The branding
Senior Member
- Apr 17, 2022
- 186
- 320
- Thread starter
- #101
Mkuu ishu ni vyuma kufika, sasa vingeelekezwa kwa raia yangekuwa mauaji ya kimbari..Alichofanya Iran ilimuathiri nini Israel hadi sasa?! Wameua nani ndani ya Israel?? Proxis wa iran ndio hao viongozi wao wanafukiwa ardhini kama panyq na Israel wakiwepo majenerali kibao wa Iran 🇮🇷
Do you really believe Iran is comparable to Israel in execution it's missions?