Iran imedhihirisha kuwa na Air defence bora

Iran imedhihirisha kuwa na Air defence bora

Hizbolah ndio wametishika zaid na sasa hivi hakuna anaetamani kua kiongozi wa hizbolah wala Hamas hapo ghaza, inasikitisha sana, inafedhehesha sana..

ni mbinu rahisi sana na ya kitaalamu mno kumuarifu adui yako siku, muda na dakika ambayo utamshambulia ili hatimae umpatie ushindi katika kuzuia athari za mashambulizi yako.

Lakini lengo ni la kisayansi tu.
Adui huyo aweze kuactivate mifumo yake yote ya kujilinda na hatimae upate fursa ya kumkandamiza vizuri pale kwenye lengo mahususi tu ambako bilashaka hawatapayilia maanani sana.

Khemenei and Masoud are in a very dangerous situations in life 🐒
Sawa...ila bado hujasema cheo chako pale MOSAD au IDF...
 
Kwa hio mkuu hili ni bonge la Achievemt ndege 100 zenye thamani zaidi ya trillion 30 zimerusha makombora zaidi ya 100 na kuua watu 4? Hebu kaa kidogo kunywa energy utumie hata 2% ya ubongo wako, is that an achievement?
Wala usiangalie watu waliouawa. Angalia miundombinu iliyoharibiwa
NB: Hiyo taarifa imetolewa na Iran. Israel wala haijajishughulisha kuhesabu waliokufa, imesema tu objectives achieved!
 
ni vizuri kuelewa mambo haya kwa undani kidogo.

hivi kweli adui yako anaweza kukuarifu kwamba atakushambulia muda, wakati na saa fulani, na akafanya hivyo?

umejiuluza ni kwanini?

ukielewa jambo hili ndipo unaweza kuona na kubaini hadaa za kiusalama za Israel dhidi ya Iran, na umadhubuti wa Iran katika kujilinda.

alichofanya Israel ni kumfanya Iran aactivate mifumo yake yote ya ulinzi ili hatimae Israel ipange vizuri namna ya kuikabili Iran 🐒
Hiyo point!
 
Israel imewahadaa sana Iran kitechnolojia na kwamba hakuna tena alie salama ndani ya Irani 🐒
Pole yako mkuu pole sana heheheheee labda Iran ya Nachingwea.
Ila sio Iran ya Persian gulf.
Kitendo cha kushambulia kwa kutumia anga lingine inajulisha kuwa bado anga la Iran lina ulinzi.
Kwa mbwembwe za IAF anga lako liwe uchi halafu aliache!?
Wee thubutu,embu tizama Syria anavyopita kwa madaha na mbwebwe na ndege zake za F-16.
Radar iloharibika Iran ni ya kulinda airport tu,zingine ziko salama.
 
Waulize wao iran waliotoa taarifa ya wanajeshi wanne kuuawa. Waweke picha za marehemu wanajeshi pia
Picha zipo na majina yametajwa pia wewe unadhani Iran ni wale Mazayuni waoga waoga

Je una uthibitisho wa uharibifu wa Miundo mbinu.
 
Pole yako mkuu pole sana heheheheee labda Iran ya Nachingwea.
Ila sio Iran ya Persian gulf.
Kitendo cha kushambulia kwa kutumia anga lingine inajulisha kuwa bado anga la Iran lina ulinzi.
Kwa mbwembwe za IAF anga lako liwe uchi halafu aliache!?
Wee thubutu,embu tizama Syria anavyopita kwa madaha na mbwebwe na ndege zake za F-16.
Radar iloharibika Iran ni ya kulinda airport tu,zingine ziko salama.
hiyo rada imeharibika yenyewa au imeharibiwa na nini gentleman?
Tena rada ya airport kabisa imeharibika? 🤣

mbona hatukuskia airport imeshambuliwa, ni nini hasa imedhoofisha hiyo rada hata isifanye kazi? Kwahiyo Khamenei na Masoud hawawezi kusogea airport right?

sasa gentleman,
syria, Lebanon, Yemen, ghaza na Jordan ambae ni dhaifu na mouoga zaid wanakwama wapi hasa kuidhibiti Israel kwa msaada wa Iran yenye techmologia ya kiwango cha juu sana gentleman 🤣
 
Pole yako mkuu pole sana heheheheee labda Iran ya Nachingwea.
Ila sio Iran ya Persian gulf.
Kitendo cha kushambulia kwa kutumia anga lingine inajulisha kuwa bado anga la Iran lina ulinzi.
Kwa mbwembwe za IAF anga lako liwe uchi halafu aliache!?
Wee thubutu,embu tizama Syria anavyopita kwa madaha na mbwebwe na ndege zake za F-16.
Radar iloharibika Iran ni ya kulinda airport tu,zingine ziko salama.
Kama walitumia anga jingine, kwa nini Iran wamepeleka malalamiko yao wakiwatuhumu Israel kukiuka mkataba wa kimataifa kwa kuingia katika anga lao na kuwatandika?
 
