Iran imedhihirisha kuwa na Air defence bora

Iran imedhihirisha kuwa na Air defence bora

Nimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake🤣
Huku main stream media CNN BBC tunalzimishwa kuaninishwa kuwa eti jamaa wamefanya kutu cha maana sana na kikubwa sana kuanzia mapicha feki
 
Punguza mahaba, Iran ilitoa taarifa na vyuma vilikuwa live from Iran mpaka vikatua Israel, unataka kusema Israel alipenda kupigwa Kambi zake na maeneo nyeti? Ili iweje?
Kambi ipi ya jeshi ilipigwa? Weka madhara yaliopatikana usilete mahaba uchwara
 
Punguza mahaba, Iran ilitoa taarifa na vyuma vilikuwa live from Iran mpaka vikatua Israel, unataka kusema Israel alipenda kupigwa Kambi zake na maeneo nyeti? Ili iweje?
hujaelewa jambo hili vizuri na wala hujanielewa vyema gentleman :pulpTRAVOLTA:
 
Mashambulizi yote ya Iran yalipanguliwa na Israel, wewe weka video ya hayo madhara ili tukuamini
Hahahahahha jana ulijikoroga ukatuma mwenyewe
Mashambulizi yote ya Iran yalipanguliwa na Israel, wewe weka video ya hayo madhara ili tukuamini
Video mzigo ukishuka ushasahau
Tafuta post yako mwenyewe ujiutathmini
 
Hahahahahha jana ulijikoroga ukatuma mwenyewe
Video mzigo ukishuka ushasahau
Tafuta post yako mwenyewe ujiutathmini
😀😀 Ile video ilikuwa ya Iran ilivyoshambuliwa au unajitoa ufahamu mkuu, nyie wenyewe mnasema Israel ilipata hasara kubwa baada ya kambi zake kushambuliwa, tukiwaambia muonyeshe hizo hasara mnajizungusha
 
Nimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake🤣
Ukiinama nchale ukiinuka nchale.


Ayatollah 15 & Benjamin letanyau 0.
Here we go...................................
 
Muiran kashajua anawaweza wabaya wake ukitumia akili vizuli utaona vile vikao baina uko Israel na na USA ilikuwa vyakiuoga yani tumpige Iran kidogo asiwe asiwe na sababu ya kukuza mgogoro lkn wangeweza kufanya zaid tuamini ivi. Tatizo linakuja USA kawa kama kipofu uwezi zuiya mgogoro na Iran wkt Israel bado anauwa wqpestine kwa umati so Iran ingeweza kukausha lkn kwakua Israel anaendelea na vita na Iran atabki kivita vita kuona uwelekeo sasa katangaza wajeda4 wamekufa ili tu nawao wapeleke moto walipowajeda so ngoma ngumu USA nae anatapatapa uwezo ana wakuizuiya Iran yaya akafunge tu iyo THAAD mapema USA kwa propaganda anajua THAAD ipo tayali lkn viuma vikipita live!! utasikia sasa tumetuma THAAD ipo njian inaenda Israel 😛😛😛😛😜
 
Nimecheki air defences za Israel na zile za Iran na kugundua kuwa, Iran imeihakikishia dunia kuwa ina Air defence bora kabisa..
Pamoja na mimi the branding kuwa pro-Israel, but hii naitoa moyoni kwamba Irani iko vizuri na itafika mbali.
Tusidanganyane, kila mmoja hutaka causality iwe kubwa sasa ikitokea hamna ama ni kidogo basi mpinzani kashinda.
Kwa mantiki hiyo, Iran ipewe maua yake🤣
Hii umesema kweli kabisa,na huko mbeleni tutaona vitu ambavyo hatujavitarajia
 
Leo ndo mnatafuta picha wakati jana tu wenzio wamehangaika na mwisho wakaleta video wakati Israel inashambuliwa wakasema ndio Iran

Pili ndege gani hiyo ilifika kwenye anga la Iran ndio maana mtoa mada akaawambia wekeni mahaba pembeni maana naona mnakua mazombie sasa.
Stealth fighter jets haswa F-35 zimevinjari juu ya anga ya iran na kuteketeza malengo ladhaa maana rada haziwezi mulika Stealth fighters sasa we endelea kubisha picha za satellite 🛰 zimeshaanza kurandama kuonesha viwanda vya drones na missiles vilivyoteketezwa.
 
Muiran kashajua anawaweza wabaya wake ukitumia akili vizuli utaona vile vikao baina uko Israel na na USA ilikuwa vyakiuoga yani tumpige Iran kidogo asiwe asiwe na sababu ya kukuza mgogoro lkn wangeweza kufanya zaid tuamini ivi. Tatizo linakuja USA kawa kama kipofu uwezi zuiya mgogoro na Iran wkt Israel bado anauwa wqpestine kwa umati so Iran ingeweza kukausha lkn kwakua Israel anaendelea na vita na Iran atabki kivita vita kuona uwelekeo sasa katangaza wajeda4 wamekufa ili tu nawao wapeleke moto walipowajeda so ngoma ngumu USA nae anatapatapa uwezo ana wakuizuiya Iran yaya akafunge tu iyo THAAD mapema USA kwa propaganda anajua THAAD ipo tayali lkn viuma vikipita live!! utasikia sasa tumetuma THAAD ipo njian inaenda Israel 😛😛😛😛😜
Hahahaahhaha marekani kweli imeuogope mu Iran 🇮🇷 are you serious?!! Brother alafu wakipigwa mnaanza kulia waislamu wananyanyaswa? 😄 🤣 😂
 
Stealth fighter jets haswa F-35 zimevinjari juu ya anga ya iran na kuteketeza malengo ladhaa maana rada haziwezi mulika Stealth fighters sasa we endelea kubisha picha za satellite 🛰 zimeshaanza kurandama kuonesha viwanda vya drones na missiles vilivyoteketezwa.
Punguza uongo na mahaba.
Hakuna ndege hata moja iliyoingia anga la Iran.
Tupo na tunafuatilia habari hadi sasa.
 
Back
Top Bottom