of a bomb, shell, or other object thrown out by an explosion.
"he was killed by flying shrapnel
Soma vizuri hapo pameandikwa damaged by missile and shrapnel.
Usikwepe neno missile bro usikwepe neno missile.
Makazi 100 huwezi ukayaharibu kwa shrapnel peke yake.
Kwepa unavyokwepa usipindishe taarifa.
 
Damaged by missile and shrapnel.
Embu usipindishe taarifa.
Damage is synonymous to destruction.
Labda kama uli skip somo la Linguistics mkuu.
Yani makazi 100 uyaharibu kwa shrapnel tu!??
Bro embu kuwa serious hata kidogo.
BBC
https://www.bbc.com › articles
Israeli strikes on Iran kill four soldiers, Iran says


2 days ago — Israeli strikes on Iran, in retaliation for Iran's missile attacks earlier this month, have killed four Iranian soldiers, Iran's army said
 
Sijasoma linguistic ndio hiyo missiles za iran zimeua watu wangapi Israel mkuu tuone efficiency and effectiveness??
Mana za Israel 🇮🇱 zimeua wanajeshi wa iran na rais ametumba ramba rambi
Kwahiyo wewe kwako hadi wafe watu au siyo!?
Uharibifu wa miundombinu wewe hujauona?
 
Mkuu kombora 200 za iran hata mbwa1 wa Israel hajafa wala paka na viongozi wa hisbollah na Hamas wanafukiwa ardhini wakiwa hai kama panya buku
Umesoma ripoti ya vifo vya askari wanne wa IDF juzi kusini mwa Lebanon!?
Hizbollah operation anazozifanya zote ni kwa msaada wa IRGC,hivyo usiseme kuwa Iran haina tishio kwa Israel.
 
Back
Top Bottom