Sawa...ila bado hujasema cheo chako pale MOSAD au IDF...
cheo ni dhamana sio jambo la kubabaika nalo au kujivunia kwamba ndiyo hoja.

ile ya maana zaid ni kuingatia maelezo, uchambuzi na ufafanuzi wa kina kifupi kidogo, dhidi ya hali ya sasa ya mzozo wa mashariki ya kati baina ya Israel dhidi ya Iran na washiriki wake Hizbolah ya Lebanon, Hamas ya huko ghaza, Yemen na Syria na athari zake kwa usalama wa ndani ya nchi hizo 🐒
 
Kama walitumia anga jingine, kwa nini Iran wamepeleka malalamiko yao wakiwatuhumu Israel kukiuka mkataba wa kimataifa kwa kuingia katika anga lao na kuwatandika?
Kwani yale makombora yalirushwa kuelekea wapi!?
Kitendo cha kurusha makombora kuingia anga la mwenzako ni sawa na kuingilia mamlaka ya anga la mwenzako.
Mbona mambo madogo sana haya kuyaelewa!?
 
Kwani yale makombora yalirushwa kuelekea wapi!?
Kitendo cha kurusha makombora kuingia anga la mwenzako ni sawa na kuingilia mamlaka ya anga la mwenzako.
Mbona mambo madogo sana haya kuyaelewa!?
Kama madogo na kama ndivyo unavyofikiri, mbona Israel hawajalalamika anga lao kutumiwa na Iran iliposhambuliwa?
Au Iran alikuwa na maana gani kuyaambia baadhi ya mataifa jirani kuwa wakiruhusu anga zao kutumiwa na Israel watakiona na moto?
 
hiyo rada imeharibika yenyewa au imeharibiwa na nini gentleman?
Tena rada ya airport kabisa imeharibika? 🤣

mbona hatukuskia airport imeshambuliwa, ni nini hasa imedhoofisha hiyo rada hata isifanye kazi? Kwahiyo Khamenei na Masoud hawawezi kusogea airport right?

sasa gentleman,
syria, Lebanon, Yemen, ghaza na Jordan ambae ni dhaifu na mouoga zaid wanakwama wapi hasa kuidhibiti Israel kwa msaada wa Iran yenye techmologia ya kiwango cha juu sana gentleman 🤣
Naona unajikanyaga mwenyewe.
Ndio ujiulize licha ya kuharibika kwa hiyo radar mbona airport haikushambuliwa!?
Utajuaje labda nia yake ilikua na kuishambulia hiyo airport!?
Ila kwa kujulisha Iran ana uwezo aliweza ku contain mashambulizi kwa radar zingine.

*Yemen hadi sasa imeifunga red sea na imeteka meli moja ya Israel,hivi unajua kama bandari ya Eilat haifanyi kazi kwasababu Houthi wameifunga red sea meli zisiende Israel!??
*Syria ni nchi yenye migogoro ya ndani una expect vipi awe na nguvu!?
Tena Syria ilianza kubomoka kuanzia 1958 kwa kuundiwa Damascus crisis na hao Israel na USA.
*Jordan ni mshirika wa USA kama ulikua hujui.Anawezaje kushirikiana na Iran!?Pia kuna uadui wa sunni na shia unadhani wanashirikiana vipi!?
*Suala la Lebanon nilishalisema au habari hutizami mkuu!?
Galilee hadi sasa raia zaidi ya laki wamekimbia makazi kwa mashambulizi ya Hizbollah.
Kambi ya Galilee sasa hivi ni disfunctional kwa kushambuliwa kila mara na Hizbollah.
Juzi askari wanne wa IDF wameuawa mpakani na Lebanon.

Usisahau Houthi Yemen,Hizbollah wote hao wanapewa silaha na wanasaidiwa kiintelijensia na Iran.
Bado unaiona Iran ni taifa dogo aiseeee kweli CCM inaharibu watu akili mkuu.
 
Kama madogo na kama ndivyo unavyofikiri, mbona Israel hawajalalamika anga lao kutumiwa na Iran iliposhambuliwa?
Au Iran alikuwa na maana gani kuyaambia baadhi ya mataifa jirani kuwa wakiruhusu anga zao kutumiwa na Israel watakiona na moto?
Mbona unavuruga mada!??
Unazungumzia Iran kuilalamikia Israel kuingilia anga lake au unazungumzia Iran kukataza nchi jirani isiruhusu anga zao kutumika na Israel!??
Unachivuruga kijana nenda hatua kwa hatua.
Israel iliposhambuliwa Oktoba Mosi ililalamika hadi Umoja wa Mataifa usisahau hili ama kama ulikua hujui ndio ujue.
Na Iran ilitumia makombora kutoka Tehran hadi Israel.
Israel imetumia ndege,na hizo ndege zimetumia kambi ya USA Iraq na kambi ya USA Syria.
Kitendo cha kurusha kitu chochote hata ikiwa puto kwenda anga la mwenzio ni violation tayari hiyo.
 
Back
Top Bottom