Iran imejaribiwa, wakagundua ni mdebwedo. Leo tena yashambuliwa usiku

Iran imejaribiwa, wakagundua ni mdebwedo. Leo tena yashambuliwa usiku

Kuna watu wamevamia hii JF wakiamka anakurupuka na chochote anaandika anarudi kulala...ndio wewe mmoja wao.
 
Wakubwa wakishafanya tukio wanachagua habari gani iende viral na ipi ibaki gizani. Wanafanya hivyo kupunguza kelele za raia wao wasiopenda vita, lakini kimyakimya wanafanya matukio.
Umejitahid kutetea maboko yako lkn kwa ishu hii umetipwika
 
Back
Top Bottom